Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,882
- 136,535
Hapo top 5,unahisi nani ataibuka mshindi?Hatari sana
Wachague tu tukalale
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo top 5,unahisi nani ataibuka mshindi?Hatari sana
Wachague tu tukalale
Namba 4 Ni Beatrice Alex
Yaani nilishangaa,Duh hawa wadada balaa
Sasa point ganj hizi
Mshindi wa tano Ni Ruth
Aliyekwama sauti
Mshindi namba tatu ni otaigo mwema



Ndo maana htushindi huko miss world
Hii ndo Tanzania aisee

Bado watatuMshindi namba tatu ni otaigo mwema
Duh hawa
Wanampenda halima![]()


,halimaWanataka halima ashinde


Bado sana aisee
Mtu anajibu ovyo hivyo
Basi wanachelewesha weh

Sio huyu
Yaani acha tu