SCOAN TANZANIA (Prophet TB Joshua)

SCOAN TANZANIA (Prophet TB Joshua)

Jmn mleta mada ucgeuze business. ...baada ya hyo martha kuw na nyodo za kupindukia malalamiko yalifik scoan na ss kuna coordinator mwngne anaitw Blandina Nyoni so taarifa yko ni ya uzushi na uongo mtupu kuw hamna mwngne anayeandikisha.martha hafai kanisani wla msikitin kwa mnaotak kukufuru jus dare kwnda kujiandikisha kwake mtaleta hp report au mtameza machungu yenu ndan kw ndan.tabia ya martha cna chakuifananisha nacho to be honest.

Badilisha namna ya uandishi wako kwanza, sidhani kama wewe ni kijana wa form II.
 
Aah!,...wpiiiiiiii..........ulizochuma hazikutoshi we kaaya?!tupishe hko tulisali sn upatiwe fundisho ndo hlo ss af bdo unadangany hamna coordinator mwngne yn nataman ht nikupeleke kwny udaku na hekaheka.ivi nangoj nn duuh!tulikuw tunakuhesabia tu cku ww.unauliz km hujui vle kuhusu blandina c unafki ulokothiri!.....narudia tn jmn pipo z nt lik namfeva yeyote ila hyu bi kizee martha hafaiiiii....,kanisan wl msikitin
 
Kaunga: Sijasema mimi ni Martha(Take Note)
 
Last edited by a moderator:
Kaunga: Sijasema mimi ni Martha(Take Note)

Na kwamba huna ulijualo zaidi ya bei ya annointing water na sticker.
Hivyo hukua na haja ya kufungua ID ya jina la SCOAN if you are not Martha maana huwezi jibu maswali ya msingi.
 
Last edited by a moderator:
Kaunga: Kwa mwaka it depends na taarifa tunazopeleka SCOAN...zikipitishwa, ile idadi ya watu waliopitishwa ndio tunawafanyia utaratibu wa kwenda. Na it depends pia na tatizo la mtu linalompeleka.....



Swala la ndugu yako, nitalifuatilia....lakini sina uhakika kwa muda wote huo mpaka sasa hajaenda. Huenda labda akawa na matatizo migration au hajakamilsha pesa.
 
Last edited by a moderator:
@sylm: Sidhani kama ni kweli....mnamzingizia bure mtumishi wa Mungu. Nawaomba radhi kwa wote walipata matatizo kwa namna moja au nyingine kwani wakati mwingine hua anakua hayupo ofisini na kuwakabidhi watu wakumsaidia.


Tunaomba radhi kwa hilo.
 
kabisaaa ni bora kwenda SCOAN upone kabisa na kuwaletea wengine bure. Huduma za Mungu nyinyi mnafanya biashara?!

Ukienda scoan hupewi zaidi ya 3 na hiyo inakuwa kwenye package yako kama ulienda kupitia SCOAN. Lkn ukienda binafsi na kama hawagawi siku hiyo unanunua. And unacholipia sio annointing water bali ni packaging ambazo hutengenezwa nje ya Nigeria kuepuka matapeli, hata printing za stickers hazifanyiki Nigeria, so vyote hivyo vinahitaji gharama. Ila upako ni bure. Na tena kama wewe una hospitali na unataka utumie annointing water kwa wagonjwa wako, unapewa bure not less than 20 chupa za annointing water.
So Martha kaingiza gharama za usafiri, ambao lazima uwe wa uhakika kama dhl ili kuepuka mchina. So kupata sticker 2, annointing water, kitabu na dvd kwa elfu 80,000 ni fair hasa kwa wasio na usd 1,500 za kwenda huko.
 
Badilisha namna ya uandishi wako kwanza, sidhani kama wewe ni kijana wa form II.

Pole km ndo alikuw anakuwek mjini.tupishege watu na akili zetu hatuzozani na mazuzu tucje zuzuka bureee....jipya huna babu eh!
 
Kaunga: Sijasema mimi ni Martha(Take Note)

Wewe ni tapeli mkubwa! Kama kweli wewe ni mtumishi wa mungu unatoa wapi ujasiri wa kusema kuna coordinator moja ilhali unajua wazi kabisa wako wengine ambao nao pia wamekuwa authorized na scoan! Wewe ni mnafiki, muongo na tapeli, na unaharibu kabisa sifa ya scoan...
 
Last edited by a moderator:
batchu: Tusamehe ndugu yetu....hatuna tabia hizo na usituchafulie tafadhali.
 
Last edited by a moderator:
Elli: Mungu ananjia nyingi sana za kuonyesha nguvu zake. Kwahiyo sio kwa kusali au kusoma neno lake unaweza kuziona nguvu hizo. Nitakupa mifano kadhaa:-

1. Mtume Paulo enzi zake alikua akitumia aprons na vitambaa vya mikononi kuponya watu wenye shida mbali mbali. Ni watu wengi walienda kupata bidhaa zake. Lakini tambua...hawakupewa tu bure kwasababu vile vitu vilikua vikinunuliwa kwa gharama.Hapo utaona Mungu anajidhihirisha kupitia vitambaa vya mikono.


2. Mtume Peter, yeye alitumia kivuli chake kuponya watu wenye matatizo. I mean, akiwa kasimama au kukaa ukipita kwenye kivuli chake unakuwa safi kabisa.


3. Yesu pia aliweza kutumia Mate na Udongo kumponya mtu kipofu.

4. Tumeona hata baadhi ya watumishi kwenye Biblia wakitumia mafuta kuwapaka watu.

5. Leo hii, Prophet TB Joshua anatumia sticker na maji kuwaponya watu na kuwatatulia watu wenye shida mbalimbali kupita vyanzo hivyo.

Kumbuka ni gharama kutengeza na kuvisafirisha vitu hivyo.


#Kwanini usiende SCOAN kwa miguu kutoka hapo ulipo kama kila kitu cha Mungu kwako ni bure?..simple!

Nilikuwa nangojea useme Bwana Yesu naye aliuza udongo na mate; Petro kwamba aliuza kivuli chake kwa kila anayepita. Kwa imani tu mambo yote huwa! Biashara ikichanganywa na neema huw ni dalili za neema kutoweka. Martin Luther naye alishindana na Papa wake kwa dhana ya kulipia toba na kujitesa sana kupanda ngazi 12 kwa magoti na kadha wa kadha, ndio maana ya madhehebu kuinuka kila wakati kwa kukosa kuelewa nani hasa anasema kweli. Zichunguzeni roho maana sio kila asemaye katumwa na Bwana anasema kweli. Lakini wenye kuamini sticker nunueni wala msiwazodoe hao, wenye kununua maji kwa dola 50 nunua kwa imani yako wala usiogope mtu anayekuzodoa maana siri yako ni wewe na Mungu wako. Hata Loliondo waliokwenda kwa babu kwa imani ya kweli walipona. Enzi za Musa sio wote waliojaribu kumtazama nyoka wakapona bali wale waliotarajia uwezo wa Mungu kuwajia kupitia nyoka yule aliyening'inizwa kwenye mti. Naam, hata Yesu Kristo hakuaminiwa pamoja na mambo makuu mengi aliyoyaonyesha kwao watu wake aliowajia. Sio ajabu hata TB Joshua akinenewa kinyume kwani ikiwa mti mbichi ulining'inizwa kwenye mti wa laana, inakuwaje mti mkavu? Hapo ulipo ndipo uponyaji wako ulipo kutoka kwa Mungu, tatizo ni imani yako finyu wala maji au sticker havisaidii kama you have no focus onto the Lord God. Mungu hauziki na wala hana tangible bei. Tunaokolewa kwa neema na sio kwa pesa tuliyo nayo.
 
Yule mama aliopo pale Benjamin Mkapa mmeshambadilisha au bado yupo yule yule? anaongea vibaya sana mwambie aache majibu mabaya kama anafanya kazi ya mungu kweli!! anaongea vibaya ukimuuliza kitu anakukatia simu na hakujibu.

Labda ana pepo!!!! Akaombewe..
 
Kwanza Marth hii tabia yako ya kuchukua dolla 50 kwa watu kwajili ya Annointing water hata T. B Joshua alishangaa kwa nini unachukua hela nyingi sana. Ikabidi watu walio kwenda SCOAN na dolla 100 kwa jili ya annointing wapewe 3 badala ya mbili unazo tuuzia wewe, na kila chupa moja ilikuwa inakuja na sticker 3 badala ya sticker moja uliyokuwa unatupa hapa tanzania. KWA UJUMLA HUFAI KUWA BINADAMU WEWE UMEWANYANYASA SANA WATANZANIA. Nadhani umeona biashara imekuendea vibaya sasa umekuja kwa mtindo mwingine. Hatuku taki.
 
Back
Top Bottom