kisarawe

Kisarawe is one of the six districts of the Pwani Region of Tanzania. It is bordered to the East by Dar es Salaam Region, to the north by the Kibaha District, to the east by the Mkuranga District, to the south by the Rufiji District and to the west by the Morogoro Region.
According to the 2002 Tanzania National Census, the population of the Kisarawe District was 95,614.

View More On Wikipedia.org
  1. Mr_positive

    Nauza kiwanja changu mwenyewe kigamboni kisarawe II LINGATO

    Tajiri wahi kiwanja hiki utanishukuru badae..Nimepata shida tu ukubwa 20 kwa 20 kikubwa kizuri sana bei milion 10 nicheki 0756038510 Kimepimwa ila hakina HATI bado
  2. Super Sub Steve

    Changamoto za Msingi Zinazohitaji Kufanyiwa Kazi Haraka katika Shule ya Wasichana Jokate Mwegelo Sekondari, Kisarawe

    Shule ya Jokate Mwegelo Girls Sekondari iliyopo Kisarawe ni miongoni mwa shule zinazofanya vizuri kitaaluma, jambo linalotokana na juhudi na kujituma kwa walimu pamoja na wanafunzi wake. Hata hivyo, shule inakabiliwa na changamoto kadhaa za msingi zinazohitaji kushughulikiwa ili kuimarisha...
  3. K

    Wahi Shamba zuri sana linauzwa lipo Kisarawe

    Nauza shamba langu lipo Mkoa wa Pwani, Wilaya ya Kisarawe, kata ya Kisanga, kijiji cha Kitunda. Lina ukubwa wa Ekari 6. Udonga safi sana wenye rutuba. Lina maji ya kutosha lwa kilimo cha umwagiliaji kwa muda wote. Kilimo cha pesa ni maji ya uhakika. Wala huna gharama ya kuchimba kisima...
  4. Pfizer

    DAWASA yafafanua sababu ya ukosefu wa maji maeneo ya Kibaha hadi Kisarawe

    ‎ DAWASA yaomba radhi wateja kukosekana kwa huduma Kukosekana huduma ya Maji Kibaha hadi Kisarawe.. DAWASA yatoa sababu ‎ Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imetoa ufafanuzi kuhusu changamoto ya ukosefu wa huduma ya maji iliyowakumba wakazi wa maeneo...
  5. A

    KERO Viongozi kisarawe wanaisahau sana barabara ya Kiluvya Madukani-Makurunge

    Barabara ya Kiluvya Madukani mpaka Makurunge imeachwa bila matengenezo licha ya eneo hili kupata wakazi wengi miaka ya hivi karibuni. Shida kuu: 1. Miundombinu mibovu: Barabara ni ya udongo wa mfinyanzi. Wakati wa mvua inakuwa na mashimo na inateleza sana. Magari yanakwama. 2. Ufumbuzi wa muda...
  6. radhiya

    Plot For Sale at Kigamboni Kisarawe 2

    Plot Available For Sale. Location: Kigamboni Kisarawe 2, Mwasonga road. Descriptions: *12km from main road (Kibada rd), 2km inside from new Mwasonga road. *It's near to box factory and Dar es Salaam zoo. *It's 9.6 acre's which is equal to 39,507.11SQM. *Suitable for industrial, commercial or...
  7. A

    KERO Barabara ya Kisarawe 2 kijiji cha Vumilia Ukooni

    Kisarawe2 barabara tuliahidiwa barabara itatengenezwa ila toka wasitishe mwezi wa pili mpaka sasa barabara imeharibika. Isitoshe hio, wamekataza magari makubwa kupitia njia ya Geza, kwa hiyo magari yote yanaharibu njia ya Vumilia Ukooni tunashindwa kufika makwetu sio kwa gari wala boda...
  8. USSR

    Ujambazi umeanza tena Kisarawe je IGP na DC Magoti wanawasidiaje waathiriwa na je ni polisi wanahusika ?

    Kwako mh Rais wangu na IGP wetu na DC Magoti je ujambazi umeanza tena kwa mfumo wa ndani ya jeshi la polisi? Jana saa nne na nusu za usiku hapa makurunge kiluvya kisarawe kumetokea tukio la ujambazi kwenye bar nne tofauti watu hao ambao mmoja wao alikuwa amevalia mavazi ya polisi na redio call...
  9. radhiya

    Plot For Sale at Kigamboni Kisarawe two

    Plot Available For Sale. Location: Kigamboni Kisarawe 2, Mwasonga road. Descriptions: *12km from main road (Kibada rd), 2km inside from new Mwasonga road. *It's near to box factory and Dar es Salaam zoo. *It's 9.6 acre's which is equal to 39,507.11SQM. *Suitable for industrial, commercial or...
  10. A

    KERO Makurunge Sekondari, Wanafunzi wa kidato cha Pili na Nne wanalazimishwa kukaa Bweni

