Sasa Kiingereza kitakuwa na kazi gani?

Naona tayari michakato ya sheria iko jikoni mahakama kuanza kutumia Kiswahili mwanzo mwisho tofauti na sasa ambapo dokomenti zote huwa za kiingereza sasa baada ya sheria hii hakimu au mwanasheria yeyote itamlazimu atumie lugha ya kiswahili ndani ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa upande wa BOT nao pia sheria iko jikoni hatua za mwisho mwisho zimefika kuwa mikataba yote ya kifedha itafanyika kwa lugha hadhim ya Kiswahili. Hii inamaana kuwa hadi risiti za mashine hazitakuwa za kizungu bali kwa lugha ya Kiswahili, haya ni pamoja na Pro foma, Delivari note, bili of ladingi na dokomenti zote unazozijuwa wewe ikiwamo za benki zitalazimika kutumia lugha ya Kiswahili.

Swali la msingi je hizi shule za inglishi midia zitakuwa na kazi gani au wataenda kukitumia kiingereza chao huko Uganda na Zambia.
Na kwanini serikali isipige jiwe katikati na kutunga sheria kuwa kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu lugha ya kufundishia iwe Kiswahili na lugha zingine kama Kiingereza na lugha zingine za kigeni ziwe kama masomo.

Hii italeta maana zaidi kuliko hivi sasa taifa lina dobo standadi kwani wengine wanasoma kwa kizungu na wengine kwa Kiswahili hii haileti usawa hata kidogo.

Mbona mataifa mengi nje ya bara la Afrika yanatumia lugha zao kama Korea Kaskazini, Uchina, Urusi, Cuba na mataifa mengi madogo madogo yanatumia lugha zao kama Falme za kiarabu nyingi wanatumia Kiarabu kwani lugha ya mababu zao. Kwanini sisi bara kubwa kuzidi yote duniani hata kanchi kamoja kasiwepo ka kutumia lugha yake, ukiangalia kuna wakati inatia hadi aibu kuona nchi nyingi za kiafrika zinatumia hadi kiingereza na kifaransa kuimba nyimbo yao ya taifa kanakwamba hilo taifa halina lugha yoyote zaidi ya Kiingereza au kifaransa. Huu ni utumwa mbaya uliopitiliza naamini hata Mungu mwenyewe anachanganyikiwa kwani anaangalia eneo ambalo aliliumba mwenyewe na kuweka watu wake pale na lugha yao baadaye wanamwomba kwa lugha nyingine kwana hawezi kuwa sikiliza.

Naona kuna haja ya kujikomboa kutoka katika utumwa wa kifikra.

Na kanisa ndilo limekuwa mstari wa mbele sana kuhakikisha lugha za asili zinapotea kwani ukija huku kwetu kanisani unaweza kushangaa maana utakuta wote tunajua kiswahili na tunajuana na hakuna mgeni wote ni wandengereko lakini anawekwa mkalimani au mchungaji au nabii au mtume anaongea kizungu utazani yupo ulaya au Amerika, nikama sifa hivi kuwa mzungu.. kwa waislam pia hivyo hivyo yaani mpaka ujilaze katika rahaja za kiarabu ndiyo uonekane sasa safi kwa Mungu.

Mimi pamoja na kulelewa na kusoma kwa sadaka huwa sielewi huyu Mungu wetu wa kikristu na wa waislam kwanini huyu Mungu anashida gani na lugha zetu? kwani hizi lugha zina najisi? maana kanisani bila kizungu ibada haiendi kama zamani bila Kilatini ndani ya kanisa la Roma misa hakuna. Msikitini bila kiarabu tena kile cha kikureshi hakuna ibada hii inamaana gani mbona kama utumwa. Nakama Kiswahili kinanajisi basi hawa watu wa dini waseme tukiache kabisa.

Naipongeza serikali ya awamu ya tano ila msipige pembeni pigeni katikati kieleweke ndiyo maana huwa mnasema huku kwenu ndani ya chama kuwa serikali inapewa Jembe na Nyundo basi kama mmepewa msiwe waoga tumieni hizo zana wengine walishindwa. Sehemu ya kutumia Jembe litumike kama lote na sehemu ya kutumia nyundo itumike sisi watu wa roho tunaelewa hizi mithali.

Nimeshuhudia kwa mara ya kwanza mwalimu wa kiswahili Mkenya akiwa darasani shule ya msingi huko Afrika ya Kusini akifundisha kiswahili na watoto wa kisauzi wakionyesha kufurahia na wakitoa komenti kuwa maneno mengi Kiswahili kimeiba maneno kutoka katika lugha ya Kizulu, Shona, sesoto, Kosa na kiswana huku wakiwa wanasahau kuwa kiswahili ni kibantu.
Hii ni kazi ya awamu ya tano.

Mtoto wa Mchungaji,
Nawasilisha.
Kitatumika kuimbishia watoto.
Ukiongea kidogo unachanganya "You know"
 
Naona tayari michakato ya sheria iko jikoni mahakama kuanza kutumia Kiswahili mwanzo mwisho tofauti na sasa ambapo dokomenti zote huwa za kiingereza sasa baada ya sheria hii hakimu au mwanasheria yeyote itamlazimu atumie lugha ya kiswahili ndani ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa upande wa BOT nao pia sheria iko jikoni hatua za mwisho mwisho zimefika kuwa mikataba yote ya kifedha itafanyika kwa lugha hadhim ya Kiswahili. Hii inamaana kuwa hadi risiti za mashine hazitakuwa za kizungu bali kwa lugha ya Kiswahili, haya ni pamoja na Pro foma, Delivari note, bili of ladingi na dokomenti zote unazozijuwa wewe ikiwamo za benki zitalazimika kutumia lugha ya Kiswahili.

Swali la msingi je hizi shule za inglishi midia zitakuwa na kazi gani au wataenda kukitumia kiingereza chao huko Uganda na Zambia.
Na kwanini serikali isipige jiwe katikati na kutunga sheria kuwa kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu lugha ya kufundishia iwe Kiswahili na lugha zingine kama Kiingereza na lugha zingine za kigeni ziwe kama masomo.

Hii italeta maana zaidi kuliko hivi sasa taifa lina dobo standadi kwani wengine wanasoma kwa kizungu na wengine kwa Kiswahili hii haileti usawa hata kidogo.

Mbona mataifa mengi nje ya bara la Afrika yanatumia lugha zao kama Korea Kaskazini, Uchina, Urusi, Cuba na mataifa mengi madogo madogo yanatumia lugha zao kama Falme za kiarabu nyingi wanatumia Kiarabu kwani lugha ya mababu zao. Kwanini sisi bara kubwa kuzidi yote duniani hata kanchi kamoja kasiwepo ka kutumia lugha yake, ukiangalia kuna wakati inatia hadi aibu kuona nchi nyingi za kiafrika zinatumia hadi kiingereza na kifaransa kuimba nyimbo yao ya taifa kanakwamba hilo taifa halina lugha yoyote zaidi ya Kiingereza au kifaransa. Huu ni utumwa mbaya uliopitiliza naamini hata Mungu mwenyewe anachanganyikiwa kwani anaangalia eneo ambalo aliliumba mwenyewe na kuweka watu wake pale na lugha yao baadaye wanamwomba kwa lugha nyingine kwana hawezi kuwa sikiliza.

Naona kuna haja ya kujikomboa kutoka katika utumwa wa kifikra.

Na kanisa ndilo limekuwa mstari wa mbele sana kuhakikisha lugha za asili zinapotea kwani ukija huku kwetu kanisani unaweza kushangaa maana utakuta wote tunajua kiswahili na tunajuana na hakuna mgeni wote ni wandengereko lakini anawekwa mkalimani au mchungaji au nabii au mtume anaongea kizungu utazani yupo ulaya au Amerika, nikama sifa hivi kuwa mzungu.. kwa waislam pia hivyo hivyo yaani mpaka ujilaze katika rahaja za kiarabu ndiyo uonekane sasa safi kwa Mungu.

