Yes...international unachagua. Tena siku hizi unnachagua uko home kwenye smartphone!Kweli?
Sina uzoefu na ndege za masafa, safari zangu zote ni local, na huwa naona siti namba inakuwa generated kwenye checking, sina uhakika kama unaweza kujichagulia.
Itanibidi ninywe mpaka nizime la sivyo nitasali na kulia safari nzima.Ukienda OVERSEAS hamna ujanja.
Kweli?
Sina uzoefu na ndege za masafa, safari zangu zote ni local, na huwa naona siti namba inakuwa generated kwenye checking, sina uhakika kama unaweza kujichagulia.
Hujichagulii vipi, wakati unaweza book online na ukachagua seat kulingana na daraja unalokaa. Mara nyingi International flight seat nachagua mwenyewe wakati wa kucheck in or booking online.Haujichagulii pa kukaa.
Alaa USA baby ulishika juisi mkononi ikakumwagikia?? Mashallah!!
Yes...international unachagua. Tena siku hizi unnachagua uko home kwenye smartphone!
Unaweza kujichagulia.Haujichagulii pa kukaa.
Hii nzuri basi, sio huku unakuta namba tayari.Yes...international unachagua. Tena siku hizi unnachagua uko home kwenye smartphone!
Oh yeah....unaweza kuchagua siti.
Kadri unavofanya booking mapema ndo na seat availability inavyokuwepo.
Hata local; hizi Fastjet et al; unaweza kujichagulia pa kukaa...Yes...international unachagua. Tena siku hizi unnachagua uko home kwenye smartphone!
Yesu wangu. Safari ya Mwanza Dar tu huwa inanipaga uchizi angani. Masaa kumi ntaenda kabisa kuungama na kupakwa mafuta kanisani. nawaza kutekwa, mara plane imecrash. Plane si kitu kizuri kabisa basi tuKukaa masaa kumi hewani si mchezo! Huwa naangalia sana Air Crash Investigation...moja imeshika moto hewani! Hamponi hapo.
Unatakiwa ukumbuke ndio usafiri salama zaidi duniani.Yesu wangu. Safari ya Mwanza Dar tu huwa inanipaga uchizi angani. Masaa kumi ntaenda kabisa kuungama na kupakwa mafuta kanisani. nawaza kutekwa, mara plane imecrash. Plane si kitu kizuri kabisa basi tu
Hujichagulii vipi, wakati unaweza book online na ukachagua seat kulingana na daraja unalokaa. Mara nyingi International flight seat nachagua mwenyewe wakati wa kucheck in or booking online.
Yesu wangu. Safari ya Mwanza Dar tu huwa inanipaga uchizi angani. Masaa kumi ntaenda kabisa kuungama na kupakwa mafuta kanisani. nawaza kutekwa, mara plane imecrash. Plane si kitu kizuri kabisa basi tu
Wa mabasi mwenzangu huyoBoss...unaweza kuchagua ukae wapi.
Nimepata somo hapa, sema ki-Bongo Bongo ni ngumu kwa sababu hata ratiba za ndege haziko fixed.