Sanuka, chuma hazipimwi kwa macho

Sanuka, chuma hazipimwi kwa macho

Endelea kuichapa kavu , endelea kusema ndomu zinamaliza utamu, na zinawasha, endelea kuichapa kwa nguvu zote ili ukomoe , endelea kujisifu sana kuwa unaisugua mpaka inatoa cheche.

Kaa kiaskari kijana , hakuna mlinzi wa afya yako zaidi yako mwenyewe, wale wazee wanyamanyama na futa jingi , jitambueni , mtameza njugu kama njiwa manga vilaza nyie.View attachment 3649155
Mimi nilishapita na Mademu wa4 wote wana ngoma, but sikupata...pengine ni damu ya mtu...mwingine nimepita nae 2009 akiwa anatumia Arv...

Alikuwa ni mrembo haswa! Kipindi kile...jana amepita ofisini kwangu nikampa hi tukapiga stori 2 tatu...ana mtoto mdogo wa mwaka mmoja... na hana maambukizi.

Mwanamke ni jinsi utakavyomuandaa...na usikamie mechi!
Ukitaka kumkomoa uonekane fundi...shababi...imekula kwako!
 
Endelea kuichapa kavu , endelea kusema ndomu zinamaliza utamu, na zinawasha, endelea kuichapa kwa nguvu zote ili ukomoe , endelea kujisifu sana kuwa unaisugua mpaka inatoa cheche.

Kaa kiaskari kijana , hakuna mlinzi wa afya yako zaidi yako mwenyewe, wale wazee wanyamanyama na futa jingi , jitambueni , mtameza njugu kama njiwa manga vilaza nyie.View attachment 3649155
AI
 
Mimi nilishapita na Mademu wa4 wote wana ngoma, but sikupata...pengine ni damu ya mtu...mwingine nimepita nae 2009 akiwa anatumia Arv...

Alikuwa ni mrembo haswa! Kipindi kile...jana amepita ofisini kwangu nikampa hi tukapiga stori 2 tatu...ana mtoto mdogo wa mwaka mmoja... na hana maambukizi.

Mwanamke ni jinsi utakavyomuandaa...na usikamie mechi!
Ukitaka kumkomoa uonekane fundi...shababi...imekula kwako!
Kupata ni ngumu sana pia ni rahisi sana bwashee
 
Hiyo miwese mnayowawekea ma mamsi zenu kwny papuchi yana madhara makubwa..
Kama mwanaume unajiamini kwa shughuli yako kuanzia kumuandaa mtu wako why mtembee na michupa ya mafuta? Si mwanamke anayo naturaly au mnafanya kwenye makorongo mnahitaji grisi...😆😆
 
Hiyo miwese mnayowawekea ma mamsi zenu kwny papuchi yana madhara makubwa..
Kama mwanaume unajiamini kwa shughuli yako kuanzia kumuandaa mtu wako why mtembee na michupa ya mafuta? Si mwanamke anayo naturaly au mnafanya kwenye makorongo mnahitaji grisi...😆😆

Wanaweka Wese ili ganda la ndizi.

Sasa hiyo natural lubricant kuna muda inakata alafu yenyewe kama yenyewe vipi kama inavimelea. Ingawaje wanadai Vimelea wanakaa kwenye damu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom