Pia unaweza mwambia wakati wa kukata tiketi kama akupe seat gani kama zipo.Sijawahi kujua kama unaweza kuchagua siti, kwa sababu mara zote ninatumia agents kukata ticket, kwa hiyo ukienda na ile ticket (itinerary), ukifika checking ndo wanagerate ticket yenye siti no.
I mean wakati wa kucheck in airport mkuuKiti unachagua wakati wa check-in aidha nyumbani au airport.
Pia unaweza mwambia wakati wa kukata tiketi kama akupe seat gani kama zipo.
Huu sio ungo kweli! Maana siyo kwa vitingishiko hvAisee juzi nimepanda ndege ikafika sehemu ikapata turbulence moja mbaya sana.
Nilihisi ndo basi tena.
Nilikuwa nimeshika juisi mkononi ikamwagika...ndani ya ndege nikasikia sauti za vilio tu.
Kwa kweli huwa sipendi kusafiri kwa ndege.
Ikitokea ajali utaenda kwa Mungu unanuka pombe + hang overItanibidi ninywe mpaka nizime la sivyo nitasali na kulia safari nzima.
Unachagua tu mkuu hata kama ni local ...kuna kampuni zingine mfano fastjet ukifanya booking online kuna option ya kuchagua seat. Lakini hukatazwi kuomba seat ya kukaa wakati wa kucheck in ila mara nyingi wengi wanaona soo wataonekanajeKweli?
Sina uzoefu na ndege za masafa, safari zangu zote ni local, na huwa naona siti namba inakuwa generated kwenye checking, sina uhakika kama unaweza kujichagulia.
Imani yangu mimi kunywa pombe si dhambi. Mungu atanisamehe tu maana ntakua nshakula sala ya toba kabla sijapandaIkitokea ajali utaenda kwa Mungu unanuka pombe + hang over
Basi utaikuta supu yako ishaandaliwaImani yangu mimi kunywa pombe si dhambi. Mungu atanisamehe tu maana ntakua nshakula sala ya toba kabla sijapanda
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Basi utaikuta supu yako ishaandaliwa
Ha ha ha haizoeleki hii...ndege raha yake ukishashuka uko lounge unabarizi...Huu usafiri naitumia nikiwa sina option, sijawahi kuuzoea.Safari moja nilienda Morocco kwa Qatar aise safari ndefu sana tulienda kwanza hadi Ugiriki ndo tukarudi Africa. Zikiwa zimebaki siku mbili nilirudi yaani nilikosa amani kabisa, ila nilikunywa heiniken hadi nilipotua bongo nililewa vibaya mno.
Hivi hata bombadia zitakua na korido sijui?Siku yako ikifika imefika tuu, lakini tahadhari ni muhimu pia!!!!
Ngoja nikariri siku nikibahatika kuipanda nikae koridoni!!!