Uchaguzi 2020 Secretary Pompeo azungumzia kinachoendelea Tanzania kuhusu mambo ya Uchaguzi

We are deeply concerned by reports of election irregularities, politically motivated arrests, and violence during Tanzania’s elections last week. We urge authorities to fully address concerns of irregularities and will review allegations of the use of force against civilians.


NB: Kwa wale wasioelewa ni kuwa kwa utaratibu wa Marekani, huyu akishaongea kinachofuata ni hatua za kinidhamu. Yani kwa upande wa Marekani huyu akishazungumza basi jiandae kwa kuchukuliwa hatua maana mwisho wa matamko ni kwa secretary of state.

Pili Marekani akishachukua hatua wanafuata washirika wake wa Ulaya.

Marekani kwa siku za karibuni imechukua hatua kali kwa wavurugaji wa uchaguzi mataifa mbalimbali
Tuliyatabiri haya mapema, ngoja tuone
 
Dunia inaanza kufunguka matendo yao ya aibu yanazidi kuanikwa, uchaguzi ule haukuwa huru na wa haki hilo halina ubishi, yeyote anayetetea uhuni ule kwasababu yoyote ile ana matatizo ya akili.

Walidhani yatapita hivi hivi, sasa dunia imeanza kuwanyooshea kidole.

The option is simple; fanya wanavyoelekeza, kama hutaki subiri hatma yako, najua sasa huko lumumba hapakaliki, hapalaliki, hata hivi vibuyu vyao humu jf vinatetemeka.
Hujuma iliofanywa na waliohusika kufanikisha matokeo ya uchaguzi haikuwa ya kisomi, iliandaliwa na amateurs. Kila move tangu mwanzo mwisho ilikuwa wazi. Na kama ni wabobezi, wamefanya makusudi kwa kuichoka system.
 
Uchaguzi au uchunguzi?
Heading na habari vinayofautiana!

Waambie hao waingereza na Marekani, kwamba huu ulikuwa uchaguzi wetu na wao Wana uchaguzi wao, na tumeufanya kwa pesa yetu!
Na nchi yetu ni huru, na watanzania waliopiga kura wametulia na kazi zao
Kama demokrasia ni upinzani kushinda hiyo demokrasia itakuwa haina maana, other wise waseme kuwa ukoloni umerudi upya!
Demokrasia ni kuacha maamuzi ya mwisho mikononi mwa wananchi/wapiga kura sio wananchi wanaamua hivi halafu kikundi cha wachache wanaamua vingine.

Hilo lipo aazi nadhani unajua yanayotokea kwa nchi za Kiafrika.
 
Kauli za kuwapa matumaini wapinzani,

Sisi tunasonga ,

Kama Lisu na genge lake anafikiri kuna muujiza wa kumpeleka Ikulu atasubiri sana,

Mchezo ushakwisha , leo kaapishwa Mwinyi anafuata Magufuli.

Sisi tunaendelea kujenga Taifa letu, nyie endeleeni kulichafua mkidhani sifa.
 
Wana toa matamko thwn within 3 months Boeing wana pewa dili la ndege hutowasikia tena akina pumbapeo
 
We are deeply concerned by reports of election irregularities, politically motivated arrests, and violence during Tanzania’s elections last week. We urge authorities to fully address concerns of irregularities and will review allegations of the use of force against civilians.


NB: Kwa wale wasioelewa ni kuwa kwa utaratibu wa Marekani, huyu akishaongea kinachofuata ni hatua za kinidhamu. Yani kwa upande wa Marekani huyu akishazungumza basi jiandae kwa kuchukuliwa hatua maana mwisho wa matamko ni kwa secretary of state.

Pili Marekani akishachukua hatua wanafuata washirika wake wa Ulaya.

Marekani kwa siku za karibuni imechukua hatua kali kwa wavurugaji wa uchaguzi mataifa mbalimbali
View attachment 1618016


UINGEREZA YATAKA UCHUNGUZI HURU UFANYIKE KUHUSU UCHAGUZI WA TANZANIA

Kulingana na taarifa iliotolewa na Uingereza na kuchapishwa tarehe mosi mwezi Novemba, Taifa hilo sasa linajiunga na mataifa mengine katika kuitisha uchunguzi huru ufanywe ili kuondoa wasiwasi unaozidi kuenea katika taifa La Tanzania

Waziri wa masuala ya Afrika James Duddridge amesema kwamba Uingereza inashangazwa na ripoti za ghasia na kiwango cha juu cha maafisa wa polisi katika vituo vya kupigia kura ikiwemo suala zima la kukamatwa kwa baadhi ya viongozi wa upinzani.