    Ni mmoja wa wazazi wa mtoto anae soma shule ya Sekondari Makurunge iliyopo mkoa wa Pwani, wilaya ya kisarawe kata ya Kiluvya. Walimu wa shule hii ya Sekondari wameanzisha mradi binafsi wa kujenga hostel za kukaa wanafunzi hivyo wamekua wakilazimisha wanafunzi hasa wa kidato Cha pili na nne...
  11. Area 56

    Samia: Ki-Petro Magoti kinafanya vizuri huko Kisarawe

    Kauli ya Samia kumuita Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Ki-Petro Magoti kuwa kinafanya vizuri huko Kisarawe ni sawa na kumdogodisha. Najaribu kuwaza, mtu kama John Heche angemuita DC wa Kisarawe Ki-Magoti (Ki-Petro) kutokana na ulemavu wake, naamini watetezi wa haki za binadamu huko sisiem leo mapovu...
  12. A

    KERO Wakazi wa Makurunge, kata ya Kiluvya, wilaya ya Kisarawe hali tete baada lile sakata la uvamizi wa uporaji

    Ni baada ya polisi kuanza doria usiku imesababisha raia hasa wale wanaochelewa kurudi majumbani kwa sababi kadhaa wakikutana na polisi wanachezea kichapo kwanza ndo kisha kuhojiwa. Hii imepeleka raia wengi kuwa na hofu asa kuwahi makazini kwao au kutokurudi kabisa kukwepa kurukishwa...
  13. radhiya

    Plot For Sale at Kigamboni Kisarawe 2

    Plot Available For Sale. Location: Kigamboni Kisarawe 2, Mwasonga road. Descriptions: *12km from main road (Kibada rd), 2km inside from new Mwasonga road. *It's near to box factory and Dar es Salaam zoo. *It's 9.6 acre's which is equal to 39,507.11SQM. *Suitable for industrial, commercial or...
  14. Traxtion

    Finally: Nchi yetu 🇹🇿itapata kiwanda cha kutengeneza mabasi kitakachowekwa pale Kisarawe, Pwani

    Mfanyabiashara wa Tanzania Mohammed Kiluwa ambaye ndiye Mwenyekiti/Mmiliki wa Makampuni ya Kiluwa Group Tanzania ( KG), amesema yupo tayari kuyaleta Jijini Dar es salaam Mabasi ya Abiria ya MAZ kutoka Ulaya kwa ajili ya kubeba Abiria wa ‘Mwendokasi’. Kiluwa ameyasema haya leo January 19 Jijini...
  15. radhiya

    Plot For Sale at Kigamboni Kisarawe 2

    Plot Available For Sale. Location: Kigamboni Kisarawe 2, Mwasonga road. Descriptions: *12km from main road (Kibada rd), 2km inside from Mwasonga road. *It's near to box factory and Dar es Salaam zoo. *It's 9.6 acre's which is equal to 39,507.11SQM. *Suitable for industrial, commercial or...
  16. radhiya

    Plot4Sale Plot For Sale at Kigamboni Kisarawe 2

    Plot Available For Sale. Location: Kigamboni Kisarawe 2, Mwasonga road. Descriptions: *12km from main road (Kibada rd), 2km inside from Mwasonga road. *It's near to box factory and Dar es Salaam zoo. *It's 9.6 acre's which is equal to 39,507.11SQM. *Suitable for industrial, commercial or...
  17. radhiya

    Plot For Sale at Kigamboni Kisarawe 2

    Plot Available For Sale. Location: Kigamboni Kisarawe 2, Mwasonga road. Descriptions: *12km from main road (Kibada rd), 2km inside from Mwasonga road. *It's near to box factory and Dar es Salaam zoo. *It's 9.6 acre's which is equal to 39,507.11SQM. *Suitable for industrial, commercial or...
  18. radhiya

    Plot available for Sale at Kigamboni Kisarawe 2

    Plot Available For Sale. Location: Kigamboni Kisarawe 2, Mwasonga road. Descriptions: *12km from main road (Kibada rd), 2km inside from Mwasonga road. *It's near to box factory and Dar es Salaam zoo. *It's 9.6 acre's which is equal to 39,507.11SQM. *Suitable for industrial, commercial or...
  19. radhiya

    Plot For Sale at Kigamboni Kisarawe 2

    Plot Available For Sale. Location: Kigamboni Kisarawe 2, Mwasonga road. Descriptions: *12km from main road (Kibada rd), 2km inside from Mwasonga road. *It's near to box factory and Dar es Salaam zoo. *It's 9.6 acre's which is equal to 39,507.11SQM. *Suitable for industrial, commercial or...
  20. radhiya

    Looking for a plot Industrial Plot at Kigamboni Kisarawe 2 and Kibaha

    Attention to Property Owners! On behalf of our client, we are looking for an Industrial Plot with following criterias: The use of the plot area should be industrial. Location: Kigamboni Kisarawe 2 and Kibaha only. Plot size: 20 acre's. Plot should be on main road or maximum of 500m inside from...
Back
Top Bottom