Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 53,689
- 99,440
Kipimo cha ustahimilivu na kaba ya muhusika hiyo.Unaichapa halafu unapita kitaa , usikia wana wanadai ile chuma ni cheche🤣 lazima uhare kwanza😅
Kipimo cha ustahimilivu na kaba ya muhusika hiyo.Unaichapa halafu unapita kitaa , usikia wana wanadai ile chuma ni cheche🤣 lazima uhare kwanza😅
Picha ya kukonda hyo mtu gan huyo 😅Mdudu haji kwa Ai bwashee, mdudu ni live bila chengachenga
Kabisa yani unakutana TUMBUA acha kbs yn b4 hujaila tayari nafisi yako inakua imeshajisemea hiii naigonga dryKwa hiyo mtu anakufa huku anajinoma unono!?
ichape ichape mchaga wa wapi wewe mwoga ichape ichape isogeze ichape ichape itoe moshii kama mkoa wangu karibu marangu kwa bibiEndelea kuichapa kavu , endelea kusema ndomu zinamaliza utamu, na zinawasha, endelea kuichapa kwa nguvu zote ili ukomoe , endelea kujisifu sana kuwa unaisugua mpaka inatoa cheche.
Kaa kiaskari kijana , hakuna mlinzi wa afya yako zaidi yako mwenyewe, wale wazee wanyamanyama na futa jingi , jitambueni , mtameza njugu kama njiwa manga vilaza nyie.View attachment 3649155
Huo ndiyo mfano halisi wa kumvisha paka ngriiii...ngriiii...ngriiiiii!Ndio pale unasikilizia mke aende clinic ya uzazi ili akuletee majibu ya afya yako😅
Nafikiri hili suala ni uwiano(scale) tu. TZ haijawahi kuwa na watu wengi kama hivi sasa(61m), na wengi wao wakiwa hawana elimu(5.8% tu wakiwa wamefika chuo kikuu) na hata hao wenye elimu, wengi hawana elimu bora.Yeah , heri nusu shari kuliko shari kamili bwashee
Bwashee ,elimu wanayo ila hawana ile hofu kama zamani, uhamasishaji umekua mdogo kuliko makwingi wa kuhamasisha ngonoNafikiri hili suala ni uwiano(scale) tu. TZ haijawahi kuwa na watu wengi kama hivi sasa(61m), na wengi wao wakiwa hawana elimu(5.8% tu wakiwa wamefika chuo kikuu) na hata hao wenye elimu, wengi hawana elimu bora.
Kwahiyo ule utambuzi wa kina kuhusu NGENGWE, achilia mbali kisonono na homa ya ini, hauwezi kuwepo.
Dadeki akiamka hapo ni straight kuchukua pep sijui prepMtungi iwe ni mitungi tu ,mambo ya mitungu kukimbilia chini ni mbaya sana.View attachment 3649163
Hakuna tabia ambayo siipendi kama hiyo ya kupigwa picha bila ruhusa.Mpiga picha lazima anakuwa na lengo lake.Mtungi iwe ni mitungi tu ,mambo ya mitungu kukimbilia chini ni mbaya sana.View attachment 3649163