Sanuka, chuma hazipimwi kwa macho

Sanuka, chuma hazipimwi kwa macho

Sasa hivi wanadondoka na vitambi utasikia pressure na sukari tu

Ndio, sasa hivi wana aina karibu 7 za dawa. Ikikukataa hii, wanakupa nyingine. Kabla ya hapo ilikuwa ikikukataa tuu, basi tunazika, hukatizi mwaka.
Kabla ya huyo kichaa Trump hajarudi, ilikuwa PEPFAR, walete sindano ya kila mwezi, watu waachane na makande.
Ugonjwa wa kimkakati huu, ukiendekeza tuu utelezi shudu linakuhusu. 😊
 
Ndio, sasa hivi wana aina karibu 7 za dawa. Ikikukataa hii, wanakupa nyingine. Kabla ya hapo ilikuwa ikikukataa tuu, basi tunazika, hukatizi mwaka.
Kabla ya huyo kichaa Trump hajarudi, ilikuwa PEPFAR, walete sindano ya kila mwezi, watu waachane na makande.
Ugonjwa wa kimkakati huu, ukiendekeza tuu utelezi shudu linakuhusu. 😊
Sure
 
Endelea kuichapa kavu , endelea kusema ndomu zinamaliza utamu, na zinawasha, endelea kuichapa kwa nguvu zote ili ukomoe , endelea kujisifu sana kuwa unaisugua mpaka inatoa cheche.

Kaa kiaskari kijana , hakuna mlinzi wa afya yako zaidi yako mwenyewe, wale wazee wanyamanyama na futa jingi , jitambueni , mtameza njugu kama njiwa manga vilaza nyie.View attachment 3649155
Sawa mkuu nakubali lakini suala la katiba mpya vipi?
 
Pima , jilinde na kinga pia , kupima na kuichapa kavu bado hauko salama
tutazaliana sasa kwa style hiyo. Nilichukia hilo linailon kipindi cha nyuma sielewi vizuri likapasukia ndani ikabidi nimpeleke hos 20k yangu ikaenda bure na mgonjwa ni maji mengi alipewa then akaenda kukojoa likatoka. Tangu siku hyo nikikupenda lazma nikupme hutaki narudi kwa wake zangu
 
tutazaliana sasa kwa style hiyo. Nilichukia hilo linailon kipindi cha nyuma sielewi vizuri likapasukia ndani ikabidi nimpeleke hos 20k yangu ikaenda bure na mgonjwa ni maji mengi alipewa then akaenda kukojoa likatoka. Tangu siku hyo nikikupenda lazma nikupme hutaki narudi kwa wake zangu
Sawa endelea tu
 
Endelea kuichapa kavu , endelea kusema ndomu zinamaliza utamu, na zinawasha, endelea kuichapa kwa nguvu zote ili ukomoe , endelea kujisifu sana kuwa unaisugua mpaka inatoa cheche.

Kaa kiaskari kijana , hakuna mlinzi wa afya yako zaidi yako mwenyewe, wale wazee wanyamanyama na futa jingi , jitambueni , mtameza njugu kama njiwa manga vilaza nyie.View attachment 3649155
Akifikia hapo Virus aliokuwa nao mwilini wanakuwa wameshafubazwa kiasi cha kutokuwa na uwezo wa kupelekea maambukizi kwa mtu mwingine.

Halafu tumeshakubaliana tuache kuuziana uoga maana mwanadamu u mavumbi na mavumbini utarudi.

Enjoy life to the fullest.
 
Bora nitembee na kale kakipimo kuliko hayo manailon. And for sure kama hutaki kupitia kipimo acha ikae. Heri nitumie hata 10k ya vipimo kuliko 500 ya ndom.
Unajilinda na virusi unapita barabarani unagongwa na nzi unakufa kuh! Dunia haina huruma
Shida ni kwamba kipimo kitapima HIV tu,vp kuhusu hepatitis,kaswende ,kisonono , genital warts?Jilinde kwa ndom kaka.
 
Unaichapa halafu unapita kitaa , usikia wana wanadai ile chuma ni cheche🤣 lazima uhare kwanza😅
Kipindi tuko chuo kuna mwamba alipiga pisi moja ilikuwa ya moto sana, sasa katika stori za hapa na pale ikawa inasemekana ile pisi ni miongoni mwa watoto wa "Mama Salma" jamaa tukawa tukimtania kuwa ameungua akawa anakosa raha mpaka akakonda. Sijui aliukwaa kweli sijui vipi, haya mambo haya yasikie tu kwa watu.
 
Kipindi tuko chuo kuna mwamba alipiga pisi moja ilikuwa ya moto sana, sasa katika stori za hapa na pale ikawa inasemekana ile pisi ni miongoni mwa watoto wa "Mama Salma" jamaa tukawa tukimtania kuwa ameungua akawa anakosa raha mpaka akakonda. Sijui aliukwaa kweli sijui vipi, haya mambo haya yasikie tu kwa watu.
noma sana madogo chuo wanajifanya spatacus wanaungua kinouma
 
Utathibisha ukipona umeme
Wewe kweli kiazi , wapi nimesema nina umeme ? Acha makasiriko huu uzi sio wa wa viu meza dawa kwa wakati kiazi wewe, hakuna aliyekutuma ukailoweke kizembe kmmke
 
Vise versa is true
 

Attachments

  • downloadfile-17.jpg
    downloadfile-17.jpg
    58.5 KB · Views: 5

Similar Discussions

Back
Top Bottom