Ukienda scoan hupewi zaidi ya 3 na hiyo inakuwa kwenye package yako kama ulienda kupitia SCOAN. Lkn ukienda binafsi na kama hawagawi siku hiyo unanunua. And unacholipia sio annointing water bali ni packaging ambazo hutengenezwa nje ya Nigeria kuepuka matapeli, hata printing za stickers hazifanyiki Nigeria, so vyote hivyo vinahitaji gharama. Ila upako ni bure. Na tena kama wewe una hospitali na unataka utumie annointing water kwa wagonjwa wako, unapewa bure not less than 20 chupa za annointing water.
So Martha kaingiza gharama za usafiri, ambao lazima uwe wa uhakika kama dhl ili kuepuka mchina. So kupata sticker 2, annointing water, kitabu na dvd kwa elfu 80,000 ni fair hasa kwa wasio na usd 1,500 za kwenda huko.