Sawa huenda Hayati Magufuli alikuwa fisadi, Je hizo pesa zilitoka wapi?

Kwa mujibu wa HADITHI zenu za karibuni ni kwamba JPM alikuwa bonge la kiongozi FISADIA katika hii nchi haijawahi kutokea ,

yaani kwa hesabu za haraka haraka ndani ya utawala wake wa miaka 6,ameiba zaidi ya 7trillion za kitanzania

Sawa,yafuayato yote ni kwa mujibu wenu nyinyi wenyewe tangu JPM akiwa hai

Katika kipindi cha utawala wake UCHUMI wa nchi ulikufa kabisa kutokana na sera zake mbovu na CHUKI zake kwa MATAJIRI,hali iliyopelekea wawekezaji kuondoka na kufunga viwanda vyao

Wawekezaji wapya waliogopa kuja nchini kutokana na utawala wake wa kidikteta

Aliharibu ama kuuwa kabisa sekta binafsi nchini hivyo kupelekea nchi kuwa na mzunguko mdogo wa kifedha mtaani,yaani hali ilikuwa mbaya

Alikuwa akipika takwimu kuonyesha uchumi unakuwa ili hali uchumi ulikuwa hoi bin taaban

Maduka makubwa kariakoo na karibu nchi nzima yalikuwa yakifungwa, na ndio sababu

Alikuwa akipika takwimu za makusanyo kila mwezi kwa kushirikiana na TRA ili hali makusanyo yalikuwa haba kabisa

Alitengwa na jamii za kimataifa na kunyimwa misaada kutokana na kuminya demokrasia nchini

Alikuwa akilipa madeni kimya kimya kutokana na amri za mahakama za kimataifa baada ya kukurupuka kuvunja mikataba ya kampuni mbali mbali

Aliua kabisa bandari ya Dar kiasi kulikuwa hakuna kabisa meli zilizokuwa zinakuja hapo bandarini(wafanyabiashara walikimbilia bandari za Mombasa,Msumbiji na DURBAN)

Alikuwa anakopa sana mikopo isiyo rafiki kwa nchi ili

Kununua ndege kwa cash

Kununua wapinzani

Kuhamishia serikali Dodoma

Kujenga bwawa la Nyerere

Kujenga SGR

Kujenga daraja la Busisi(kuwafurahisha wakwe)

Kujenga airport ya chato (international?)

Na mambo mengine kibao kama kujenga barabara,hospitali,madaraja,kukarabati viwanja vya ndege nk nk( tunataka maendeleo ya watu na sio vitu ....mnakumbuka?)

Sasa swali langu kwenu WAUNGWANA, kutokana na hayo yote hapo juu mliyokuwa mkituambia (msidhani tumesahau)

Je hayo matrillions aliyofisadi JPM yalikuwa yanatokea wapi..???
Wahuni ndio wamejitungia hadithi lkn waelevu tunajua kinachoendelea mwishowe wataangukia pua
 
Kwa mujibu wa HADITHI zenu za karibuni ni kwamba JPM alikuwa bonge la kiongozi FISADIA katika hii nchi haijawahi kutokea ,

yaani kwa hesabu za haraka haraka ndani ya utawala wake wa miaka 6,ameiba zaidi ya 7trillion za kitanzania

Sawa,yafuayato yote ni kwa mujibu wenu nyinyi wenyewe tangu JPM akiwa hai

Katika kipindi cha utawala wake UCHUMI wa nchi ulikufa kabisa kutokana na sera zake mbovu na CHUKI zake kwa MATAJIRI,hali iliyopelekea wawekezaji kuondoka na kufunga viwanda vyao

Wawekezaji wapya waliogopa kuja nchini kutokana na utawala wake wa kidikteta

Aliharibu ama kuuwa kabisa sekta binafsi nchini hivyo kupelekea nchi kuwa na mzunguko mdogo wa kifedha mtaani,yaani hali ilikuwa mbaya

