Samia: Ki-Petro Magoti kinafanya vizuri huko Kisarawe

Samia: Ki-Petro Magoti kinafanya vizuri huko Kisarawe

Kauli ya Samia kumuita Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Ki-Petro Magoti kuwa kinafanya vizuri huko Kisarawe ni sawa na kumdogodisha.

Najaribu kuwaza, mtu kama John Heche angemuita DC wa Kisarawe Ki-Magoti (Ki-Petro) kutokana na ulemavu wake, naamini watetezi wa haki za binadamu huko sisiem leo mapovu yangewatoka sana.

Ila kwakuwa aliyetoa kauli ni bosi wao hata pale Ikulu wakaishia kucheka kinafki ukumbi mzima.

We call it double standard.
Samia ni mjinga mpaka haujui ujinga wake.
 
Kauli ya Samia kumuita Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Ki-Petro Magoti kuwa kinafanya vizuri huko Kisarawe ni sawa na kumdogodisha.

Najaribu kuwaza, mtu kama John Heche angemuita DC wa Kisarawe Ki-Magoti (Ki-Petro) kutokana na ulemavu wake, naamini watetezi wa haki za binadamu huko sisiem leo mapovu yangewatoka sana.

Ila kwakuwa aliyetoa kauli ni bosi wao hata pale Ikulu wakaishia kucheka kinafki ukumbi mzima.

We call it double standard.
Pole sana Brother Magoti, vumilia tu ulimi hauna mfupa.
 
Kauli ya Samia kumuita Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Ki-Petro Magoti kuwa kinafanya vizuri huko Kisarawe ni sawa na kumdogodisha.

Najaribu kuwaza, mtu kama John Heche angemuita DC wa Kisarawe Ki-Magoti (Ki-Petro) kutokana na ulemavu wake, naamini watetezi wa haki za binadamu huko sisiem leo mapovu yangewatoka sana.

Ila kwakuwa aliyetoa kauli ni bosi wao hata pale Ikulu wakaishia kucheka kinafki ukumbi mzima.

We call it double standard.
mawazo useless na completely nonsense kabisa hayo gentleman :NoGodNo:
 
W
Kauli ya Samia kumuita Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Ki-Petro Magoti kuwa kinafanya vizuri huko Kisarawe ni sawa na kumdogodisha.

Najaribu kuwaza, mtu kama John Heche angemuita DC wa Kisarawe Ki-Magoti (Ki-Petro) kutokana na ulemavu wake, naamini watetezi wa haki za binadamu huko sisiem leo mapovu yangewatoka sana.

Ila kwakuwa aliyetoa kauli ni bosi wao hata pale Ikulu wakaishia kucheka kinafki ukumbi mzima.

We call it double standard.
Watanzania mnatafsiri sana
 
Hiyo ni kauli ya udhalilishaji mkubwa kwa kuweka neno hilo la ki-mtu fulani, yaani kidogo mno kimaumbile isivyo kawaida.

Kila mtu ana haki sawa za kiutu pasipo kujali maumbile yake. Kiongozi anapaswa kutumia lugha ya staha akiwa kama fanani mbele ya hadhira.

Samia hana sifa ya kuwa kiongozi ndio maana anatumia lugha ya dharau mara nyingi anapowahutubia wananchi. Kiongozi maana yake ni mtu anaewaonesha njia watu anaowaongoza lakini badala ya kufanya hivyo yeye Samia anawateketeza kwa kuwaua!!
 

Ki-Petro Labda Kasubiri Jogoo Awike Tena,Mara Tatu Labda Kanaweza Kubadilika Na Kuwa,Li-Petro... Labda...!!
 
Hiyo ni kauli ya udhalilishaji mkubwa kwa kuweka neno hilo la ki-mtu fulani, yaani kidogo mno kimaumbile isivyo kawaida.

Kila mtu ana haki sawa za kiutu pasipo kujali maumbile yake. Kiongozi anapaswa kutumia lugha ya staha akiwa kama fanani mbele ya hadhira.
Huenda magoti akatumbuliwa,ana mazonge mengi,mara kuvamia madrasa usiku wa manani,mara kuweka ndani watu wanaenda kununua viwanja
 
Kiongozi atasemaje hadharani " Nywi nywi nywiiiiiiiii"! Aibu.
Tutafika tu sema kazi tunayo bora yule mwenzake kuna waliosema file lipo milembe sasa huyu mwenzetu sijui limepotea kabisa.

Asee bora jana kuliko leo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom