Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,698
- 12,337
Aende tu si anataka naye teuzi kama walivyo kuwa akina Lazaro Calist na Malaya wengine wa kisiasa.
Wewe unavutia,?Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza endelea kubaki chadema kwa sasa, chama kimepoteza mvuto kabisa
Wafia CCM ndio nani hao mkuu????Pamoja na comment yako,na huku ukimuogopa Mungu hebu sema UKWELI kuhusu wale wafia CCM watajisikiaje kama huyu Bwana akipewa kitengo CCM.
Sawa mkuuChadema ni imani..
Vp wewe una mvutoo?Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza endelea kubaki chadema kwa sasa, chama kimepoteza mvuto kabisa
All in all lakini si Mwalimu tunaemuamini.Kwa hiyo ni wanamfua tafuata na siyo yeye anayewafuata?
Hakina MTU mwenye akili aliyeko CCM .Hakina anayetumia kichwa kufikiri akawa CCM .Anayetumia tumbo kufikiri pekee ndiye aliyeko CCM.Hata Mohamed Atta Singers kuwa njaa Na umalaya wa kisiasa ulionao usingekuwa CCM