Samia Suluhu ameshindwa kutupa Katiba Mpya lakini bado wanataka kumuongezea vyeo

Ni nani alikuwa anaongoza vikao vya Katiba? Sasa Katiba Mpya iko wapi?
Amekuwa ineffective kama Anna Makinda. Fujo kidogo tu za John Mnyika na Halima Mdee zonakwamisha Bunge.
Kule Afrika Kusini yupo Mbunge machachari,Julius Malema lakini hatujasikia like Bunge lime collapse..

Nani kama jembe,jiwe, bulldozer? Mfupa uliomshinda fisi Mama Samia anauweza?

Magufuli amewatimua mafisadi,lakini mafisadi wameongezeka badala ya kupungua.
Amekuwa Makamu wa Rais miaka mitano lakini watu hawamfahamu Mama Samia. Huo so ndio ilikuwa wakati mzuri wa kujitambulisha kwa watu?
Magufuli alifanya kazi ya kutukuka sehemu nyingi kabla ya kwenda Ikulu.
Nasema tena, noliposikia Magufuli amelazwa hospitali nilisema" naomba ainuke pale isije ikatokea balaa ya Mama Samia kuwa Rais"
Mama LA mama ndie rais. Wangu mtukufu we kama humpendi kaloweke kende zako kwenye chumvi make bado unamavundo ya hasira za kutoteuliwa ng'ombe wa mayai wewe
 
Ukahaba,that is what is happening. Wanawake wale makahaba hawana interest ya sex,wanamtaka tu kujua Ina shiling ngapi

Halafu kuna makahaba. wengine .Ukiwapa hela wanamchinja mtu. Hawana interest kama mtu amekosa au hajakosa. Hao pia niakahaba. Make no mistake.
People are behaving pompously , supposedly,they are trying to do something good for the nation. Halafu wamapoona wameshindwa,they are overhauling the government, recycling the government, retrenching workers,to what purpose is all this troubling of the nation?
 
Boya wewe, Kigwa hizo propaganda alizokutuma Kakurwa kuja kuzifanya JamiiForums zimefeli, mtu mwenyewe umejiunga week iliopita JF 09/04/2021.

Jiandae, takukuru wakimalizana na Kakoko jumatatu wakimfikisha mahakamani ujue wanakuja kwako, zamu yako imefika kushughulikiwa.

1) Rais Samia hajamaliza hata "MWEZI NA NUSU" ushaanza kusema ameshindwa kutupa katiba mpya.

2) Rais Magufuli alifukuza mafisadi ili afisadi nchi yeye peke yake. Nchi haijawahi kuwa na Rais muongo na mbaguzi wa kikabila aliopitiliza kama Magufuli.

3) Rais Magufuli ndio ameongoza kwa kuwa Rais wa muda mfupi kuwahi kutokea Tanzania, ila ndio Rais alioongoza kwa kuipa hasara na madeni nchi.

MATAGA hata mfanye nini, tarehe 30/04/2021 Rais Samia ndio anakuwa Mwenyekiti wa CCM, hata mfanye propaganda gani za kumnyima 100% ya kura, yeye ndio atakua Mwenyekiti. Mtake msitake.

Hii itakua bingo kwa wapinzani, maana Rais Samia ni mtu pekee ambae ana "AKILI TIMAMU NA MUELEWA" katika chama kizima cha CCM.

● Raia wamelia na kupanda kwa bei za internet siku moja tu, kalishughulikia.

● Raia walikua hawana furaha na nchi yao, siku moja tu baada ya yeye kuapishwa furaha imerudi.

● Raia walikua wanachukiana kwa itikadi za vyama vya siasa, siku moja tu baada ya kuapishwa mpaka wanachama wa upinzani wanamuunga mkono.

● Raia wamepiga kelele za ufisadi hazina, siku moja tu baada ya kukabidhiwa report na CAG kalishughulikia na linafanyiwa kazi.

● Raia na Vyombo vya habari walikua wanalalamika kukandamizwa na kuonewa kwasababu ya kuikosoa serikali, ameamrisha vyombo vya habari vilivyofungiwa vifunguliwe. Sasa watu wanaikosoa serikali kistaarabu.

MPAKA JAMIIFORUMS tokea Mama Samia kuapishwa tu tumerudishiwa uhuru wa kuikosoa kisawasawa serikali, hasa kumkosoa Jiwe na serikali yake. Hakuna ban wala kufutiwa uzi siku hizi. Huu ndio uhuru tunaotaka.
Natamani ningekuwa Karibu yako nilipe bill ya chochote utakachokula na kunywa. Yaani una akili ya kuelezea mbumbumbu kitu akakuelewa. Hilo -TAGA limetumwa naamini huko liliko halina hamu kurudi hapa. Si kwa majibu haya yaliyotulia. Kula 5
 
Magufuli amgeweza kuleta Katiba mpya nakubaliana na wewe. Aliwaandaa kina Ndugai, Ally Keissy, Kibajaji na Deo Sanga kuandaa muswada wa katiba mpya ya kuwa Rais wa kudumu.
Mungu ni fundi Aisee. Tungejeuka Kosovo
 
Samia Suluhu kaongeza furaha ya wananchi. Furaha ndio tatizo.
Mtu akikasirika bila sababu siku zote amaulizwa,we umekasirika nini?
Lakini mtu akifurahi bila sababu haulizwi,we mheshimiwa ,umefurahishwa na nini? Huko ghetto watu wana furaha sana. In fact wakati fulani kulikuwa na kipindi Cha tv,"Uswazi' kilichokuwa kinasema anayedhania watu wa ghetto wana huzuni ni mjinga.
Tunaona vijana 800 wanafukuzwa kazi siku moja
Na hivyo Rais ndio anàanza tu kazi.
 
