Uchaguzi 2020 Secretary Pompeo azungumzia kinachoendelea Tanzania kuhusu mambo ya Uchaguzi

Mnachekesha.

Unadhani mzungu anakutakia mema au yeye anajali maslahi yake binafsi ndo maana anajaribu kutafuta ushawishi ndani ya nchi.

Amkeni nyie waafrika mnasikitisha sana.
Ndio maana tulifanywa watumwa.

NB: Nimeandika kama mtazania na sio kwa itikadi za vyama vya kisiasa.
 
We are deeply concerned by reports of election irregularities, politically motivated arrests, and violence during Tanzania’s elections last week. We urge authorities to fully address concerns of irregularities and will review allegations of the use of force against civilians.


NB: Kwa wale wasioelewa ni kuwa kwa utaratibu wa Marekani, huyu akishaongea kinachofuata ni hatua za kinidhamu. Yani kwa upande wa Marekani huyu akishazungumza basi jiandae kwa kuchukuliwa hatua maana mwisho wa matamko ni kwa secretary of state.

Pili Marekani akishachukua hatua wanafuata washirika wake wa Ulaya.

Marekani kwa siku za karibuni imechukua hatua kali kwa wavurugaji wa uchaguzi mataifa mbalimbali
Wao wana uchaguzi kesho, jana tu walikuwa wanataka kukataa kura zaidi ya laki mbili na elfu ishirini za watu weusi kutoka wilaya ya Harris huko Texas; atafundishaje watanzania kuhusu haki ya kura wakati wao wenyewe hawazijui?
 
Wazungu huwa hawana interest na maslahi ya mtu mwingine zaidi ya maslahi yao.
Ukiona wanatafuta weakness yoyote kwenye utawala wa nchi flani ujue hiyo nchi wamebanwa maslahi yao.
Kama atatokea rais akabana maslahi yao hata awe nademokrasia vipi atakua rais mbaya.
Mie napigania haki lakini sidhani kama wazungu wako kwaajili ya sisi kupata haki. Wao wanamaslahi tu yakudumu na hawana rafiki kamwe.
Kama ikatokea rais mteule akaamua kuwapoza kwa kuwapa rasilimali zetu tutakaoumia ni sisi ila wazungu wataanza kumsifia na sisi tulivyo na ujinga tutaanza kuhisi nikweli ni raisi bora.

Ukiona rais wako anasifiwa na wazungu unapaswa kuwa na mashaka na mambo yanayoendelea nyuma ya pazia.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
Achana na polojo hizo za wapigania uhuru wa afrika
 
Kujenga Taifa lipi? Nchi ina miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, pesa zote za viwanda za walipa kodi zinatumika kudidimiza demokrasia kuwabambikia kesi kesi uonevu unyanyasaji mwingi kwa wapinzani badala ya maendeleo
Nchi haina maendeleo? Mkoloni aliacha hizi barabara? Hospital shule za kata ? Pumbafu
 
Waje watushushie mabomu labda akili itatukaa! Na ikiwezekana wasaidie kutuanzishia vikundi vya ugaidi ili tuheshimiane!!
wazazi wako ndugu zako mkeo na watoto wako.
Wakipigwa hayo mabomu au hao magaidi wakiwakata vichwa hadharani pamoja na wewe.
Unadhani utapata hiyo heshima unayoitaka?

Au unadhani magaidi na mabomu yanachagua nani wa kulipua au wa kumkata shingo?
 
Trump kasema hana Imani na kura zinazopigwa kwa njia ya posta huko US na ikitokea akashindwa atajitangaza kashida
We are deeply concerned by reports of election irregularities, politically motivated arrests, and violence during Tanzania’s elections last week. We urge authorities to fully address concerns of irregularities and will review allegations of the use of force against civilians.


NB: Kwa wale wasioelewa ni kuwa kwa utaratibu wa Marekani, huyu akishaongea kinachofuata ni hatua za kinidhamu. Yani kwa upande wa Marekani huyu akishazungumza basi jiandae kwa kuchukuliwa hatua maana mwisho wa matamko ni kwa secretary of state.

Pili Marekani akishachukua hatua wanafuata washirika wake wa Ulaya.

Marekani kwa siku za karibuni imechukua hatua kali kwa wavurugaji wa uchaguzi mataifa mbalimbali
 
Dunia inaanza kufunguka matendo yao ya aibu yanazidi kuanikwa, uchaguzi ule haukuwa huru na wa haki hilo halina ubishi, yeyote anayetetea uhuni ule kwasababu yoyote ile ana matatizo ya akili.

Walidhani yatapita hivi hivi, sasa dunia imeanza kuwanyooshea kidole.

