Sanuka, chuma hazipimwi kwa macho

Sanuka, chuma hazipimwi kwa macho

Bwashee ,elimu wanayo ila hawana ile hofu kama zamani, uhamasishaji umekua mdogo kuliko makwingi wa kuhamasisha ngono
Sasa kama walio wengi wanakuambia UKIMWI ni ugonjwa, elimu ipo kweli?

Wanakuambia Mwamposa anaitibu hiyo.

Wanakuambia kuna mitishamba yake.

Wanakuambia utumie "futa jingi".

Wanakuambia ni "Mungu" tu anawaokoa.

Watanzania hawaishi kwenye uhalisia kabisa.
 
Bora nitembee na kale kakipimo kuliko hayo manailon. And for sure kama hutaki kupitia kipimo acha ikae. Heri nitumie hata 10k ya vipimo kuliko 500 ya ndom.
Unajilinda na virusi unapita barabarani unagongwa na nzi unakufa kuh! Dunia haina huruma
 
😁mambo ya kuanza kujisikilizia kama una UKIMWI sio poa bwashee

Moto sio Mangi!
Nikikumbuka around 2003, Mkapa ndo amefanikiwa kuleta ARV batch ya kwanza, enzi hizo ARV kwa madoni tuu, wa wenye connection. Wakati Mkapa anazindua hiyo programu hapo Mwananyamala, alilia sana Ben. UKIMWI ulimtesa sana Hayati Mkapa akiwa kama raisi wa hii nchi, sio vifo vile.
Watu walipukutika sio poa. Mtu anazikwa kama kiroba, bora wakristo majeneza yalikuwa yanasitiri maiti. Waislamu wakiwa wanazika mtu kwenye sanda anakuwa kama fimbo, mifupa mitupu. Ukipata waya mwaka hutoboi mazee.
Eatu walitoka mikoani kufuata ARV hapa mjini kwa fedha na connection. Hospitali wakijua tuu unawaya, hawataki kero, wanawaambia ndugu mrudisheni nyumbani apumzike.
Ujue hapo kwishnee
 
Bora nitembee na kale kakipimo kuliko hayo manailon. And for sure kama hutaki kupitia kipimo acha ikae. Heri nitumie hata 10k ya vipimo kuliko 500 ya ndom.
Unajilinda na virusi unapita barabarani unagongwa na nzi unakufa kuh! Dunia haina huruma
Pima , jilinde na kinga pia , kupima na kuichapa kavu bado hauko salama
 
Moto sio Mangi!
Nikikumbuka around 2003, Mkapa ndo amefanikiwa kuleta ARV batch ya kwanza, enzi hizo ARV kwa madoni tuu, wa wenye connection. Wakati Mkapa anazindua hiyo programu hapo Mwananyamala, alilia sana Ben. Waya ukimtesa sana Hayati Mkapa akiwa kama raisi wa hii nchi. Watu walipukutika sio poa. Mtu anazikwa kama kiroba, bora wakristo majeneza yalikuwa yanasitiri maiti. Waislamu wakiwa wanazika mtu kwenye sanda anakuwa kama fimbo, mnaona kichwa tuu.
Hatari Mangi, tumetoka mbali na huu ugonjwa.
Enzi hizo watu wanatoka mikoani kufuata ARV hapa mjini. Maskini unakufa kilo mbili, dawa hamna.
Sasa hivi wanadondoka na vitambi utasikia pressure na sukari tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom