CCM wako kichama zaidi baada ya kumuondoa Sitta kwa kisingizio cha zamu ya mwanamke si ajabu wakaleta kisingizio kingine kuwa sasa hivi ni zamu ya shoga.
tuambie chanzo cha habari hii na pia tuwekee picha, usije ukawa unamuwangia mabaya mzee wa watu.Kuna habari kwamba mzee samuel sitta kaugua ghafla na kulazwa hospitalini dodoma. Wajumbe wanasema watampigia kura hata akiwa na drip wodini.
Kuna habari kwamba mzee samuel sitta kaugua ghafla na kulazwa hospitalini dodoma. Wajumbe wanasema watampigia kura hata akiwa na drip wodini.
Pole zake na augue pole.., ila hii isije ikawa ni publicity stunt.., sababu hawa politicians anything is possible
kuna uzi ulianzishwa hapa kwamba mgombea MMOJA wa nafasi ya uenyekiti ataumwa ghafla.....sasa yule alieanzisha aje hapa atueleze huo ulikua utabiri au kuna kitu kingine ndani yake
Kima hawezi kufanya upelelezi wa Ngedere kuiba mahindi wote ni jamii ya nyani.
Ofisi ya Waziri mkuu na Ikulu zinahusika moja kwa moja na jaribio la kumuua Dr Ulimboka.
Kwa umoja wao wa Kiibilisi walijua DR Ulimboka ni marehemu.
Hili la kufanya upelelezi ni changa la macho kwetu wananchi.
Tangu lini MiPorizi midogo inaweza kuichunguza MiPorizi mikubwa UWT??
Hii itakuwa ni vita ya Mbwa na Fisi.
Kama kawaida yao Ikulu na Ofisi ya waziri mkuu ya kuhudhuria misiba kwa mbwembwe za kijuha,Walisha anza kujiandaa kwenda msibani. Wasijue Mungu hana mshirika wala mwenza na hapangi mikakati yake na Bin Adam, sembuse binadamu dhaifu kama wao?
Shock waliyopata baada ya kuambiwa Dr Ulimboka yuko hai was the biggest of all shocks, wengine kende zilinywea kwa juu kwa mfadhaiko.
Waliokuwa wanavaa hirizi mbili viunoni mwao sasa wameshauriwa na vigagula wao wavae 13 kuondoa nuksi.
Wengine wanawanga uchi wa mnyama na wakwe zao makaburini kuzuia zongo lisiwapate
Some high ranked member of CCM government who strongly believe in witchcraft already are being haunted by this event and they know for sure some awful stuff are coming
Mwishoni so likiwa zito sana wale jamaa walioshiriki kumpa kipigo Dr Ulimboka wote watageuzwa Kondoo wa Kafara ili kuzima soo. Ni rahisi kwa serikali ya CCM kuwaua wahusika wa jaribio la kumuua Dr Ulimboka kuliko kukabiriana na ukweli kwamba wana mikono yote miwili kwenye soo hili.
Mmoja atanguka bafuni na kutoka mapovu mdomoni,
mwingine ataumwa tumbo ghafla,
mwingine atapa Cardiarc arrest,
mwingine ataenda kulala kesho yake hataamka
Hao ni CCM kigoda by all cost
Si unajua tena, Uovu hauna kwao.
kuna siku utaambiwa mkeo / mumeo kakutwa chumbani gesti na jamaa /demu akivunja amri ya sita, wewe utaomba picha kwanza ili kujiridhisha kabla ya kuchukua action.tuambie chanzo cha habari hii na pia tuwekee picha, usije ukawa unamuwangia mabaya mzee wa watu.
Haki akifa inabidi mzee wa vijisenti tummalize kwa mawe!!Kuna habari kwamba mzee samuel sitta kaugua ghafla na kulazwa hospitalini dodoma. Wajumbe wanasema watampigia kura hata akiwa na drip wodini.
Jambo hili lilibandikwa hapa jana na member mmoja aitwaye 'ba nso' mida ya saa 4:11 usiku kuhusu kuugua kwa mmoja wa wagombea...nai paste hiyo habari hapa ...
"salaam wanajamvi,
ninatabiri ugonjwa kwa mmoja wa wagombea
cheo cha mwenyekiti anayetazamwa na wengi
kua mshindi adi kusababisha uchaguz
kuahirishwa ama kuendelea bila uwepo wake.
Tumuombee tafafhali"
unganisheni doti kama habari hii ni kweli!