Sehemu salama zaidi kwenye ndege...

Sehemu salama zaidi kwenye ndege...

Hii nzuri basi, sio huku unakuta namba tayari.
Yeah mimi huwa nilikuwa nachagua dirishani,eneo la mabawa kwasababu ndio sehemu ngumu kwenye ndege. Leo nimepata somo jipya.
 
Unatakiwa ukumbuke ndio usafiri salama zaidi duniani.
You are more likely to be killed in a car accident on your way to the airport than get killed in airplane crash!
Bado sijawa convinced na hili. Akili yangu imeshajijengea kwenye ndege ni rahisi zaidi kutekwa na kuamriwa kuigongesha ndegw mlimani. Nikiwazaga hayo moyo unaachia mwili kabisa
 
sawa kiongozi hebu tupe hints na sisi tunaopanda daladala na mabasi ya safari ndefu itapendeza zaidi
 
Kila section imefanyiwa survival rate yake.
Yaani waliokaa nyuma 100, 69 wamepona.
Waliokaa mbele 100, 49 wamepona.
Waliokaa kati 100, 56 wamepona.
Naona kama ka formula kana apply hadi kwenye ule usafiri wetu pendwa aka "mabasi", ila tu hiyo survival percent ya nyuma ndio ya kati na ya kati ndio ya nyuma, provided ajali sio ya kugongana
 
Yeah mimi huwa nilikuwa nachagua dirishani,eneo la manawa kwasababu ndip sehemu ngumu kwenye ndege. Leo nimepata somp jipya.
Manawa ndo sehemu gani tena na mie nikipata nafasi ya kuchagua siti siku moja nipachague?
 
Taarifa ni fupi Sana, Aina maelezo ya kutosha. Hiyo ndege ikikutana na kombora au rocket za kutungua ndege nadhani huo utafiti hautakuwa na maana yeyote.
 
Taarifa ni fupi Sana, Aina maelezo ya kutosha. Hiyo ndege ikikutana na kombora au rocket za kutungua ndege nadhani huo utafiti hautakuwa na maana yeyote.
Jaribu kuwa mwelewa. Huu ni utafiti umefanywa kwa watu walio-survive, sasa kama unaona inasaidia chukua, kama unaona haisaidii kwasababu ndege siku zote zinnapigwa makombora acha.
Hii taarifa nimeinasa kwenye tv few minutes ago unatakiwa uheshimu hiki kichwa kinachoweza kuangalia tv programme na kuja na short useful explaination.
 
Back
Top Bottom