Mta fanyizana sana hadi siku ya uchaguzi mkuu na kuendelea. Ni kupigana vikumbo tu sasa. NDIO USHETANI WENYEWE HUO. Mnasingizia udini, ukabila, uchama, ufisadi ... HAMNA UPENDO BALI NI CHUKI TU, mtachukia hata hewa mliyopewa bure na MUNGU na udongo mnaoukanyaga. Utendaji kwenye sectors za elimu, afya, ulinzi na usalama na kwengineko kote ni ndumbulu mbangala tu. Mtajijuu amuachiani hewa na hakuna njia ya kutokea. Ustaraabu wa KIMUNGU kwenu ni ndoto.
Watu kufokeana tu na kutoleana mapovu, na hakuna kupiga hatua zaidi ya kurudi kinyumenyume kwenye ujima (the law of jungle). Mara wapigwe tu!!!!!. Mtapigwa tuuu kwani mtafanya nini? Amuwezi kitu.
Ushauri wa bure ili kupata dawa, MGEUKIENI MUNGU NA KUTUBU PIA KUMPOKEA YESU KUWA KAMA BWANA NA MWOKOZI WENU. KULENI NENO LA MUNGU MNENEPE KIROHO NA KUJAWA NA UPENDO WA MUNGU. (Angalieni msinitukane mie)