Tetesi: Salumu Mwalimu adaiwa kupewa Kitengo ndani ya CCM

Aende tu si anataka naye teuzi kama walivyo kuwa akina Lazaro Calist na Malaya wengine wa kisiasa.
 
Hakina MTU mwenye akili aliyeko CCM .Hakina anayetumia kichwa kufikiri akawa CCM .Anayetumia tumbo kufikiri pekee ndiye aliyeko CCM.Hata Mohamed Atta Singers kuwa njaa Na umalaya wa kisiasa ulionao usingekuwa CCM

20210819_191521.jpg
 
Huyu jamaa mimi sijawahi kumuamini from the beginning kabisa, Mzanzibari gani ambaye ni mpiganiaji haki ambaye hakutokana na chuo cha kupigania maabadiliko cha Maalim Seif?

Niliwahi jaribu kumfatila nikagundua familia yake almost wote ni CCM's ndipo alipoanza mtilia shaka. hiyo ilikua ni miaka karibu 8 nyuma wakati wa harakati za ukawa.
 
Back
Top Bottom