Kutambua haki zao kikatiba,kudai katiba mpya na kudai Tume huru ya Uchaguzi ,hadi sasa serikali inaogopa sana wananchi kwa ujumla wao wakafikia kusimama kidete kudai katiba mpya na kudai tume huru ya Uchaguzi inayokubalika na vyama na wananchi wote.

Haya yanayotokea sasa teuzi kubadilisha huyu na yule kufanya ziara na kutafuta kiki za hapa na pale ni kuwapumbaza watu na kuwalewesha maigizo yasiyokwisha.

Wanaloliogopa ni umma wa Nchi hii kusimama pamoja na kudai katiba mpya na tume huru ya Uchaguzi, hilo CCM wachache wanaliogopa sana sana na wanapokaa wenyewe hupeana tahadhari wasije wakalitonesha donda hili,ndio ukasikia au ukaona hakuna kiongozi yeyote wa serikali anaethubutu hata kuligusia japo kwa mbali.

Nasaha kwa vyama vya upinzani achaneni na mambo yote haya mambo mawili sasa ndio myashikie mabango mpaka washinwe kuvumilia kwa kujua sasa si shwari tena.
 
Unakuta mbunge anajisifia kusema watu wangu. Huku hao watu wakiteseka, fukara. Shule majengo shida, huduma za afya tabu. Mtu mmoja analipwa mamilioni.
Hakuna haki. Wabunge wenyewe majimboni hawaonekani. Wakienda Bungeni maswali ni yale yale toka nazaliwa hakuna linalo badilika. Utasikia korosho, Pamba, ufugaji, madini, elimu. Hivi haya yote hayajapata ufumbuzi toka wakati wa Nyerere hadi Leo! Miaka 60 tunaongelea jambo lile lile!
Ulaya ya miaka ya hamsini na tisini ilikuwa masikini si kama ya Leo. China, Malyasia, India, Korea na nyinginezo walikuwa masikini.
Je sisi watanzania tumelaniwa nini? Nyerere alitupatia viwanda leo vyote hakuna.
Shida ni nini? Nilibahatika kufanya kazi serikalini, nilipo ingia nilishangaa mengi. Hapo nikajua Tanzania kwendelea ni kazi. Tutapiga mark time.
Tunahitaji kubadili mfumo wa kiutumishi. Tunahitaji kubadili matumizi ya fedha na mshahara. Tunahitaji kubadili mfumo wa utekelezaji wa miradi.
Pia kubadili mfumo wa Bunge. Na kuwa na wabunge wachache. Kufuta viti maalum. Na wabunge wawajibishwe mara wanapokuwa si wawajibikaji.
Hivyo tunahitaji muundo mpya wa serikali. Hata baraza la mawaziri hatuhitaji utitiri wa mawaziri.

Kuna mtaalamu wa ujenzi ni Afisa mkubwa walijenga barabara isiyo na kiwango ktk kumhoji akanambia akijenga ya kiwango yeye na familia yake watakula nini?
Anajua hyo isiyo na kiwango baada ya muda itahitaji matengenezo hivyo atapata fedha. Nilichoka!

Afisa mmoja mkubwa anateuliwa na Rais akanambia usipo kula fedha ya serikali wengine wanakula. Usiangalie kuendeleza nchi. Jiendeleze mwenyewe.
Baada ya muda niliona niache kazi ya serikali na kufanya kazi katika mashirika ya kimataifa.

Tuombeni na kudai Katiba mpya. La sivyo hata vyama shindani vikiingia bado ni yale yale.
 
Ni nani alikuwa anaongoza vikao vya Katiba? Sasa Katiba Mpya iko wapi?

Amekuwa ineffective kama Anna Makinda. Fujo kidogo tu za John Mnyika na Halima Mdee zonakwamisha Bunge.

Kule Afrika Kusini yupo Mbunge machachari,Julius Malema lakini hatujasikia like Bunge lime collapse.

Nani kama jembe,jiwe, bulldozer? Mfupa uliomshinda fisi Mama Samia anauweza?

Magufuli amewatimua mafisadi,lakini mafisadi wameongezeka badala ya kupungua.

Amekuwa Makamu wa Rais miaka mitano lakini watu hawamfahamu Mama Samia. Huo so ndio ilikuwa wakati mzuri wa kujitambulisha kwa watu?

Magufuli alifanya kazi ya kutukuka sehemu nyingi kabla ya kwenda Ikulu.

Nasema tena, noliposikia Magufuli amelazwa hospitali nilisema" naomba ainuke pale isije ikatokea balaa ya Mama Samia kuwa Rais"
Kumbe ni wewe!.
P
 
Mara nyingi huwa nakifiria kizazi kijacho.
Kuna hatari ya sisi kuonekana tusiofaa kwa wakati wao kuliko hata hao tuliowapachika jina la "wakoloni
 
Back
Top Bottom