mrelbattawy
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 564
- 112
Itakuwa kweli anaumwa., lisemwalo lipo
ni mimi mwenyewe, niko hapa na mzee sitta, yuko fit anaelekea bungeni saiviWe chanzo chako cha habari ni kipi,hujui manyerere ni mwanahabari zaidi ya member wa JF tu?
Ulisikia kauli ya Prophet T.B.Joshua kwa Mwigulu? "All those who kill their fellow country men, either directly or by order, shall Not live beyond 2015. Why don't these killings happen at your political rallies?" Mwenye masikio ya kusikia na asikie.Mta fanyizana sana hadi siku ya uchaguzi mkuu na kuendelea. Ni kupigana vikumbo tu sasa. NDIO USHETANI WENYEWE HUO. Mnasingizia udini, ukabila, uchama, ufisadi ... HAMNA UPENDO BALI NI CHUKI TU, mtachukia hata hewa mliyopewa bure na MUNGU na udongo mnaoukanyaga. Utendaji kwenye sectors za elimu, afya, ulinzi na usalama na kwengineko kote ni ndumbulu mbangala tu. Mtajijuu amuachiani hewa na hakuna njia ya kutokea. Ustaraabu wa KIMUNGU kwenu ni ndoto.
Watu kufokeana tu na kutoleana mapovu, na hakuna kupiga hatua zaidi ya kurudi kinyumenyume kwenye ujima (the law of jungle). Mara wapigwe tu!!!!!. Mtapigwa tuuu kwani mtafanya nini? Amuwezi kitu.
Ushauri wa bure ili kupata dawa, MGEUKIENI MUNGU NA KUTUBU PIA KUMPOKEA YESU KUWA KAMA BWANA NA MWOKOZI WENU. KULENI NENO LA MUNGU MNENEPE KIROHO NA KUJAWA NA UPENDO WA MUNGU. (Angalieni msinitukane mie)
wonders of the worldWhat on earth?!!
nimekwambia ni mzima, lisemwalo mzima huliamini, wee unaamini la kuumwa tu?Itakuwa kweli anaumwa., lisemwalo lipo
kwa hiyo?Hata ile siku yule mwanasiasa aliyekuwa akihutubia huku akionekana live, alipoanguka jukwaani huku watu tukishuhudia!, taarifa ilisema "ni mzima wa afya!, hana tatizo lolote la kiafya!" ule ulikuwa ni uchovu tuu!, fatigue!.
Pasco
kuna habari kwamba mzee samuel sitta kaugua ghafla na kulazwa hospitalini dodoma. Wajumbe wanasema watampigia kura hata akiwa na drip wodini.
unataka uthibitisho gani??Mzee ulichoandika pia hakina udhibitisho kama Manyerere. Ngoja tuone kama atatokea kwenye kujinadi baadaye!!
Kamati ya ufundi?! Yaani hujui kama mwenyekiti wa wachawi yupo inside? Kafunga milango yote ya mwingine kuwakinga adui zake hapa ilibidi wamwangukie kwa kumpatia fungu la fedha. Nasikia yule gwagula mkuu yupo kundi la Mamvi.
Halafu sijui kwa nini inawatokea wale wanasiasa ''tegemeo''??Hata ile siku yule mwanasiasa aliyekuwa akihutubia huku akionekana live, alipoanguka jukwaani huku watu tukishuhudia!, taarifa ilisema "ni mzima wa afya!, hana tatizo lolote la kiafya!" ule ulikuwa ni uchovu tuu!, fatigue!.
Pasco
wameanza nn fafanua au ya chacha wangwe