The option is simple; fanya wanavyoelekeza, kama hutaki subiri hatma yako, najua sasa huko lumumba hapakaliki, hapalaliki, hata hivi vibuyu vyao humu jf vinatetemeka.
Kama watu waulaya hatoingilia kati kwanguvu zote basi malengo ya vyama vingi kumpa nafuu wananchi yatakuwa hakuna nakama ikitokea hivyo kura yanwananchi haiwezi pata heshima nibora vyama vingi vifutwe
 
View attachment 1618016


UINGEREZA YATAKA UCHUNGUZI HURU UFANYIKE KUHUSU UCHAGUZI WA TANZANIA

Kulingana na taarifa iliotolewa na Uingereza na kuchapishwa tarehe mosi mwezi Novemba, Taifa hilo sasa linajiunga na mataifa mengine katika kuitisha uchunguzi huru ufanywe ili kuondoa wasiwasi unaozidi kuenea katika taifa La Tanzania

Waziri wa masuala ya Afrika James Duddridge amesema kwamba Uingereza inashangazwa na ripoti za ghasia na kiwango cha juu cha maafisa wa polisi katika vituo vya kupigia kura ikiwemo suala zima la kukamatwa kwa baadhi ya viongozi wa upinzani.

Amesema kwamba Uingereza pia ina wasiwasi kuhusu madai ya kuingiliwa kwa uchaguzi huo, kujazwa kwa kura katika masanduku ya kupigia kura na kuzuiliwa kwa mawakala wa vyama vya upinzani kuingia katika vituo vya kupigia kura.

Vilevile taifa hilo limeshangazwa na madai ya ripoti za ghasia na kiwango kikubwa cha maafisa wa polisi katika vituo vya kupigia kura wakati wa uchaguzi, ikiwemo kukamatwa kwa baadhi ya viongozi wa upinzani.

Kulingana na taarifa hiyo , Uingereza imesema kwamba kwa Tanzania kuwa dhabiti na kustawi katika siku za usoni , itahitaji mchakato wa kidemokrasia ulio huru na wa haki, unaoungwa mkono na vyombo vya habari vilivyo huru.

Source: BBC
Bora hawa wameongea kitu cha maana.
Tuanze upya na tuletewe watu watakao unda tume huru ya muda.

Baada ya uchaguzi huru na haki tutaunda yetu iliyo huru.
 
We are deeply concerned by reports of election irregularities, politically motivated arrests, and violence during Tanzania’s elections last week. We urge authorities to fully address concerns of irregularities and will review allegations of the use of force against civilians.


NB: Kwa wale wasioelewa ni kuwa kwa utaratibu wa Marekani, huyu akishaongea kinachofuata ni hatua za kinidhamu. Yani kwa upande wa Marekani huyu akishazungumza basi jiandae kwa kuchukuliwa hatua maana mwisho wa matamko ni kwa secretary of state.

Pili Marekani akishachukua hatua wanafuata washirika wake wa Ulaya.

Marekani kwa siku za karibuni imechukua hatua kali kwa wavurugaji wa uchaguzi mataifa mbalimbali
Marekani nikuwakataa tu Kama walivyokataliwa na Kim Jong Un na maisha bado yanaendelea.
Wasenge Sana hao jamaa.
 
Uganda wana mapungufu yao lakini Uganda wapo vizuri kwa wafanyabiashara Benk kuu ya Uganda haidhulumu pesa za wafanyabiashara zinazotumwa toka nje , hawana usumbufu kwa wafanyabiashara kabsa hakuna kubambikiwa kesi za uhujumu uchumi wala utakatishaji fedha ili kumdhulumiwa pesa zako
Haya yote hayana ushahidi ila kama yapo naamini yanazungumzika na kufikia muafaka cha msingi ni kila pande kujishusha na kukaa meza moja ila sio kuhamasisha vurugu mitaani kumbuka asilimia kubwa hatuna chama
Uganda wana mapungufu yao lakini Uganda wapo vizuri kwa wafanyabiashara Benk kuu ya Uganda haidhulumu pesa za wafanyabiashara zinazotumwa toka nje , hawana usumbufu kwa wafanyabiashara kabsa hakuna kubambikiwa kesi za uhujumu uchumi wala utakatishaji fedha ili kumdhulumiwa pesa zako
 
Kati ya chaguzi zilizokuwa na AMANI kubwa kabisa ni huu!!!! Wasiokuwepo kwenye uchaguzi badala ya kuwasikiliza WAANGALIZI WA UCHAGUZI Wao wanachukua matamko ya upinzani na kuwa ndo yao!!!
 
We are deeply concerned by reports of election irregularities, politically motivated arrests, and violence during Tanzania’s elections last week. We urge authorities to fully address concerns of irregularities and will review allegations of the use of force against civilians.


NB: Kwa wale wasioelewa ni kuwa kwa utaratibu wa Marekani, huyu akishaongea kinachofuata ni hatua za kinidhamu. Yani kwa upande wa Marekani huyu akishazungumza basi jiandae kwa kuchukuliwa hatua maana mwisho wa matamko ni kwa secretary of state.

Pili Marekani akishachukua hatua wanafuata washirika wake wa Ulaya.

Marekani kwa siku za karibuni imechukua hatua kali kwa wavurugaji wa uchaguzi mataifa mbalimbali
sawa
 
hahahaha daaah wana chadema bana! hakuna uchaguzi unarudiwa + wote wakina sugu, lema , mbowe ndo mwisho wa siasa zao za maji taka
Siasa za maji taka zipo CCM kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi ni siasa za maji taka
 
Back
Top Bottom