Mimi pamoja na kulelewa na kusoma kwa sadaka huwa sielewi huyu Mungu wetu wa kikristu na wa waislam kwanini huyu Mungu anashida gani na lugha zetu? kwani hizi lugha zina najisi? maana kanisani bila kizungu ibada haiendi kama zamani bila Kilatini ndani ya kanisa la Roma misa hakuna. Msikitini bila kiarabu tena kile cha kikureshi hakuna ibada hii inamaana gani mbona kama utumwa. Nakama Kiswahili kinanajisi basi hawa watu wa dini waseme tukiache kabisa.

Naipongeza serikali ya awamu ya tano ila msipige pembeni pigeni katikati kieleweke ndiyo maana huwa mnasema huku kwenu ndani ya chama kuwa serikali inapewa Jembe na Nyundo basi kama mmepewa msiwe waoga tumieni hizo zana wengine walishindwa. Sehemu ya kutumia Jembe litumike kama lote na sehemu ya kutumia nyundo itumike sisi watu wa roho tunaelewa hizi mithali.

Nimeshuhudia kwa mara ya kwanza mwalimu wa kiswahili Mkenya akiwa darasani shule ya msingi huko Afrika ya Kusini akifundisha kiswahili na watoto wa kisauzi wakionyesha kufurahia na wakitoa komenti kuwa maneno mengi Kiswahili kimeiba maneno kutoka katika lugha ya Kizulu, Shona, sesoto, Kosa na kiswana huku wakiwa wanasahau kuwa kiswahili ni kibantu.
Hii ni kazi ya awamu ya tano.

Mtoto wa Mchungaji,
Nawasilisha.
Ni kweli hii ni Kazi ya Awamu ya Tano ambayo imefanya Watanzania kuwa wajinga kwa kutaka uteuzi kwa kuwa hawaajiriki kwa sababu hawajui lughà nyingine inayotambulika ila Kiswahili, lughà ya mama (mother tongue) tu. Kiswahili ambacho hata mtoto ambaye hajaanza Chekechea anajua kuzungumza na mtu yeyote anayejua hiyo lugha, eti watu wazima wajifunze ili wakafundishe watu wa mataifa mengine waijue ili kukuza lugha yetu. Hawaelezi namna Mwalimu wa Kiswahili ambaye hajui lughà ya wanafunzi wake namna atakavyofundisha mpaka wajue na wakijua watanufaika namna gani. Vilaza wetu hawajui kuwa huwezi kufundisha mtu lughà yako kama hujui lughà yake na pili ni ujinga kuwataka watu wa mataifa mengine waijue lughà yako lakini watu wako hutaki wajue lughà za mataifa mengine. Watu wa nchi za nje wanaoamua kujifunza Kiswahili na kulipa gharama za mafunzo ndo watakuja kwetu kuchukua kazi zote za maana na kuwaachia wasioajirika wakizunguka na bahasha za khaki. Rwanda, jirani zetu wenye viongozi wenye akili, wamefanya Shule na Vyuo vyote lazima wanafunzi wafundishwe Kifaransa, Kingereza na Kiswahili ingawa wana lugha zao za jadi. Wakenya na Wanyarwanda ndo wanafundisha Kiswahili nchi za nje kwa sababu wanajua lughà za Kimataifa.
 
Kwahyo kiongozi wa taifa kuwa na PhD au prof na kushindwa kingereza basi ndo wanahalalisha watoto wasome kiswahili KWA lazima. English ni international language na ndo inatumika kote na kifaransa tuache kujifariji na kiswahili ambayo imelack vocabularies mbaya zaidi wanaokuja na hizi sera ni wazee ambao miaka yao ya kuishi duniani imebaki michache. Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa
Point of correction hakuna laugh yenye kuweza kujitegea yenyewe pasipo kukopa au tumia lugha nyingine, mimj naona kiswahili kitumike kwenye ngazi zote za kiserikali na iwe lugha rasmi ya kufundishia hatuwezi shindwa fanya biashara na dunia kisa hatuwezi kinge mataifa mengi kinge kinafundishwa University tena kama somo la kujitegeme unaweza opt out kama huitaji kusoma

Sent from my F3111 using JamiiForums mobile app
 
Kwani kumetokea nini huko kwenye sheria zilizoandikwa kwa kingereza mpaka zibadilishwe kuwa za kiswahili, isije ikawa tunapinga vitu hapa kumbe wenye Nchi kuna kitu wameona.......ila kama ni mtu mmoja kaamua tu kwa matwaka yake basi hilo nalo ni tatizo lingine.
Mkuu sisi tunapinga tu hata kama hakuna sababu kisa CCM kafanya basi ni kibaya kwa hili karatasi zote za kiserikali ziwe kwenye lugha yetu ya kiswahili iwe mahakamami, bungeni, manispaa mkoani hata wizarani na iwe lugha rasmi ya kufundishia tokea awali mpaka chuo kikuu

Sent from my F3111 using JamiiForums mobile app
 
Kwa maoni yangu, hakuna kitu kizuri kama kujua lugha zaidi ya mbili au tatu nje ya lugha nyingine za nchini kwako. Binafsi ingawa nilifanya uzembe muda fulani (maana wakati huo nilikuwa nasema siwezi kuchanganya lugha na kuharibu lugha yangu), angalau nafahamu lugha nne na misemo mbalimbali katika hizo lugha. Kuna wakati kulikuwa na mwaliko wa kwenda Algeria (wanatumia Kifaransa) na ilibidi tupeleke CVs zetu Ubalozi wa Algeria na kwa Tanzania tulichukuliwa watu wawili na kilichotubeba na mwenzangu (maana kulikuwa na applications nyingi) ni Kifaransa. Na ilikuwa fursa nzuri kwangu kuona niliyoyaona ambayo nilikuwa siyajui. Kuna wakati pia nilienda Poland na sikuwa najua Kipolishi, lakini nilikuta vijana wengi wa Poland wanazungumza lugha tano: Kipolishi, Kirusi, Kiingereza, Kifaransa na Kijerumani na kwa vile Poland ni mwanachama wa Jumuia ya Ulaya, lugha zinawabeba Wapolishi kufanya kazi nchi wanachama wa Jumuia ya Ulaya. Kwa hiyo, mimi kujua baadhi ya lugha za kigeni sioni kama ni kukosa kujikomboa. Kwangu mimi naona nina fursa na kwa uwekezaji ambao ninafanya kuzijua hizi lugha huwa napata fursa kadhaa zinazonisaidia kununua 'mkate na blueband'. 'Knowlege is power' believe me!
Mkuu hatujakaa tunataka kiswahili kitumike ngazi zote kiserikali na kimasomo kuanzia awali mpaka chuo kikuu kusema kukosa fursa ni sisi kuwa wazembe

Sent from my F3111 using JamiiForums mobile app
 
Kiingereza ni lugha ya dunia means ukiikataa utakuwa umejitenga peke yako considering na huu umasikini itakuwa balaa mara mbili.
Narudia africa ni bado kuikataa English.
China sijui india and whatever the hell hayo ni mataifa makubwa yanayojitegemea hivyo usijilinganishe nao na hawajasema hawajui au hawajifunzi lugha nyingine.
Considering wao sio watanzania.

Kila kitu chenye manufaa kipo kwenye lugha ya kiingereza.
Kuanzia maarifa, vitabu na vyote vinavyotoka nje ya africa.
Waafrika hawana chochote labda kuandika maswala ya ngono.

Pia hakuna ubaya kujua lugha zaidi ya tano haijarishi unazitumia au huzitumii.
Na kujua lugha nyingine haimaanishi Kiswahili kitapotea.

Kiswahili bado ni lugha changa vilevile haijitoshelezi kuanza kuitumia kwenye mambo makubwa ni reckless decision.

Ukitaka kuona ujinga wa waafrika wengi ni pale wanapokataa lugha lakini wanakubali dini za hao wenye lugha hiyo na vitu vyao vyote pathetic.
Africa haijiwezi kwa chochote na lugha ambayo itaweza kufanya tupate maarifa yao ambayo labda yatatumika kukuza taifa mnaipinga.
Hizi ni tabia za masikini jeuri.
Masikini always wako hivi.

