Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 3,864
- 5,853
Mnachekesha.
Unadhani mzungu anakutakia mema au yeye anajali maslahi yake binafsi ndo maana anajaribu kutafuta ushawishi ndani ya nchi.
Amkeni nyie waafrika mnasikitisha sana.
Ndio maana tulifanywa watumwa.
NB: Nimeandika kama mtazania na sio kwa itikadi za vyama vya kisiasa.
Unadhani mzungu anakutakia mema au yeye anajali maslahi yake binafsi ndo maana anajaribu kutafuta ushawishi ndani ya nchi.
Amkeni nyie waafrika mnasikitisha sana.
Ndio maana tulifanywa watumwa.
NB: Nimeandika kama mtazania na sio kwa itikadi za vyama vya kisiasa.