Kingmairo
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 4,936
- 3,548
GOODMORNING!!!
Kwa hapa Tanzania kuna Coordinators wa 3. Mama Consolata, Mama Nyoni na Marha. Mimi nilibahatika kwenda kwa kupitia mama Nyoni na kweli sikusumbuliwa kitu chochote kile na Mama Nyoni alikuwa muelewa sana kwangu.
Nilikwenda tarehe 11/6/2014 na kurudi 18/062014 kwa bahati ilikuwa ile week ya Birthday yake na New Annointing Water na Bracelet. Tulipewa kimoja kimoja kwa kila kichwa. Na Annointing Water tuliambiwa tusiuzee. Na itakuwa laana kwa anayeuza au kununua so please mtu asinunue maji hayauzwi. Ila tuliambiwa tuwape watu drop kwa kila anaye omba sasa inategemea chombo ulicho nacho. Kama ni pipa basi drop inatosha na maji yanakuwa na nguvu ile ile na kama ni lita moja basi pia drop inatosha na nguvu ni ile ile.
Kwahiyo Annointing Water mpya ipo ila itakuwa imekuja na wale watu walio kwenda kuanzia mwezi wa sita.
Bracelet pia walipewa wale waliokwenda kuanzia mwezi wa sita ila kila mtu alipewa moja. Ukiona kuna anaye uza basi jua sio ya kutoka Scoan.
Kuweni makini na Matapeli.
Mkuu hebu tupatie physical address ya mama Nyoni (ofisi zake zilipo). Nasikitika sana huyu Martha hana matendo yanayoendana na hudumu anazozitoa. Mwanzo nlidhani watu wanampakazia ila nimefika pale nimejionea mwenyewe.