Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,637
- 7,920
Rasi ni kiswahili cha peninsulaNi sahihi japo Ras huwa ni ndogo kama ya kigamboni au ya tumaini jema, lakini peninsula ni kubwa kama Italy, Korea au Iberia.
Rasi ni kiswahili cha peninsulaNi sahihi japo Ras huwa ni ndogo kama ya kigamboni au ya tumaini jema, lakini peninsula ni kubwa kama Italy, Korea au Iberia.
Mkuu unafahamu tusi alilotukanwa mamba wa 'kabla ya kuvuka mto' nasikia aliambiwa ana mdomo mkubwa
Nafikiri hatuelewani. Ni hivi swali lilikuwa Ile sehemu ya maji pale bandarini inaitwaje? Jibu ni Ghuba.Kigambon ni rasi
Sasa sijui vijibwen inajitengaje hapo
Mkuu unafahamu tusi alilotukanwa mamba wa 'kabla ya kuvuka mto' nasikia aliambiwa ana mdomo mkubwa
Hiyo ya pili na ya tatu siyo opposite yake? Maana nimekumbuka peninsula ya msasani na rasi ya tumaini jema kule SouthGhuba ni sehemu ya maji iliyoingia nchi kavu
Rasi ni sehemu nyembamba ya ardhi iliyoingia baharini
Penisula
Ni sehemu kubwa ya ardhi iliyoingia baharini
Ile inaitwa rasi ya kigamboni kiingereza inaitwa fortPeninsula ..,Bay ...
Kiswahili chake sijui
Kigambon peninsula..
Oyster bay...
Fuoni
Hii ya bandari ya Dar es salaam ni naturalNaturally ni Ghuba. Hii hapa bandarini ni man made.
Peninsula kwa kiswahilil inaitwa RASI. Bay na Gulf ni Ghuba.
Ghuba kinyume chake rasiJapo penisula ni ile nchi kavu. Mi nazungumzia ile ya maji iliyoingia ndani hadi bandarini na kuendelea.
Bahari au ziwa ikiingia nchi kavu huitwa ghuba na nchi ikiingia ndani ya maji huitwa rasi
..alijibu mashambulizi baada ya kudhalilishwa hivyo?Mkuu unafahamu tusi alilotukanwa mamba wa 'kabla ya kuvuka mto' nasikia aliambiwa ana mdomo mkubwa
Inaitwa Ghuba!
Ras ni sehemu ya nchi kavu iliyoingia kwenye maji!rasi...
ghuba..
chagua.
Itakuwa geography sio maarifa ya jamii.ghuba ni sehemu ya ardi iliyoingia baharini
rasi ni sehemu ya ardhi iliyoingiliwa na bahari na kuchongoka pekbe tatu
NB: sikumbuki vizuri, hili ni somo la maarifa ya jamii subiri walimu waje watakusaidia