realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 7,335
- 18,411
Ukipewa na mwenye pesa ni tofauti kidogo.Kote itauma tu😅
Unakuwa hauna Nguvu sana.
Atakwambia "Sorry baby twende Dubai tukapumzika,"
Baada ya hapo tuanze dawa na kutumia matunda kwa wingi. 😝😝
HIV yenye nguvu na kuanza kuonyesha Dalili zote kwa siku Moja ni ule wa
"Samahani salma tuvumilie tu na hivi sina Hela sijui tutafanyaje kuhusu kula matunda"😝
Hata nauli ya kwenda hospital Sina.
Hapo lazima Vidonda vianze kujitokeza mdomoni na nywele kunyauka.