HOYANGA
Senior Member
- Jun 9, 2011
- 187
- 26
Wana jf, ubongo ulikuwa unapenda kukua bila salaam za kujitambulisha kwenu!! Nimekosea kwa hilo !!!! Naomba kujiunga katika foleni ya kikombe cha tiba ya kupanua akili na hekima ya kupokea na kuchangia topics toka kwa wanajf!!!!! Salaam kwenu...mabibi na mabwana nipokeeni!!!