Saluni za kunyoa nywele sehemu nyeti

Saluni za kunyoa nywele sehemu nyeti

Hiizo saluni nyingi ziko Huku Kinondoni...nadhani tunepa hoja ya msingi kwamba unaanzaanzaje............ni kitu kipya kwa utamaduni wetu.....naweza kuelewa mtu kwenda kwa Daktari lakini si kwa kunyoa jameni...............dah hata kama ni mwanaume kwa mwanamume yaani unampa **********yako akunyoe??????duh.................any way wenye imani ya Tomaso yaani hadi mpapase jaribuni mtujuze...............
 
mimi napita njia tu kwani sisi watu wa mashambani tuko bize na kilimo, hasa wakati huu wa mvua.
 
  • Thanks
Reactions: lin
mimi napita njia tu kwani sisi watu wa mashambani tuko bize na kilimo, hasa wakati huu wa mvua.

Nafua hata umenisaidia kuwajibu!

Jembe halimtupi mkulima!!

Dudh! Watu wa mjini jamani kuna maulizo mengi sana na maisha yao.

Karibuni vijijini wajameni! Kilimo kwnz!
 
Ondoa kwenye jukwaa hili, peleka kwenye jukwaa la kibweka na MR
 
mimi napita njia tu kwani sisi watu wa mashambani tuko bize na kilimo, hasa wakati huu wa mvua.

asee wkt wa mavuno
utukaribishe
tutakuwa bado vipara!
Hahahaaaa
dunia nu uwanja wa
vurugu.mambo watu
walikuwa wanayafanya
gizani sasa unaenda
kumanua miguu hadharan! Asee tumeendelea saaana
 
Ewwww. . .wanaofanya hiyo kazi wana kazi kweli. Niliona kwenye TV juzi nikabaki najiuliza wana ujasiri kiasi gani.
 
Ewwww. . .wanaofanya hiyo kazi wana kazi kweli. Niliona kwenye TV juzi nikabaki najiuliza wana ujasiri kiasi gani.

Uliona nini Lizzy na kwa nini unafikiri wana ujasiri?
 
natafuta saloon za wababa zipo? za kunyoa sehemu nyeti, na mnyoaji awe mwanamama, hii itakuwa safi kwani kina mama wana yao ya wababa wana yao ngoma droo

zinaenda kwa jina la Masaji saluni, hadi kwapa zinanyolewa na usipoangalia hadi kwenye mtandao wa ghali kabisa wa mawasiliano kunanyolewa
 
si utani mjini tuko busy. WATUNYOE Tu. Vinginevyo misitu bondeni itajaa. mimi ningependa ziwepo kila mahali. Ukifungua saluni, kumbuka na huduma ya kunyoa down. :lol::lol::lol::lol:
 
  • Thanks
Reactions: lin
HUDUMA hii nimeikuta moro. ukinyolewa nywele unaambiwa huduma nyingine iko ndani. Kama huelewi unapigishwa stori mpaka vmwisho.:eyebrows::eyebrows:
 
  • Thanks
Reactions: lin
HUDUMA hii nimeikuta moro. ukinyolewa nywele unaambiwa huduma nyingine iko ndani. Kama huelewi unapigishwa stori mpaka vmwisho.:eyebrows::eyebrows:


Huduma nyingine zipi hizo Mkuu?
 
Back
Top Bottom