English ni lazima ila kama umekata tamaa na maisha na maisha yako yote utaishia humuhumu Tanzania or maybe kichwa chako ni kizito kupitiliza na huwezi kumudu lugha zaidi ya tatu au ni mjinga asiyejitambua na asiyejua jinsi ulimwengu unavyoenda right now basi sawa uko sahihi kupinga kwamba kiingereza hakina faida.
Ila usilazimishe wengine wawe kama wewe.
Au Utakuwa jealous au chuki juu ya wengine sababu ya upuuzi na ujinga wako mwenyewe.

Ninachoona hapa ni mtu au kundi la watu niliowataja hapo juu ndio mashabiki wa hizi hoja.
Siwalaumu ila baadae watakuja kuona umuhimu wake.

Nawaonea huruma hizo future generations mimi nitaendelea kujifunza lugha zote mwenyewe.
Sina ujinga wa kuendeshwa na mtu au kundi la watu na kukubali kila kitu juu ya maisha yangu mwenyewe.
Kuna mtu anapotosha kitu sababu magu au ccm wameamua hakuna mtu alikatazwa kujifunza lugha zaidi ni kukifanya lugha ya kiswahili kuwa lugha rasmi kwa shughuri zote za kiserikali kwenye mikataba yote na karablasha zote ziwe kwa kiswahili na kiswahili sio lugha changa ndio lugha inayozungumzwa zaidi yenye asili ya Africa ukiondoa kiharabu na mbona lugha inajitosheleza mimi ningependa kuona inakuwa lugha rasmi ya kufundishia tokea awali mpaka chuo kikuu

Sent from my F3111 using JamiiForums mobile app
 
Naona tayari michakato ya sheria iko jikoni mahakama kuanza kutumia Kiswahili mwanzo mwisho tofauti na sasa ambapo dokomenti zote huwa za kiingereza sasa baada ya sheria hii hakimu au mwanasheria yeyote itamlazimu atumie lugha ya kiswahili ndani ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa upande wa BOT nao pia sheria iko jikoni hatua za mwisho mwisho zimefika kuwa mikataba yote ya kifedha itafanyika kwa lugha hadhim ya Kiswahili. Hii inamaana kuwa hadi risiti za mashine hazitakuwa za kizungu bali kwa lugha ya Kiswahili, haya ni pamoja na Pro foma, Delivari note, bili of ladingi na dokomenti zote unazozijuwa wewe ikiwamo za benki zitalazimika kutumia lugha ya Kiswahili.

Swali la msingi je hizi shule za inglishi midia zitakuwa na kazi gani au wataenda kukitumia kiingereza chao huko Uganda na Zambia.
Na kwanini serikali isipige jiwe katikati na kutunga sheria kuwa kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu lugha ya kufundishia iwe Kiswahili na lugha zingine kama Kiingereza na lugha zingine za kigeni ziwe kama masomo.

Hii italeta maana zaidi kuliko hivi sasa taifa lina dobo standadi kwani wengine wanasoma kwa kizungu na wengine kwa Kiswahili hii haileti usawa hata kidogo.

Mbona mataifa mengi nje ya bara la Afrika yanatumia lugha zao kama Korea Kaskazini, Uchina, Urusi, Cuba na mataifa mengi madogo madogo yanatumia lugha zao kama Falme za kiarabu nyingi wanatumia Kiarabu kwani lugha ya mababu zao. Kwanini sisi bara kubwa kuzidi yote duniani hata kanchi kamoja kasiwepo ka kutumia lugha yake, ukiangalia kuna wakati inatia hadi aibu kuona nchi nyingi za kiafrika zinatumia hadi kiingereza na kifaransa kuimba nyimbo yao ya taifa kanakwamba hilo taifa halina lugha yoyote zaidi ya Kiingereza au kifaransa. Huu ni utumwa mbaya uliopitiliza naamini hata Mungu mwenyewe anachanganyikiwa kwani anaangalia eneo ambalo aliliumba mwenyewe na kuweka watu wake pale na lugha yao baadaye wanamwomba kwa lugha nyingine kwana hawezi kuwa sikiliza.

