makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 37,453
- 108,541
Mkuu sijazungumzia gari..Ndege ndio usafiri salama zaidi duniani, maelfu ya ndege yanasafiri duniani kila siku, lakini unaweza kukaa wiki hujasikia ajali yyte, tofauti na gari na train
Mkuu sijazungumzia gari..Ndege ndio usafiri salama zaidi duniani, maelfu ya ndege yanasafiri duniani kila siku, lakini unaweza kukaa wiki hujasikia ajali yyte, tofauti na gari na train
Haujichagulii pa kukaa.
Pole mkuu ni shirika gani la ndege hiloAisee juzi nimepanda ndege ikafika sehemu ikapata turbulence moja mbaya sana.
Nilihisi ndo basi tena.
Nilikuwa nimeshika juisi mkononi ikamwagika...ndani ya ndege nikasikia sauti za vilio tu.
Kwa kweli huwa sipendi kusafiri kwa ndege.
TehHivi hata bombadia zitakua na korido sijui?
HahahaHahahahaa kwenye kenopi ni salama. Na mie naiga hii
Hata za mwaka jana, au miaka miwili iliyopita si tatzo kaka.Mwaka huu sina takwimu.
Afadhali unipe moyo jiraniHata usipichukua tahadhari, kama siku yako bado, hakitokei kitu!
mkuu, pole! ilikuwa ndege ndogo or kubwa? kwa maoni yangu flight ndogo huwa si salama kabisa ukilinganisha na ndege kubwa kama Airbus, Boeing etc. huko juu angani vindege vidogo hupepesuka na mara nyingi wana-cruise low altitude.Aisee juzi nimepanda ndege ikafika sehemu ikapata turbulence moja mbaya sana.
Nilihisi ndo basi tena.
Nilikuwa nimeshika juisi mkononi ikamwagika...ndani ya ndege nikasikia sauti za vilio tu.
Kwa kweli huwa sipendi kusafiri kwa ndege.
Treni je!? Imechangia vifo vingapi katika hyo 2975 iliyobaki!?Tuchulie Tz kwa mwaka huu watu zaidi ya 3,000 wamekufa kwa ajali na majeruhi kibao. Ajali za ndege nilizosikia ni kama tatu na vifo kama 25(12 ndege moja mwezi huu )
Nahili sijui TCAA hawalioni? Au wanasubilia Baba Magu asemeHapo sawa, hizi za humu ndani kwetu ni ngumu sana.
Mfano kwa kila route 6 nazosafiri na ndege, 2 kati ya hizo ni either ndege inabadilishwa au muda unabadilika, sasa hawawezi kuruhusu ukate siti namba kabisa.
Siku hizi imekuwa kero sana hizi ratiba kiasi hata huwezi kuplan kazi zako kwa kutegemea ndege zetu hizi.
Sawa JiraniPunguza uoga.
OoohNdege zote zina korido(aisle) bana...ile njia ya katikati. Ndege kubwa zina korido mbili, ndogo korido moja.
Kwahio kuna Aisle Seat(koridoni) au Window Seat(dirishani) washamba wengi tunakimbilia hii.
Basi sawa mkuu.Sina.
Mi hata sijui nitakwea lini ndege! Mana sio tu Sina nauli, bali hata huko zinakoenda hizo ndege, Sina cha kunipeleka!Sawa Jirani
Siku nikikwea pipa nitakutaarifu ili likidondoka unitafute
siku hizi na madereva wanaangushia upande wao. it depends...Sorry niongezee japo nje ya mada. Kama unasafiri kwenye basi la mkoani basi kaa upande wa dereva maana 70% ikitokea ajali basi upande wa driver unakuwa salama zaidi. wahenga wanasema "DEREVA HAANGUSHI UPANDE WAKE HATA SIKU MOJA"
Haha hahaMi hata sijui nitakwea lini ndege! Mana sio tu Sina nauli, bali hata huko zinakoenda hizo ndege, Sina cha kunipeleka!