Sehemu salama zaidi kwenye ndege...

Sehemu salama zaidi kwenye ndege...

Sasa safari kama hiyo nisipozima naweza nikafa hata kabla hatujafikisha masaa matano ya safari. Mimi muoga tena sio muoga kidogo dogo muoga haswaaa. Kitu ambacho hakiniogopeshi sana ni boat/meli. Ila ndege sijui magari hapana. Gari toka nimepata ajali uoga umekua mara kumi.
Kwa yoga huo utazima ndani ya nusu saa na kama ukifanikiwa kuzinduka kabla haijatua utakuwa na Bahati mbaya maana utakufa wakati wa kutua
But it is the safest means of transport..
 
Wakati wa kupaa na kutua huwaga najihisi roho inatoka kabisa. Bado kuumwa masikio tukiwa juu, ndege si rafiki yangu kabisa.
Hivi Sasa ukitokea kusafiri kutoka Dar-Amsterdam na alafu Amsterdam - Rio de Janeiro Brazil au Lima Peru (almost 26th hours hewani tu)..si utakufa kabisa my dia??
 
Hivi Sasa ukitokea kusafiri kutoka Dar-Amsterdam na alafu Amsterdam - Rio de Janeiro Brazil au Lima Peru (almost 26th hours hewani tu)..si utakufa kabisa my dia??
Naweza kufa kweli ujue sio utani
 
dogo ananifosi baba cjawahi panda ndege nikamwambia ucjar, siku y siku Dar to Mbeya nilihisi kama masaa 60, kila kiwaza air crash investigation kwenye tivii nachoka tu
 
Back
Top Bottom