Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
😀😀😀 Kazoe, alafu mie toka zamani hata ma ex wangu watatu ambao nilibahatika kuishi nao kwa nyakati tofauti hivyo hivyo kila mtu anakuwa na chumba chake ndani ya nyumba moja.. tulikuwa tunakutana kati ya chumba cha mmoja na wakati mwingine chumba cha tatu ila kila mtu atarudi kulala kwake 😀😀 na walizoe kabisaHaaa sasa si unampa tabu sana FIB kulala mwenyew kila siku jaman
Umenikumbusha kipindi niko A level boarding, roommate wangu alikua na tabia ya kuongea usingzini😅
Tukitoka prep akisinzia tu anaanza kuongea yale aliyosoma
