SCOAN TANZANIA (Prophet TB Joshua)

SCOAN TANZANIA (Prophet TB Joshua)

Reading bible bible without a knowledge and a corresponding power from above you is like Ur reading events and history... And worshipping God without depending on his spirit is like Ur worshipping God you do not know....
 
Elli: Mungu ananjia nyingi sana za kuonyesha nguvu zake. Kwahiyo sio kwa kusali au kusoma neno lake unaweza kuziona nguvu hizo. Nitakupa mifano kadhaa:-

1. Mtume Paulo enzi zake alikua akitumia aprons na vitambaa vya mikononi kuponya watu wenye shida mbali mbali. Ni watu wengi walienda kupata bidhaa zake. Lakini tambua...hawakupewa tu bure kwasababu vile vitu vilikua vikinunuliwa kwa gharama.Hapo utaona Mungu anajidhihirisha kupitia vitambaa vya mikono.


2. Mtume Peter, yeye alitumia kivuli chake kuponya watu wenye matatizo. I mean, akiwa kasimama au kukaa ukipita kwenye kivuli chake unakuwa safi kabisa.


3. Yesu pia aliweza kutumia Mate na Udongo kumponya mtu kipofu.

4. Tumeona hata baadhi ya watumishi kwenye Biblia wakitumia mafuta kuwapaka watu.

5. Leo hii, Prophet TB Joshua anatumia sticker na maji kuwaponya watu na kuwatatulia watu wenye shida mbalimbali kupita vyanzo hivyo.

Kumbuka ni gharama kutengeza na kuvisafirisha vitu hivyo.


#Kwanini usiende SCOAN kwa miguu kutoka hapo ulipo kama kila kitu cha Mungu kwako ni bure?..simple!

Ndo majibu yenu haya?.?
Nyie wapakwa mafuta wa SCOAN, na kumbukeni kuna dada amewahi kulalamikiwa kwa majibu ya nyodo na kebbehi.....
MTAWATAMBUA KWA MATENDO YAOOOOO........ ENDELEENI NA MAJIBU YENU ILI YULE ALIYE NDANI YENU ADHIHIRISHWE KWETU
 
Ucjioshe we kima tna nimekutesr tu kwa PM nione km mmejirekebisha kwl afu unatukana ungejua hp ndo kwnywe ht ucngetukana.mlijificha kwny wokovu wa kinafki kwa muda ss nafac hamna tna afu hyo fisi kasoro mkia ni mamako mzazi na hcho kimartha chakp kinschokuremote utukane cjui mpo wote.adabu wla hekima hamna mkojoe mlale tu nyie.unipe maji ya bure kwa lp km co presha ishakupanda kw mipasho?!kwa taarif yko tu kw Prophet nshaenda tna co mara moja mwache kuwaonea watu.tn mfunge ikiwezekn au mnasubir mpk tone la mwisho?!hta mlale chn hakuna anayewajua atakayekuja.....

Duh Sijui wewe Ndio umeacha nikatukanwa kwenye PM na hao SCOAN hata sijui
 
Last edited by a moderator:
Haha, 50$ bora nikapige bia kuliko kununua maji ya kishetani
 
Okay of all that let us don't hate the person bt hate the habit... of someone.
 
Duh Sijui wewe Ndio umeacha nikatukanwa kwenye PM na hao SCOAN hata sijui

Hawa ni wafany biashar tn bla ya aibu wanatak kuvuna kw wenye shida na kiu ya Mungu.wanaomb msamah uongo coz washaumbuk ukiwaPM ndo wanatukan.kiukwel narudia tn coni jna linalowastahili.
 
Last edited by a moderator:
kwakweli kitendo cha kufanyia biashara karama ya Mungu ni ufisadi wa hali ya juu kwa maana yesu alisema mlipewa bure toeni bure na simoni alitaka kununua karama akakemewa
ko mm sikubaliani kufungua duka la kuuza karama za Mungu kama ni maono basi ni mapya na yesu hakutoza wala poul
 
Hawa ni wafany biashar tn bla ya aibu wanatak kuvuna kw wenye shida na kiu ya Mungu.wanaomb msamah uongo coz washaumbuk ukiwaPM ndo wanatukan.kiukwel narudia tn coni jna linalowastahili.