Amesema kwamba Uingereza pia ina wasiwasi kuhusu madai ya kuingiliwa kwa uchaguzi huo, kujazwa kwa kura katika masanduku ya kupigia kura na kuzuiliwa kwa mawakala wa vyama vya upinzani kuingia katika vituo vya kupigia kura.

Vilevile taifa hilo limeshangazwa na madai ya ripoti za ghasia na kiwango kikubwa cha maafisa wa polisi katika vituo vya kupigia kura wakati wa uchaguzi, ikiwemo kukamatwa kwa baadhi ya viongozi wa upinzani.

Kulingana na taarifa hiyo , Uingereza imesema kwamba kwa Tanzania kuwa dhabiti na kustawi katika siku za usoni , itahitaji mchakato wa kidemokrasia ulio huru na wa haki, unaoungwa mkono na vyombo vya habari vilivyo huru.

Source: BBC
SASA TUMECHOKA NA HAYA MATAMKO. TUNAHITAJI MATENDO DHABITI, TENA KWA HARAKA
 
Unaumwa wewe,wananchi wenyewe tumeona wizi Wa kura live.
 
Wasiokuwa na akili ni wale wanaodai kukamata kura feki na kuzichoma moto badala ya kuzihifadhi kama exhibit. Kura watengeze wao wazipige watoe kilio feki halafu kabla ya watu wenye weledi hawajaziona wanazichoma moto. Watanzania hatudanganyiki
Halafu kura hizo zikutwe kwenye mabegi yanayolindwa na polisi !
 
What next?
Screenshot_20201102-214628.jpg
Screenshot_20201102-214605.jpg
 
We are deeply concerned by reports of election irregularities, politically motivated arrests, and violence during Tanzania’s elections last week. We urge authorities to fully address concerns of irregularities and will review allegations of the use of force against civilians.


NB: Kwa wale wasioelewa ni kuwa kwa utaratibu wa Marekani, huyu akishaongea kinachofuata ni hatua za kinidhamu. Yani kwa upande wa Marekani huyu akishazungumza basi jiandae kwa kuchukuliwa hatua maana mwisho wa matamko ni kwa secretary of state.

Pili Marekani akishachukua hatua wanafuata washirika wake wa Ulaya.

Marekani kwa siku za karibuni imechukua hatua kali kwa wavurugaji wa uchaguzi mataifa mbalimbali
Kwania ameanza leo kuandika hayo kuhusu JMT ??? Acha uboya wewe anyway mpe Hi huyo bwana wako pompe
 
Kwani hili bara la Afrika ni la wazungu au la waafrika 😅😅😅😅wamevurugwa hao tena wasitupandishe hasira za miaka ya nyuma sisi ndio wenye nchi tumekwisha amua mitano tena wenyewe kina nani!?😲😲😲.


MAGUFULI4LIFE
 
Mabeberu wakisusia utalii Tanzania itakuaje?
Kigwangala ataleta Wachina kuja kuambukiza wanyama pot corona maana Serikali ya china ndiyo imegharamia uchaguzi wote ili mara baada ya uchaguzi ipiwe tenda zote kubwa
 
We are deeply concerned by reports of election irregularities, politically motivated arrests, and violence during Tanzania’s elections last week. We urge authorities to fully address concerns of irregularities and will review allegations of the use of force against civilians.


NB: Kwa wale wasioelewa ni kuwa kwa utaratibu wa Marekani, huyu akishaongea kinachofuata ni hatua za kinidhamu. Yani kwa upande wa Marekani huyu akishazungumza basi jiandae kwa kuchukuliwa hatua maana mwisho wa matamko ni kwa secretary of state.

Pili Marekani akishachukua hatua wanafuata washirika wake wa Ulaya.

Marekani kwa siku za karibuni imechukua hatua kali kwa wavurugaji wa uchaguzi mataifa mbalimbali
Mtu mweusi ni nyani tuu..hivi unazani huyoo kombeo akizungumza atakusaidia kitu? Huko marekani kwenyewe hakuna democracy..full stop
 
Back
Top Bottom