nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
Teh teh, inawezekana maccm yameshafanya mambo yao mkuu!
Acheni kunizushia kifo .... Nipo NGANGARI
nimekwambia ni mzima, lisemwalo mzima huliamini, wee unaamini la kuumwa tu?
Wanaweza kuwa wamemfanyia mambo yao,au ni mapenzi ya mungu au ni janja kwamba yule mama apite....
acheni kunizushia kifo .... Nipo ngangari
Tatizo lako habari ya jana umeifanya kama ya leo,Uliza general hospital. Mimi sizomoki. Kama kapata nafuu, hilo ndo tunaliomba. Jana kapelekwa hospitalini akiwa taaban.
Acheni kunizushia kifo .... Nipo NGANGARI
are you 6,
ok! Nikutakie afya njema katika haya mapambano mazito yaliyombele yako.
Tukopamoja mzee mwenzangu,wagogo wote tunakuombea.
Hata ya Tengeru atawaletea muakikishieni maslahi kwanzaUpo ngangari kutuletea serikali yetu ya Tanganyika?
mimi mwenyewe.
Jambo hili lilibandikwa hapa jana na member mmoja aitwaye 'ba nso' mida ya saa 4:11 usiku kuhusu kuugua kwa mmoja wa wagombea...nai paste hiyo habari hapa ...
"salaam wanajamvi,
ninatabiri ugonjwa kwa mmoja wa wagombea
cheo cha mwenyekiti anayetazamwa na wengi
kua mshindi adi kusababisha uchaguz
kuahirishwa ama kuendelea bila uwepo wake.
Tumuombee tafafhali"
unganisheni doti kama habari hii ni kweli!
Huyo BANSO kama sio mjukuu wa Mzee asiye na dini basi atakuwa ndiye anatumia ipad ya huyo gwagula kwani hiyo ipad hutumiwa kuroga watu kidigital.
Yote hiyo ni mipango iliyosukwa tu ili apigiwe kura kwa kigezo cha kuonewa huruma
Hata ya Tengeru atawaletea muakikishieni maslahi kwanza
hahaha
kwahiyo angekuwepo asingepigiwa kura kaka?