Hivi huyu SCOAN ni He/ she maana anadil na PM tu
 
Hivi huyu SCOAN ni He/ she maana anadil na PM tu

Anatukan sn kwny PM.katukosa aibu naona hajajibu hoja ht moja ya matuc yke kaingia mitin.inawezekn ypo labour man mimba alizotiwa jn nahic atakuwa ICU...analeta ukachero kwny neno la Mungu.atupishe akafie mbali hkoooo....
 
Anatukan sn kwny PM.katukosa aibu naona hajajibu hoja ht moja ya matuc yke kaingia mitin.inawezekn ypo labour man mimba alizotiwa jn nahic atakuwa ICU...analeta ukachero kwny neno la Mungu.atupishe akafie mbali hkoooo....

Aisee na mie nimeshangaaa naporomoshewa matusi
 
***** hawa ni Matapeli, Afu wana majibu ya nyodo sana. Dola 50??

Sasa nawa PM afu nakaza mmoja baada ya mwingine.
 
Aisee na mie nimeshangaaa naporomoshewa matusi

Mm coni sababu ya kutomrusha kwny heka heka hki kimartha kinaujeuri wa kimeru sn.cjui cha aina gn au lile jani noumaaa?!hao wafuac wke hta kuandik hawajui nao washapat vielement vyake.alomponza jn kurusha ile thread hatokaa kumsahau maishan mwake.njia ya mwongo ni fupi.
 
Kaunga: Sijasema mimi ni Martha(Take Note)
Hiyo namba uliyoiweka kuna siku nimeipga karibu mara kumi inaiita haipokelewi tena kwa muda tofauti baadaye akawa anaikata inaonyesha kweli huyo martha anajisikia sana hafai kuwa coordinator! Bora kama mmebadilisha!
 
Last edited by a moderator:
***** hawa ni Matapeli, Afu wana majibu ya nyodo sana. Dola 50??

Sasa nawa PM afu nakaza mmoja baada ya mwingine.

Hahahaaaa. ......washastuk watakuw hawatukn tn mafisadi wakijinga hawa
 
Lakini mbona Tb joshua mwenyewe anasema hivi vitu wao hawauzi.....acha kudanganya raia wewe!!....BiG FRAUDSTAR
 
Bwana Yesu Asifiwe!


Nina wataarifu kuwa, kwa wale wamtumainiao Bwana...wale wenye shida mbali mbali na wale ambao wamekua wakimfuatilia Prophet TB Joshua via #Emmanuel Tv; kwa namna moja au nyingine wamekua na hamu ya kwenda SCOAN au kupata Anointing water, Sticker, Vitabu pamoja na DVD ; ofisi zipo Dar es Salaam, Posta #Jengo la Mkapa house, Ground floor- jirani na duka la nguo la Mariedo.


1. Utapata maelekezo jinsi ya kusafiri
2. Kwa wanaohitaji vitu tajwa hapo juu : vinapatikana hapo but kwa dolar 50. (50USD)


Kwa mawasiliano zaidi, wasiliana na Dada Martha ambae ni agent wa SCOAN kwa hapa Tanzania kupitia namba +255755875201.


#Be aware of Fraudsters!!!!...TANZANIA INA AGENT MMOJA TU NA YUPO JENGO LA MKAPA HOUSE. OFISI ZIPO WAZI KUANZIA SAA MOJA MPAKA SAA NNE ASUBUHI KULINGANA NA WATEJA.


Mnapewa nguvu bure nyie mwauzia watu why?

Yesu mbona hakuuza uponyaji? Nyie hamtoki kwa yule mwovu?


Hatudanganyiki na maji yenu ya mvua manabii wa uongo.....
 
mtowa mada ajaelewa haswa kusudi la iyo huduma, jamani annointing water na stiker aziuzwi bali kinachouzwa ni cd kwa iyo bei aliyotaja hapo juu, then ukisha nunua cd unazawadiwa annointing water na stiker bure, kwani amma anayeweza kuuza upako( annointing), upako unatolewa bure kwani bwana Yesu alishalipa gharama yote pale kalivari.
 
Back
Top Bottom