Alikuwa akipika takwimu kuonyesha uchumi unakuwa ili hali uchumi ulikuwa hoi bin taaban

Maduka makubwa kariakoo na karibu nchi nzima yalikuwa yakifungwa, na ndio sababu

Alikuwa akipika takwimu za makusanyo kila mwezi kwa kushirikiana na TRA ili hali makusanyo yalikuwa haba kabisa

Alitengwa na jamii za kimataifa na kunyimwa misaada kutokana na kuminya demokrasia nchini

Alikuwa akilipa madeni kimya kimya kutokana na amri za mahakama za kimataifa baada ya kukurupuka kuvunja mikataba ya kampuni mbali mbali

Aliua kabisa bandari ya Dar kiasi kulikuwa hakuna kabisa meli zilizokuwa zinakuja hapo bandarini(wafanyabiashara walikimbilia bandari za Mombasa,Msumbiji na DURBAN)

Alikuwa anakopa sana mikopo isiyo rafiki kwa nchi ili

Kununua ndege kwa cash

Kununua wapinzani

Kuhamishia serikali Dodoma

Kujenga bwawa la Nyerere

Kujenga SGR

Kujenga daraja la Busisi(kuwafurahisha wakwe)

Kujenga airport ya chato (international?)

Na mambo mengine kibao kama kujenga barabara,hospitali,madaraja,kukarabati viwanja vya ndege nk nk( tunataka maendeleo ya watu na sio vitu ....mnakumbuka?)

Sasa swali langu kwenu WAUNGWANA, kutokana na hayo yote hapo juu mliyokuwa mkituambia (msidhani tumesahau)

Je hayo matrillions aliyofisadi JPM yalikuwa yanatokea wapi..???
Nape akiwa bungeni alitaka ifanyike audit maalum ya pesa zilizokopwa enzi za Magufuli lakini bunge liligoma. CAG professor Assad aliomba nyaraka za ujenzi wa SGR na SG na manunuzi ya ndege cash lakini aligomewa. Sasa kutoka hapo jiongoze.
 
Nape akiwa bungeni alitaka ifanyike audit maalum ya pesa zilizokopwa enzi za Magufuli lakini bunge liligoma. CAG professor Assad aliomba nyaraka za ujenzi wa SGR na SG na manunuzi ya ndege cash lakini aligomewa. Sasa kutoka hapo jiongoze.




Sasa ulichoandika hapa ndio kinaonyesha trillions alizofisadi JPM zilitoka wapi?

Vile vile sasa hivi wanaogopa nini kufanya hayo yote waliyotaka kufanya wakagomewa ikizingatiwa JPM hayupo?
 
Wewe JUHA hivi unajua kusoma vizuri?

Hivi unajua Magu ndani ya Miaka 6 tu ya utawala wake, LILIKOPA pesa nyingi kinoma kuliko pesa zote ambazo Kikwete alikopa miaka yote 10 ya UTAWALA Wake?
Hivi kwa ujinga wako kuna benki duniani utakwenda kukopa pasipo kuonyesha financial statement kuwa ela yao itarudi vipi,Samia mwaka mmoja anakaribia kugonga trillion 10 na bado hali ngumu,juzi WB wametoa tahadhari kuwa kama serikali ya Samia itaendelea kukopa hivi inakwenda kuangukia kwenye stress za madeni.
 
 
Huyo Kibwengo alikuwa GWIJI la MIKOPO mikubwa ya KIBIASHARA.


Maana kwa Wazungu alikuwa hapati pesa.

Sasa hivi Rais Samia anafanya kazi ya kuchukua mikopo nafuu kutoka kwa Wazungu ili alipe Mikopo ya KIJUHA aliyokopa Magu.
Vijana kama Hawa ndio wanategemewa Kulikomboa Taifa
Kazi ipo nchii ina watu Viazi Sijapata Kuona
 
Back
Top Bottom