SCOAN TANZANIA (Prophet TB Joshua)

SCOAN TANZANIA (Prophet TB Joshua)

na mimi nataka kuwa msukule jamani nahitaji haya maji kwa nguvu zote, mkuu ulielekeza mbezi beach ahsante sana. Mbona mlingotini watu wanaenda na wanafanikiwa? Acha na sisi twende kwa man of god tb joshua.

nenda ben mkapa tower nyuma jirani na bekari ipo ofisi pale
 
Nenda Benjamin mkapa tower wanaofisi zao pale karb na duka la mikate inapatikana kwa USD 50
 
T.b Joshua ni nabii wa kweli Mimi binafsi namfuatilia sana kupitia Emanuel tv na nimeona bwana akifanya mambo makubwa kwenye maisha yangu
 
The Truth Behind T.B. Joshua's Prophecy on Malaysia Airline Flight 370
​

​
Edited Prophecy posted on 8 March 2014:



Original Unedited Prophecy from 28 July 2013:



Prophecy of Fate of Missing Malaysian Plane on TB Joshua's Twitter Account, posted 12 March 2014:

[video]https://twitter.com/SCOANTBJoshua/status/443876092987072512[/video]

T.b Joshua ni nabii wa kweli Mimi binafsi namfuatilia sana kupitia Emanuel tv na nimeona bwana akifanya mambo makubwa kwenye maisha yangu

Nitaenda mkuu nayahitaji sana
 
Last edited by a moderator:
Unataka uyapeleke bungeni ukawatoe pepo? Ukaanze kumnywesha "Muheshimiwa Supika" na "Mh. Naiba Supika"
 
Huo ndo ukweli tatizo mnasikiliza maneno ya watu jaribu kufuatlia emanueli tv utaelewa ninachomaanisha
 
Ile ulioniuzia nashukuru sana imenisaidia sana, nilikua nimeishia sana!!!
mkuu nisaidie kutafuta wateja, limebaki dumu moja tu, nataka yakiisha niruke tena Abuja, uzuri ni kwamba siku hizi nabii wetu anaombea nusu lita tu ukija unaya'dilute na tank la lita elfu 4,
 
Imani yako itakuponya:
Maji kwa hapa Dar yanapatikana sehemu 3
1. Benjamin Mkapa tower ground floor near the bakery
2. Mbezi beach (you have the direction)
3. Baraka Towers - Mikocheni business centre (ulizia ofisi ya mama Blandina Nyoni)
 
jamani mbona tunakosoa imani za watu? hivi hamjui hata Daktari napokupa dawa ukinywa bila imani hauponi?

Wakristu mnakumbuka kuna jmaa mmoja aliponywa na Yesu na akaambiwa aende akanawe mto wa siloam ambao ulikua mbali na nako ishi, But mshkajai akawa najishauri na kujiuliza maswali kwanini asiniambie ninawe hapa hapa tu? but mwishowe akaenda kunawa katika mto whoiska na akapona.

When He had said this, He spat on the ground, and made clay of the spittle, and applied the clay to his eyes, 7and said to him, "Go, wash in the pool of Siloam " (which is translated, Sent). So he went away and washed, and came back seeing. 8Therefore the neighbors, and those who previously saw him as a beggar, were saying, "Is not this the one who used to sit and beg?"…

Elisha sent a messenger to say to him, "Go, wash yourself seven times in the Jordan, and your flesh will be restored and you will be cleansed."


Naaman's servants went to him and said, "My father, if the prophet had told you to do some great thing, would you not have done it? How much more, then, when he tells you, 'Wash and be cleansed'!"

hayo ni maajabu ya maji.
 
mkuu nisaidie kutafuta wateja, limebaki dumu moja tu, nataka yakiisha niruke tena Abuja, uzuri ni kwamba siku hizi nabii wetu anaombea nusu lita tu ukija unaya'dilute na tank la lita elfu 4,
itabidi uwe unalipa kodi ya mapato......bado nakudai risiti yangu please.
 
Dini bana madhehebu mengine wakitumia maji ya baraka ooh ooh sijui nini wanaabudu nini sijui.... dah ila sicker na hayo maji sio sanamu au??
 
Imani yako itakuponya:
Maji kwa hapa Dar yanapatikana sehemu 3
1. Benjamin Mkapa tower ground floor near the bakery
2. Mbezi beach (you have the direction)
3. Baraka Towers - Mikocheni business centre (ulizia ofisi ya mama Blandina Nyoni)

Asante caven katika wote

wewe ndo umenijibu kama nilivyokuwa nategemea.
Tafadhali nijulishe mbezi ni wap yanapatikana? Mimi sina direection.

Na baraka towers-mikocheni bussines centre ni wapi hapo??? Ni karibia na myfair?
 
Back
Top Bottom