Unamaanisha nini? naomba utujuze zaidi. MUNGU tuepushe na maovu na utupe UPENDO wako. Amen
Security camera zinaonyesha nini the last 48hrs? Chenge hakunyunyuzia this time?
Kuna habari kwamba mzee samuel sitta kaugua ghafla na kulazwa hospitalini dodoma. Wajumbe wanasema watampigia kura hata akiwa na drip wodini.
Nimeshangaa mtu wa media kuzusha, inawezekana hata gazeti lao huwa wanazusha.unamwamini eti kwakuwa ni mhariri?
Dah ! Hakika uko nyuma sana.
habari za uongo mbona SITTA ANAONGEA BUNGENI SASA MWONGO MKUBWA MLETA MADA