wabungenjaa
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 1,782
- 337
habari wana jukwaa.
kumekuwa na taarifa zilizoletwa humu jukwaani na mwana jf mwenzetu kuwa mgombea uenyekiti wa bunge la katiba mh. samwel sitta amegua gafla. taarifa hizo sio za kweli, ni za uzushi, uongo na zipuuzwe.
mleta mada ana nia ya kupotosha ukweli na kutaka kuonyesha umma kuwa sitta ana matatizo ya afya ili kumpunguzia imani yake kwa wajumbe wa bunge la katiba wanaotarajia kupiga kura jioni hii ya kuchagua mwenyekiti wa bunge hilo.
NB. moderators wachukue hatua kwa mwana jf manyerere jakton ambaye ni verified member lakini muongo.
cc.
mods wote wa jukwaa la siasa
kumekuwa na taarifa zilizoletwa humu jukwaani na mwana jf mwenzetu kuwa mgombea uenyekiti wa bunge la katiba mh. samwel sitta amegua gafla. taarifa hizo sio za kweli, ni za uzushi, uongo na zipuuzwe.
mleta mada ana nia ya kupotosha ukweli na kutaka kuonyesha umma kuwa sitta ana matatizo ya afya ili kumpunguzia imani yake kwa wajumbe wa bunge la katiba wanaotarajia kupiga kura jioni hii ya kuchagua mwenyekiti wa bunge hilo.
NB. moderators wachukue hatua kwa mwana jf manyerere jakton ambaye ni verified member lakini muongo.
cc.
mods wote wa jukwaa la siasa