Samahani wanajukwaaa

Samahani wanajukwaaa

Status
Not open for further replies.
Buchanan wewe ni mods uliyekuja huku. Unawaona watu ambao wanavuruga jukwaa na unalijua jukwaa lilivyokuwa. Lugha kama uliyompa charminglady sio ya busara ni ya kutisha na ambayo ulipaswa kumpa kwenye pm yake
manoah ndio hivyo bana inabidi tuwe makini sana
Marry Hunbig sijui ni lugha gani tuongee ili mods aelewe aise

Ok, kwa hilo la lugha mnisamehe wakuu! I hope hakuna jingine! Kwa hao wavurugaji tusaidiane kuliko lawama kila wakati!
 
Last edited by a moderator:
Buchanan wewe ni mods uliyekuja huku. Unawaona watu ambao wanavuruga jukwaa na unalijua jukwaa lilivyokuwa. Lugha kama uliyompa charminglady sio ya busara ni ya kutisha na ambayo ulipaswa kumpa kwenye pm yake
manoah ndio hivyo bana inabidi tuwe makini sana
Marry Hunbig sijui ni lugha gani tuongee ili mods aelewe aise

Yaani hapa Mr Rocky naogopa nikiendelea kuongea naweza limwa PM ya onyo kali au BAN kabisa.
Ila wanao chafua jukwaa wanajulikana,kwanini hatua kali zisichukuliwe dhidi yao,ikiwemo kunyimwa access?
 
Last edited by a moderator:
Binafsi nitaendelea kubaki msomaji hadi ntakapokuwa na nimevitiwa saaaana otherwise sina mzuka tena na jukwaa

Erickb52 nitakuwa the same aise nitakuwa msomaji tuu na wala sio mchangiaji maana haya ya kula ban ukiwa chit chat hakufai kabisa
Kule siasa kulijulikana ila mpaka chit chat tena na ban ni balaaa
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli, kama leo kuna mtu, kaniandama humu mida ya jioni kwenye thread yake kanitaja zaidi ya mara mbili, sijui alikua na lengo gani kwangu, ila nashukuru wameiondoa nyuzi yake.
manoah same here brother ni kuamua kutulia na kuacha mambo yaende kimya kimya aise. Yaani unasoma na kupita bila kucomment maana usije ukapata ban
 
Last edited by a moderator:
Erickb52 nitakuwa the same aise nitakuwa msomaji tuu na wala sio mchangiaji maana haya ya kula ban ukiwa chit chat hakufai kabisa
Kule siasa kulijulikana ila mpaka chit chat tena na ban ni balaaa

Dah we acha tu.
Nilipata ujumbe wako mchana nikakujibu ila nilichemka kitu. Ntakucall kesho kaka!
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli kaka yan ndio anaharibu ndio maana mi nimekula zangu kimya isingekuwa huu uzi wako usingeniona mkuu!
Chitchat imeharibika bora nikae zangu kimya tu.

Machozi yanidondoka kisa hawa watu waloleta fujo humu ndani kweli kama ambavyo vidole vya mikono havilingani ndivyo binadamu tulivyo........hivi huyu ni shetani anawaleta hawa watu kuvuruga umoja ulokuwepo au?? Maana shetani hapendi watu wakae pamoja kwa umoja aghhhhhhhhh!!!!!!!!!
 
Buchanan lawama tunakupa kwa kuwa wewe kama mods unajua waharibifu ni nani na ni nani anmaharibui uhuru uliokuwepo chit chat. Unapokuwa mods jua kuwa unaangalia nani ni nani anaharibu mahali
Sasa ni jukumu lako kuwaondoa wote wanaoharibu jukwaa hili tubaki kama tulivyokuwa
Wachangiaji wengi wa CC wanaondoka humu au wamekuwa wasomaji tuu bila kuchangia baada ya kujua uko humu unaangalia kinachoandikwa.
Marry Hunbig ni balaa. Bora uwe msomaji tuu bila kuchangia aise maana BAN ziko nje nje muda wowote
 
Last edited by a moderator:
Kauli ulompa charminglady asbh ilikuwa sio ya busara. Nilikuwa natafakari siku nzima imekuwaje utoe vitisho namna ile. Kwanini usimwambie kistaarabu kuwa si vema kufanya hili na si kufoka kama polisi. Lazma umwambie mtu bila kumkwaza na ujumbe utamfikia sio kauli ya kibabe kila saa.
Watu humu ni waelewa achana na mtizamo ulionao wa POLICCM

Hata mimi binafsi nlishtushwa na vile vitisho alvyompa charminglady asubuhi. Hakutumia ustaarabu wala hekma.. Alinikera sana.
 
Last edited by a moderator:
Rich woman ni balaa. Nikikumbuka chit chat ilikuwa sehem ya kutolea machungu ya majukwaa mengine siku hizi eti nayo ina mods anayechungulia
Imepoteza maana sana aise
manoah ukiona kama hilo report abuse muda wowote aise wajulikane hawa watu
Erickb52 mi mpaka naogopa kuchangia au kuingia chit chat aise sio ile tuliyoizoea ila naiona mpya kabisa ina mpaka mods tena mkali kama nini
 
Last edited by a moderator:
Buchanan kwakua umekiri kosa, muombe na muhusika msamaha awe na roho safi asiwe na kinyongo na wewe. Sie ni watoto wa baba mmoja tunapo koseana haina budi kuombana radhi nayo yakaisha.
 
Last edited by a moderator:
Hata mimi binafsi nlishtushwa na vile vitisho alvyompa charminglady asubuhi. Hakutumia ustaarabu wala hekma.. Alinikera sana.
Ni kweli.
Yan km ningekuwa na uwezo wa kumlamba ban ningemlamba muda uleule ili na yeye akajifunze lugha nzuri.
 
Last edited by a moderator:
Nicas Mtei jukwaa limepoteza hamu aise na ukiangalia wachangiaje wengi wa chit chat wameacha kuchangia kwa kuogopa ban aise
 
Last edited by a moderator:
Rich woman ni balaa. Nikikumbuka chit chat ilikuwa sehem ya kutolea machungu ya majukwaa mengine siku hizi eti nayo ina mods anayechungulia
Imepoteza maana sana aise
manoah ukiona kama hilo report abuse muda wowote aise wajulikane hawa watu
Erickb52 mi mpaka naogopa kuchangia au kuingia chit chat aise sio ile tuliyoizoea ila naiona mpya kabisa ina mpaka mods tena mkali kama nini


Mi nabaki zangu PM nikimkumbuka mtu nta PM.
 
Last edited by a moderator:
Zion Daughter jukwaa halina wenyewe ila wenyewe ni sisi ambao tunakutana kutaniana na kupana story za kuondoa uchovu bila wasi wasi wa kuonwa na mods au kuangaliwa kwa jicho la pembeni
Ila now mods wapo macho juu juu ukiongea pumba tuu una BAN
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli.
Yan km ningekuwa na uwezo wa kumlamba ban ningemlamba muda uleule ili na yeye akajifunze lugha nzuri.

[color=#0084]tumuendee kwa yule bibi wa Mtwara aliyetishia kuzuia gesi isisafiri kwenye bomba.[/color]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom