Kwani ni nani aliyetoa TUHUMA hapa Kati yetu? niende k/koo au wizara ya fedha kufanya nini ili hali wewe unao USHAHIDI wa unayoyasema hapa?
Weka USHAHIDI hapa mkuu,acha kupiga sarakasi za visingizio!!
Endelea ndugu yangu kujiaminisha uongo nisikuharibie ulevi wako!