Samweli Sitta augua ghafla, alazwa

Samweli Sitta augua ghafla, alazwa

Status
Not open for further replies.
Mta fanyizana sana hadi siku ya uchaguzi mkuu na kuendelea. Ni kupigana vikumbo tu sasa. NDIO USHETANI WENYEWE HUO. Mnasingizia udini, ukabila, uchama, ufisadi ... HAMNA UPENDO BALI NI CHUKI TU, mtachukia hata hewa mliyopewa bure na MUNGU na udongo mnaoukanyaga. Utendaji kwenye sectors za elimu, afya, ulinzi na usalama na kwengineko kote ni ndumbulu mbangala tu. Mtajijuu amuachiani hewa na hakuna njia ya kutokea. Ustaraabu wa KIMUNGU kwenu ni ndoto.

Watu kufokeana tu na kutoleana mapovu, na hakuna kupiga hatua zaidi ya kurudi kinyumenyume kwenye ujima (the law of jungle). Mara wapigwe tu!!!!!. Mtapigwa tuuu kwani mtafanya nini? Amuwezi kitu.

Ushauri wa bure ili kupata dawa, MGEUKIENI MUNGU NA KUTUBU PIA KUMPOKEA YESU KUWA KAMA BWANA NA MWOKOZI WENU. KULENI NENO LA MUNGU MNENEPE KIROHO NA KUJAWA NA UPENDO WA MUNGU. (Angalieni msinitukane mie)
Ulisikia kauli ya Prophet T.B.Joshua kwa Mwigulu? "All those who kill their fellow country men, either directly or by order, shall Not live beyond 2015. Why don't these killings happen at your political rallies?" Mwenye masikio ya kusikia na asikie.
 
Hata ile siku yule mwanasiasa aliyekuwa akihutubia huku akionekana live, alipoanguka jukwaani huku watu tukishuhudia!, taarifa ilisema "ni mzima wa afya!, hana tatizo lolote la kiafya!" ule ulikuwa ni uchovu tuu!, fatigue!.
Pasco
kwa hiyo?
 
kuna habari kwamba mzee samuel sitta kaugua ghafla na kulazwa hospitalini dodoma. Wajumbe wanasema watampigia kura hata akiwa na drip wodini.

nimeongea na wasaidizi wa karibu wa katibu wa bunge na mtu wa karibu na sitta, mzee yuko shwari hiyo imetungwa ili kufanya wajumbe wapaniki na sitta apate kura chache hata akishinda aonekane hakubaliki
 
Siwaamini jackton manyerere Pasco maana hawa ni wakereketwa,wapenzi na wanazi wa manywele meupe na manywele na Sitta ni paka na panya.
 
Last edited by a moderator:
Nimemkumbuka yule mchawi aliyedondoka hapo bungeni last week...
 
Kamati ya ufundi?! Yaani hujui kama mwenyekiti wa wachawi yupo inside? Kafunga milango yote ya mwingine kuwakinga adui zake hapa ilibidi wamwangukie kwa kumpatia fungu la fedha. Nasikia yule gwagula mkuu yupo kundi la Mamvi.

Una kila dalili ya kuwa mshirikina uliebobea
 
Hebut tuwekeeni namba ya Sitta hapa tumtwangie tujue ukweli!
 
Hata ile siku yule mwanasiasa aliyekuwa akihutubia huku akionekana live, alipoanguka jukwaani huku watu tukishuhudia!, taarifa ilisema "ni mzima wa afya!, hana tatizo lolote la kiafya!" ule ulikuwa ni uchovu tuu!, fatigue!.
Pasco
Halafu sijui kwa nini inawatokea wale wanasiasa ''tegemeo''??
 
Manyerere Jackton he is always wise, hakurupuki lazima kutakuwa na shida somewhere else.
 
Uliza general hospital. Mimi sizomoki. Kama kapata nafuu, hilo ndo tunaliomba. Jana kapelekwa hospitalini akiwa taaban.
 
Seeing is believing!zimebaki dakika chache tutaona bungeni km yuko ok!ila hizi siasa za tz zimefika pabaya jamani!kila mmoja anamuombea mwenzake vibaya!binafsi naombea awe salama !
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom