Wewe kweli kiazi , wapi nimesema nina umeme ? Acha makasiriko huu uzi sio wa wa viu meza dawa kwa wakati kiazi wewe, hakuna aliyekutuma ukailoweke kizembe kmmke
Umegutuka mapema au ndo wosia wa baba
kabla ya kufyatuka hakikisha unakumbukumbu areeef, au wadudu washakula medulaVyote kwa pamoja bwashee
Naskia anaekula ARV haambukizi, ila siku akiacha anakuambukizaEndelea kuichapa kavu , endelea kusema ndomu zinamaliza utamu, na zinawasha, endelea kuichapa kwa nguvu zote ili ukomoe , endelea kujisifu sana kuwa unaisugua mpaka inatoa cheche.
Kaa kiaskari kijana , hakuna mlinzi wa afya yako zaidi yako mwenyewe, wale wazee wanyamanyama na futa jingi , jitambueni , mtameza njugu kama njiwa manga vilaza nyie.View attachment 3649155
Aisee homa ya ini sio poa.Ugonjwa sio vvu tu kuna homa ya ini na nk
Andika taratibu mkuu, kwani JF scores hazijakutosha, au mida ya kutuliza wadudu umekaribiaHahaha , makarmsiriko ya ni nini mjomba hapa nawasanua wana tu , sijawanyanyapaa nyie wagonjwa tuliza kishundu
Unatatizo gani wewe? Watu wakisanuliwa wajilinde na ukimwi wewe unapata shida gani? Pasta msefenge msefenge kama wewe ni mzigo kwa waumini wako🚮Andika taratibu mkuu, kwani JF scores hazijakutosha, au mida ya kutuliza wadudu umekaribia
Tatizo ni wewe, fwatilia ulipoyumba. au ulidhani kinyongeee.Unatatizo gani wewe? Watu wakisanuliwa wajilinde na ukimwi wewe unapata shida gani?
Wakati nasoma advance kuna jamaa, mwanafunzi mwenzetu tulimzika. Alikufa na hii homa ya ini.Homa ya ini hata ukipiga romance tu umo hatarini kuambukizwa.
Ulivyo mgumu kuelewa na kujieleza utaweza kunielewesha?Nimeyumba wapi? Unauliza maswali ya kiwaki unajibiwa kiwaki , uzi umenyooka , wapi haujaelewa
Linaua ni kuwa nalo makini bwasheeMno, nikuwa makini sana hili gonjwa tusilichukulie poa aisee