Naona kuna haja ya kujikomboa kutoka katika utumwa wa kifikra.

Na kanisa ndilo limekuwa mstari wa mbele sana kuhakikisha lugha za asili zinapotea kwani ukija huku kwetu kanisani unaweza kushangaa maana utakuta wote tunajua kiswahili na tunajuana na hakuna mgeni wote ni wandengereko lakini anawekwa mkalimani au mchungaji au nabii au mtume anaongea kizungu utazani yupo ulaya au Amerika, nikama sifa hivi kuwa mzungu.. kwa waislam pia hivyo hivyo yaani mpaka ujilaze katika rahaja za kiarabu ndiyo uonekane sasa safi kwa Mungu.

Mimi pamoja na kulelewa na kusoma kwa sadaka huwa sielewi huyu Mungu wetu wa kikristu na wa waislam kwanini huyu Mungu anashida gani na lugha zetu? kwani hizi lugha zina najisi? maana kanisani bila kizungu ibada haiendi kama zamani bila Kilatini ndani ya kanisa la Roma misa hakuna. Msikitini bila kiarabu tena kile cha kikureshi hakuna ibada hii inamaana gani mbona kama utumwa. Nakama Kiswahili kinanajisi basi hawa watu wa dini waseme tukiache kabisa.

Naipongeza serikali ya awamu ya tano ila msipige pembeni pigeni katikati kieleweke ndiyo maana huwa mnasema huku kwenu ndani ya chama kuwa serikali inapewa Jembe na Nyundo basi kama mmepewa msiwe waoga tumieni hizo zana wengine walishindwa. Sehemu ya kutumia Jembe litumike kama lote na sehemu ya kutumia nyundo itumike sisi watu wa roho tunaelewa hizi mithali.

Nimeshuhudia kwa mara ya kwanza mwalimu wa kiswahili Mkenya akiwa darasani shule ya msingi huko Afrika ya Kusini akifundisha kiswahili na watoto wa kisauzi wakionyesha kufurahia na wakitoa komenti kuwa maneno mengi Kiswahili kimeiba maneno kutoka katika lugha ya Kizulu, Shona, sesoto, Kosa na kiswana huku wakiwa wanasahau kuwa kiswahili ni kibantu.
Hii ni kazi ya awamu ya tano.

Mtoto wa Mchungaji,
Nawasilisha.
KUTONGOZEA
 
Kwa kifupi UN kila wakitangaza kazi za East Africa ni Wakenya na Waganda wanapeleka maombi kwa wingi. Uwakilishi wetu kwanye kazi za UN ni mdogo mpaka tunapata nafasi za upendeleo lakini zinajazwa na majirani zetu.
We ni boya
 
Kuna vielement vya utumwa kwabaadhi ya wachangiaji ambao wanahisi hawata weza kuishi bila kiingereza nashauri hao tuwaache ss tusonge mbele maana hizi lugha za kikoloni ni balaa kwani hata Yesu mwenyewe ilibidi ajifunze Kirumi hili aweze kuwasiliana na serikali ya wakati wake. Na akiwa na waebrania wenzake anaongea lugha ya kwao na ya nyumbani kwao ndiyo maana hata rafudhi yake ilikuwa ya kiebrania mdomoni.
 
Kutojua lugha ya kimataifa ni kujitenga na dunia.
Watoto wao wapo English medium schools.
Labda nife ila nikiwa hai nitahakikisha Mwanangu anasoma masomo yake kwa lugha ambazo atakuwa comfortable kufanya kazi kwenye nchi nyingi zaidi duniani.

Ni nchi gani yenye uchumi mkubwa duniani inatumia lugha ya Kiswahili kama lugha ya biasahara? kwa hiyo Tanzania inataka kuanza na watoto wetu - hell no - wa kwangu hapana!!
 
