Sehemu ya maji iliyoingia nchi kavu Dar, pale unavuka na feri au daraja la Kigamboni inaitwaje kwa Kiswahili?

Nafikiri hatuelewani. Ni hivi swali lilikuwa Ile sehemu ya maji pale bandarini inaitwaje? Jibu ni Ghuba.
Kuhusu Kigamboni,Vijibweni ni RAS,pensula au kisiwa wewe ndio unasema.
Ghuba ni Ile sehemu ya maji ilioingia pale bandarini hadi kurasini,huu ndio uelewa wangu.

Peninsula ni kingereza .. Kiswahili chake Rasi..

Kwahiyo huwezi sema ghuba kama kwa English sio gulf..
Ghuba ni Gulf..je umewahi sikia watu wakisema kurasini Gulf?..sidhani..

Hapa watu wanachanganya lugha kwanza halafu na majina husika....

Gulf ni ghuba
Peninsula ni rasi..
Bay sijui Kiswahili chake..

Msasani Peninsula
Kigambon peninsula

Zote hizo rasi...

Sijaona gulf hapo so far
 
Peninsula ni kingereza .. Kiswahili chake Rasi..

Kwahiyo huwezi sema ghuba kama kwa English sio gulf..
Ghuba ni Gulf..je umewahi sikia watu wakisema kurasini Gulf?..sidhani..

Hapa watu wanachanganya lugha kwanza halafu na majina husika....

Gulf ni ghuba
Peninsula ni rasi..
Bay sijui Kiswahili chake..

Msasani Peninsula
Kigambon peninsula

Zote hizo rasi...

Sijaona gulf hapo so far
Uwe na jioni njema.
 
Peninsula ni kingereza .. Kiswahili chake Rasi..

Kwahiyo huwezi sema ghuba kama kwa English sio gulf..
Ghuba ni Gulf..je umewahi sikia watu wakisema kurasini Gulf?..sidhani..

Hapa watu wanachanganya lugha kwanza halafu na majina husika....

Gulf ni ghuba
Peninsula ni rasi..
Bay sijui Kiswahili chake..

Msasani Peninsula
Kigambon peninsula

Zote hizo rasi...

Sijaona gulf hapo so far
Labda hapo ingekaa vyema kama ingekua na maana zake kutofautisha
Mfano gulf over peninsula over bay over cape😁
 
ghuba ni sehemu ya ardi iliyoingia baharini
rasi ni sehemu ya ardhi iliyoingiliwa na bahari na kuchongoka pekbe tatu

NB: sikumbuki vizuri, hili ni somo la maarifa ya jamii subiri walimu waje watakusaidia
Somo la Maarifa ya jamii, nadhani lilianza miaka ya 2000 sio? Mimi nilisoma kwenye jiografia kuanzia darasa la 3😊
 
Labda hapo ingekaa vyema kama ingekua na maana zake kutofautisha
Mfano gulf over peninsula over bay over cape😁

Unajua Daily News huwa Wana mention sana hivi vitu .
Binafsi Msasani Peninsula nimeitoa kwenye gazeti la Daily News..

Nna uhakika vyote vipo sema usomaji wa magazeti siku hizi sio sana..
 
Unajua Daily News huwa Wana mention sana hivi vitu .
Binafsi Msasani Peninsula nimeitoa kwenye gazeti la Daily News..

Nna uhakika vyote vipo sema usomaji wa magazeti siku hizi sio sana..
Intaneti imechukua usukani karne hii
 
Peninsula ni kingereza .. Kiswahili chake Rasi..

Kwahiyo huwezi sema ghuba kama kwa English sio gulf..
Ghuba ni Gulf..je umewahi sikia watu wakisema kurasini Gulf?..sidhani..

Hapa watu wanachanganya lugha kwanza halafu na majina husika....

Gulf ni ghuba
Peninsula ni rasi..
Bay sijui Kiswahili chake..

Msasani Peninsula
Kigambon peninsula

Zote hizo rasi...

Sijaona gulf hapo so far

Mkuu haya mambo yanachanganya na yanaingiliana, nimependa hili darasa.
RRONDO yuko sahihi, Peninsula ni sehem ya nchi kavu iliyojipenyeza baharini.

Red Giant anaongelea maji yaliyoingia nchi kavu, ni kweli hatuna ghuba ya kurasini lakini maji yaliyozungukwa pande tatu na nchi kavu ni ghuba.

Nafikiri tujikite kwenye sifa au vigezo vinavyotupatia ras, bay, ghuba na peninsula. Ahsante
 
Back
Top Bottom