ngalelefijo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 3,709
- 2,272
Ben8 alisema PhD feki,yuko wapi??tundu lisu alihoji,alipigwa.angemuacha Asad??alikubali ili apone.AKILI HUNA mkuuWewe badala ya kulia lia hapa ,kwanini usiweke hapa vithibitisho vinavyoonyesha huo wizi wake?
Mbona huyo Assad alisimamishwa na Magu mbele ya camera akaambiwa aseme hizo 1.5 trillion zilizopotea ni zipi,akajibu Hakuna hela iliyopotea?
Sasa wewe unavyosema zile 1.5 trillion,nikikuuliza zilikuwa wapi utaweza kunijibu?