Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,686
- 46,373
Nimeangilia kesi kati ya Winshear Gold Corp dhidi ya serikali ya Tanzania huko ICSID. Ukweli usemwe ni aibu tupu kwa upande wa serikali hasa katika lugha, "the the the" ni nyingi sana , sijui kwa nini walikubali kutumia Kingereza katika kesi muhimu kama hii huku ikijulikana wazi Kingereza sio lugha rafiki kabisa kwa Watanzania wengi hata maprofesa.
Ni wakati sasa mikataba yote ya serikali na wawekezaji kuwa katika Kiswahili na pia kesi, usuluhishi na mambo yote ya uwekezaji yafanyike katika Kiswahili. Hao wawekezaji wanaozitaka mali za Tanzania watafute wakalimani wa kuwatafsiria katika lugha zao.
Ni wakati sasa wa kuukubali ukweli na kuachana na utumwa wa lugha.
Mawakili wa serikali katika hiyo kesi wakate rufaa waseme lugha ya Kiingereza ni tatizo kwao kuelewa na kufanya defense.
Ni wakati sasa mikataba yote ya serikali na wawekezaji kuwa katika Kiswahili na pia kesi, usuluhishi na mambo yote ya uwekezaji yafanyike katika Kiswahili. Hao wawekezaji wanaozitaka mali za Tanzania watafute wakalimani wa kuwatafsiria katika lugha zao.
Ni wakati sasa wa kuukubali ukweli na kuachana na utumwa wa lugha.
Mawakili wa serikali katika hiyo kesi wakate rufaa waseme lugha ya Kiingereza ni tatizo kwao kuelewa na kufanya defense.