Kwa kifupi UN kila wakitangaza kazi za East Africa ni Wakenya na Waganda wanapeleka maombi kwa wingi. Uwakilishi wetu kwanye kazi za UN ni mdogo mpaka tunapata nafasi za upendeleo lakini zinajazwa na majirani zetu.
Kweli kabisa.
Sasa huku professor ambaye ni waziri mwenye dhamana ya elimu aloshindwa kumgombeza mkandarasi Wa kichina kwa kidhungu,ataachaje kutetea lugha ya kiswahili iwe ya kufundishia.
 
Sheria ni taaluma hivyo swala la mawakili kuendelea kuhitajika bado liko pale pale.

Mfano uingereza lugha yao ni kingereza sheria zipo kwa kingereza na bado mawakili wanendelea kutumika.

Kweli mkuu.

Hakuna daawa isiyohitaji wakili.
Hata wenye hiyo fani wakiwa na shauri mahakamani hawajiwakilishi wenyewe.

The lawyer who represent himself in a courtroom has a fool for a client.
 
Nchi nyingi za europe hawataki kutumia English, wanatumia lugha zao, ata Tanzania ianze kutumia kiswahili kuanzia chekechea hadi chuo kikuu
Cha ajabu hizo nchi watu wachache wanaojua kiinglish yaani waliosoma labda uingereza wakirudi kwenye hizo nchi zao huwa wanaheshimika sana na wanakamata kazi za maana yaani hata ubalozi nje ya nchi zao.

Asikwambie MTU bana, hii ni mtego Wa hawa viongozi wetu .wanataka sisi watoto wetu wawe waswahili ili Hall watoto wao wanawasomesha nje ya nchi ili wajue kidhungu.waje wakamate nafasi nyeti za uongozi baadae.
 
Kwa kifupi UN kila wakitangaza kazi za East Africa ni Wakenya na Waganda wanapeleka maombi kwa wingi. Uwakilishi wetu kwanye kazi za UN ni mdogo mpaka tunapata nafasi za upendeleo lakini zinajazwa na majirani zetu.
Nafasi zipi hizo? Tuache exagerations. Nafasi ngazi ya UN ni za seniors ambao wako vizuri ktk lugha. Nikisema seniors ni watendaji wa serikali siyo wanasiasa waliozolewa toka jalalani.
 
Aliyekutangulia kakutangulia tu. Unachotakiwa ni kushiriki naye otherwise utafail tu.
 
Ahahahahaaaaa hii ndio bongo bana,yenye watu wenye dharau na majigambo wakati hawana kitu, nikitazama na kufikili naona kuna ujinga mwingi sana, hao hao wanategemea kila kitu kutoka kwa wazungu,ndege ,magar ,treni ,mawasiliano,silaha yaani kila kitu ambavyo ili kuvielewa matumizi yake lazima ujue kiinglish na kuna vingine ili uvijue ni lazima uende training kwa hao hao wainglish, wanaowadanganya wengine wao watoto wao wanasoma international schools zenye mitaala ya wainglish,
Kweli wanyonye lazima waendelee kuwa wanyonge tu mpaka kiama
Mwanzo ni mgumu lakini baadaye kila kitu kitakuwa sawa kwani hata 10 huanza na 1
 
Point of correction hakuna laugh yenye kuweza kujitegea yenyewe pasipo kukopa au tumia lugha nyingine, mimj naona kiswahili kitumike kwenye ngazi zote za kiserikali na iwe lugha rasmi ya kufundishia hatuwezi shindwa fanya biashara na dunia kisa hatuwezi kinge mataifa mengi kinge kinafundishwa University tena kama somo la kujitegeme unaweza opt out kama huitaji kusoma

Sent from my F3111 using JamiiForums mobile app
Nchi imejaa wasomi wakukariri kwa sababu wanajifunza kwa kutumia lugha wasiyoijua. Ukiingia form 1 wanakwambia kariri tu utaelewa mbele. Malaysia waliliona hili na wakaamua kubadili lugha ya kufundishia. Kiingereza tusome kama lugha ila kiswahili kitumike hadi chuo kikuu.
 
Back
Top Bottom