MT KILIMANJARO
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 4,215
- 760
- Kaka tunataka kurekebisha uozo it does not matter ujumbe umetokea kwa nani kinachajlisha ni kurekebisha, please join me uwe part of solution wachana na kuwa prt of the problem all the times, chagua moja kurekebisha au kuendelea kulalama tu!!
Le Mutuz System
Mbona hujuma zinazofaonywa na serikaki yako ya ccm dhidi ya watanzania huziongelei wala kuzikemea? Inakuaje rasilimali za taifa mnagawana hususan mauji ya wanyama kama tembo madin gesi huzungumzii au huo sio uozo.