Maisha ni mafupi sana.Umate umate sio 😅
Tako mbili na wese jingi inakoa ila kwa nini ujiweke kwenye hatari, kuna homa ya universe kisonono UTI na watoto usiowatarija, bora kuvaa mfuko tu bwasheeHuku mtaan kuna kauli mbiu yetu "wese jingi zero friction piga tako mbili za afya" min -me tutapona kweli au tumeshaunguza mkeka
Hofu yako akili yako.Gusa unase.Endelea kuichapa kavu , endelea kusema ndomu zinamaliza utamu, na zinawasha, endelea kuichapa kwa nguvu zote ili ukomoe , endelea kujisifu sana kuwa unaisugua mpaka inatoa cheche.
Kaa kiaskari kijana , hakuna mlinzi wa afya yako zaidi yako mwenyewe, wale wazee wanyamanyama na futa jingi , jitambueni , mtameza njugu kama njiwa manga vilaza nyie.View attachment 3649155
Sema ugonjwa umekaa sehemu tamu we mzeeeVvu ni lango la rundo la magonjwa
Huko mniache ndo starehe yangu pendwa hiyo.Ila sio tuyafupishe😅
Kwa hiyo mtu anakufa huku anajinoma unono!?Sema ugonjwa umekaa sehemu tamu we mzeee
Sema unaweza kugusa na ukatoka mzmMambo ya kufia kinenani, chuma zimewaka na ni za moto hatari
nimewahi kuuza mechi na condom iko mfukoni, sikuthubutu hata kuitoa. Muonekano wa mwanamke unaweza kukuponza aseeTako mbili na wese jingi inakoa ila kwa nini ujiweke kwenye hatari, kuna homa ya universe kisonono UTI na watoto usiowatarija, bora kuvaa mfuko tu bwashee