Nicas Mtei jukwaa limepoteza hamu aise na ukiangalia wachangiaje wengi wa chit chat wameacha kuchangia kwa kuogopa ban aise
Dawa ni kumwachia jukwaa tu.[color=#0084]tumuendee kwa yule bibi wa Mtwara aliyetishia kuzuia gesi isisafiri kwenye bomba.[/color]
Ok, kwa hilo la lugha mnisamehe wakuu! I hope hakuna jingine! Kwa hao wavurugaji tusaidiane kuliko lawama kila wakati!