Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,267
Hiizo saluni nyingi ziko Huku Kinondoni...nadhani tunepa hoja ya msingi kwamba unaanzaanzaje............ni kitu kipya kwa utamaduni wetu.....naweza kuelewa mtu kwenda kwa Daktari lakini si kwa kunyoa jameni...............dah hata kama ni mwanaume kwa mwanamume yaani unampa **********yako akunyoe??????duh.................any way wenye imani ya Tomaso yaani hadi mpapase jaribuni mtujuze...............