Sehemu salama zaidi kwenye ndege...

Sehemu salama zaidi kwenye ndege...

utaratibu wa ukataji tkt ukoje ktk ndege.au unapea chat ka ya mabasi uchague sits
Ukiwa una check-in aidha online au pale kwenye airline desk airport huwa unapewa,option ya available seats uchague.
Window,Aisle,Row
 
Ninavyozidi kupanda ndege ndivyo nazidi kuziogopa.
Hilo dubwasha halizoeleki. Halafu wenyewe wanadai ni hatari likijiandaa kupaa au kutua. Likifika kule juu futi 30,000 eti mko salama zaidi!
 
Aisee juzi nimepanda ndege ikafika sehemu ikapata turbulence moja mbaya sana.

Nilihisi ndo basi tena.

Nilikuwa nimeshika juisi mkononi ikamwagika...ndani ya ndege nikasikia sauti za vilio tu.

Kwa kweli huwa sipendi kusafiri kwa ndege.
Kwel kabsa , m sio majin, angan wala tren
Sipendag huu usafir kabsa yaan n full pressure

Yaan hakuna aman ninayopataga kama kusafir kwa gar
 
Hilo dubwasha halizoeleki. Halafu wenyewe wanadai ni hatari likijiandaa kupaa au kutua. Likifika kule juu futi 30,000 eti mko salama zaidi!
Kuna route za Massa kama 14 hivi hewani niliwahi kuruka ila sina hamu nazo Tena Dubai-Washington na Perth-Jburg non stop duuh.Mijitu inakoroma mm niko macho (uoga),nakunywa kilevi usingizi hakuna.Ndege ni salama ila hatari sana

Sent from my itel it1508 using JamiiForums mobile app
 
Aisee juzi nimepanda ndege ikafika sehemu ikapata turbulence moja mbaya sana.

Nilihisi ndo basi tena.

Nilikuwa nimeshika juisi mkononi ikamwagika...ndani ya ndege nikasikia sauti za vilio tu.

Kwa kweli huwa sipendi kusafiri kwa ndege.
Alafu ikishatokea hivyo usiombe rubani akaiachia kidogo ishuke chini. Unaweza kujiarishia
 
Kuna route za Massa kama 14 hivi hewani niliwahi kuruka ila sina hamu nazo Tena Dubai-Washington na Perth-Jburg non stop duuh.Mijitu inakoroma mm niko macho (uoga),nakunywa kilevi usingizi hakuna.Ndege ni salama ila hatari sana

Sent from my itel it1508 using JamiiForums mobile app
My firsst trip wakati ndege ina take off nilihisi inaunguruma sana,nikawa naogopa nahisi imeshindwa kupaa, kupiga jicho pembeni wenzangu hawana stori meungine anasone kitavu,huyu kalala hawa wanaongea nikajua kumbe ni kawaida!
 
Siku yako ikifika imefika tuu, lakini tahadhari ni muhimu pia!!!!

Ngoja nikariri siku nikibahatika kuipanda nikae koridoni!!!
Hata usipichukua tahadhari, kama siku yako bado, hakitokei kitu!
 
Ndege.. hapana kwa kweli.. hiv kigezo kipi wamechukulia kuwa ndege ni usafiri salama zaidi..

Sijui kwanin ila kwangu treni nina imani nayo zaidi.
Idadi ya safari/vifo au ajali
 
Aisee juzi nimepanda ndege ikafika sehemu ikapata turbulence moja mbaya sana.

Nilihisi ndo basi tena.

Nilikuwa nimeshika juisi mkononi ikamwagika...ndani ya ndege nikasikia sauti za vilio tu.

Kwa kweli huwa sipendi kusafiri kwa ndege.
bombadia ya magu iyo
 
Kitu pekee ambacho huwa sifanyi kwenye ndege basi kukaa nasikiliza matangazo ya usalama, sijui ndege ikiwa hivi fanya vile, naona nikupoteza muda tu, ndio maana nikiwa nasafiri napiga usingizi hatari, i dont care, najua chuma kikiita hatoki mtu hapa
 
Ndege.. hapana kwa kweli.. hiv kigezo kipi wamechukulia kuwa ndege ni usafiri salama zaidi..

Sijui kwanin ila kwangu treni nina imani nayo zaidi.
Ndege ndio usafiri salama zaidi duniani, maelfu ya ndege yanasafiri duniani kila siku, lakini unaweza kukaa wiki hujasikia ajali yyte, tofauti na gari na train
 
Back
Top Bottom