Tuliishi kwa amani na kutaniana na kupeana madongo ya kila aina.
Hakuna aliyevuka mipaka wala hakuna aliyeenda mbali zaidi ya utani wa kawaida.
Jukwaaa lilikuwa ni stress free sehem ambapo unaweza sema chochote au kuongea chochote bila kujali ni thread gani au main topic ni ipi.
Hjtukujali huyu ni Asprin wala Dark City au Bishanga au Mtambuzi wala hatukujali huyu ni AshaDii au King'asti au Blaki Womani au Kongosho au snowhite au Kongosho
Ila tulitaniana na kupeana maneno yote ya utani tunayoyajua
Ghafla tumevamiwa na Buchanan
Utani ghafla ukawa moderated. Kutaniana kwetu ghafla kukawa moderated.
Tujiulize wapi tumepotea, wapi tumejikwaa na tuangalie tusianguke. Jukwaa hili liwe sehem ya kuondoa stress za majukwaa mengine na kupeana issue za maisha. Tujiangalie tujue wabaya wetu ni nani na nani anamfanya Buchanan ashinde huku muda wote. Tujiepushe na thread hizo za hao watu na turudi kwenye lile jukwaa letu pendwa la chit chat stress free. Matusi na masengenyo yawe mwiko kwetu. Hebu tujiulize ni wapi tumejikwaa tuangalie tusianguke. Ushauri wa Mr Rocky
Copy to charminglady, Blaki Womani, charminglady, snowhite, gfsonwin, Madame B , lara 1 , Zinduna, Kongosho, Preta, Mungi, Vin Diesel, Arushaone, Filipo, LiverpoolFC, Erickb52, manoah, stevoh, Baba V, Bishanga, Asprin, Ruttashobolwa, Lily Flower, watu8, sweetlady@st.paka mweusi, PakaJimmy, Nicas Mtei, Zion Daughter, noahism Rich woman, nivea, Buchanan, Marry Hunbig, Paw, King'asti ,
Hakuna aliyevuka mipaka wala hakuna aliyeenda mbali zaidi ya utani wa kawaida.
Jukwaaa lilikuwa ni stress free sehem ambapo unaweza sema chochote au kuongea chochote bila kujali ni thread gani au main topic ni ipi.
Hjtukujali huyu ni Asprin wala Dark City au Bishanga au Mtambuzi wala hatukujali huyu ni AshaDii au King'asti au Blaki Womani au Kongosho au snowhite au Kongosho
Ila tulitaniana na kupeana maneno yote ya utani tunayoyajua
Ghafla tumevamiwa na Buchanan
Utani ghafla ukawa moderated. Kutaniana kwetu ghafla kukawa moderated.
Tujiulize wapi tumepotea, wapi tumejikwaa na tuangalie tusianguke. Jukwaa hili liwe sehem ya kuondoa stress za majukwaa mengine na kupeana issue za maisha. Tujiangalie tujue wabaya wetu ni nani na nani anamfanya Buchanan ashinde huku muda wote. Tujiepushe na thread hizo za hao watu na turudi kwenye lile jukwaa letu pendwa la chit chat stress free. Matusi na masengenyo yawe mwiko kwetu. Hebu tujiulize ni wapi tumejikwaa tuangalie tusianguke. Ushauri wa Mr Rocky
Copy to charminglady, Blaki Womani, charminglady, snowhite, gfsonwin, Madame B , lara 1 , Zinduna, Kongosho, Preta, Mungi, Vin Diesel, Arushaone, Filipo, LiverpoolFC, Erickb52, manoah, stevoh, Baba V, Bishanga, Asprin, Ruttashobolwa, Lily Flower, watu8, sweetlady@st.paka mweusi, PakaJimmy, Nicas Mtei, Zion Daughter, noahism Rich woman, nivea, Buchanan, Marry Hunbig, Paw, King'asti ,
Last edited by a moderator: