Elli: Mungu ananjia nyingi sana za kuonyesha nguvu zake. Kwahiyo sio kwa kusali au kusoma neno lake unaweza kuziona nguvu hizo. Nitakupa mifano kadhaa:-
1. Mtume Paulo enzi zake alikua akitumia aprons na vitambaa vya mikononi kuponya watu wenye shida mbali mbali. Ni watu wengi walienda kupata bidhaa zake. Lakini tambua...hawakupewa tu bure kwasababu vile vitu vilikua vikinunuliwa kwa gharama.Hapo utaona Mungu anajidhihirisha kupitia vitambaa vya mikono.
2. Mtume Peter, yeye alitumia kivuli chake kuponya watu wenye matatizo. I mean, akiwa kasimama au kukaa ukipita kwenye kivuli chake unakuwa safi kabisa.
3. Yesu pia aliweza kutumia Mate na Udongo kumponya mtu kipofu.
4. Tumeona hata baadhi ya watumishi kwenye Biblia wakitumia mafuta kuwapaka watu.
5. Leo hii, Prophet TB Joshua anatumia sticker na maji kuwaponya watu na kuwatatulia watu wenye shida mbalimbali kupita vyanzo hivyo.
Kumbuka ni gharama kutengeza na kuvisafirisha vitu hivyo.
#Kwanini usiende SCOAN kwa miguu kutoka hapo ulipo kama kila kitu cha Mungu kwako ni bure?..simple!
Ucjioshe we kima tna nimekutesr tu kwa PM nione km mmejirekebisha kwl afu unatukana ungejua hp ndo kwnywe ht ucngetukana.mlijificha kwny wokovu wa kinafki kwa muda ss nafac hamna tna afu hyo fisi kasoro mkia ni mamako mzazi na hcho kimartha chakp kinschokuremote utukane cjui mpo wote.adabu wla hekima hamna mkojoe mlale tu nyie.unipe maji ya bure kwa lp km co presha ishakupanda kw mipasho?!kwa taarif yko tu kw Prophet nshaenda tna co mara moja mwache kuwaonea watu.tn mfunge ikiwezekn au mnasubir mpk tone la mwisho?!hta mlale chn hakuna anayewajua atakayekuja.....
sidanganyiki
Haha, 50$ bora nikapige bia kuliko kununua maji ya kishetani
Duh Sijui wewe Ndio umeacha nikatukanwa kwenye PM na hao SCOAN hata sijui
Hawa ni wafany biashar tn bla ya aibu wanatak kuvuna kw wenye shida na kiu ya Mungu.wanaomb msamah uongo coz washaumbuk ukiwaPM ndo wanatukan.kiukwel narudia tn coni jna linalowastahili.
Hivi huyu SCOAN ni He/ she maana anadil na PM tu
Anatukan sn kwny PM.katukosa aibu naona hajajibu hoja ht moja ya matuc yke kaingia mitin.inawezekn ypo labour man mimba alizotiwa jn nahic atakuwa ICU...analeta ukachero kwny neno la Mungu.atupishe akafie mbali hkoooo....
Aisee na mie nimeshangaaa naporomoshewa matusi
Hiyo namba uliyoiweka kuna siku nimeipga karibu mara kumi inaiita haipokelewi tena kwa muda tofauti baadaye akawa anaikata inaonyesha kweli huyo martha anajisikia sana hafai kuwa coordinator! Bora kama mmebadilisha!Kaunga: Sijasema mimi ni Martha(Take Note)
***** hawa ni Matapeli, Afu wana majibu ya nyodo sana. Dola 50??
Sasa nawa PM afu nakaza mmoja baada ya mwingine.
Bwana Yesu Asifiwe!
Nina wataarifu kuwa, kwa wale wamtumainiao Bwana...wale wenye shida mbali mbali na wale ambao wamekua wakimfuatilia Prophet TB Joshua via #Emmanuel Tv; kwa namna moja au nyingine wamekua na hamu ya kwenda SCOAN au kupata Anointing water, Sticker, Vitabu pamoja na DVD ; ofisi zipo Dar es Salaam, Posta #Jengo la Mkapa house, Ground floor- jirani na duka la nguo la Mariedo.
1. Utapata maelekezo jinsi ya kusafiri
2. Kwa wanaohitaji vitu tajwa hapo juu : vinapatikana hapo but kwa dolar 50. (50USD)
Kwa mawasiliano zaidi, wasiliana na Dada Martha ambae ni agent wa SCOAN kwa hapa Tanzania kupitia namba +255755875201.
#Be aware of Fraudsters!!!!...TANZANIA INA AGENT MMOJA TU NA YUPO JENGO LA MKAPA HOUSE. OFISI ZIPO WAZI KUANZIA SAA MOJA MPAKA SAA NNE ASUBUHI KULINGANA NA WATEJA.