Hope pesa bora tukale gambe tu mkuu...🍺Chuma imerudi kimawindo bwashee
nnashida na watu kupona, we umetoa tahadhari m nkatoa mwongozo wa tiba, tatizo liko wapi?Mada ipo wazi , unauliza swali la kuniattack badala ujadili mada wapi kwenye mada yangu kumetaja ulichouliza?
unayo shida kubwa sana na hii mada wewe🤔
Aiseee wese limekaa mahali pake ,kweli hapo lazima uingie mzima mzima Dry kisiwa Chama.Endelea kuichapa kavu , endelea kusema ndomu zinamaliza utamu, na zinawasha, endelea kuichapa kwa nguvu zote ili ukomoe , endelea kujisifu sana kuwa unaisugua mpaka inatoa cheche.
Kaa kiaskari kijana , hakuna mlinzi wa afya yako zaidi yako mwenyewe, wale wazee wanyamanyama na futa jingi , jitambueni , mtameza njugu kama njiwa manga vilaza nyie.View attachment 3649155
Umefanya vyema kuwakumbusha wapima kwa MACHO.Ni hatari, vijana wanasema kwa hizi nyama nyama yupo salama , kumbe ndio cheche mbaya kabisa
Hapana kwa Sasa nakuwa na mmoja tu aiseeNyie ndio mnadai kondom zinawasha😅
Endelea kuogopa aiseee ,mambo ya kumeza dawa kila siku sikia kwa wengine.Hapana kwa Sasa nakuwa na mmoja tu aisee
Naogopa 😅
Inatisha sana jamani.Endelea kuogopa aiseee ,mambo ya kumeza dawa kila siku sikia kwa wengine.
Malizia malizia kwa Leo tu.😛Basi wakuu natoka hapa nielekee tu home, imetosha!
Niagizie Brutal nakuja hapo chapYeah , safi sana karibu pombe
Hapana mmeweza wakuuMalizia malizia kwa Leo tu.😛