Salum Hamdun: Hakuna miundombinu ya reli Kilimanjaro iliyoharibiwa

Siungi mkono ubabe wowote lakini pia siungi mkono kusemana hovyo humu JF. Hapa ni mahali pa ma GT sio wambeya. Umeandika na weye kiumbeya ka huyo Sabaya alivyo kurupuka bila kuwaza. Acheni ugomvi tukae pamoja tuijenge nchi
 
Kuna ushahidi usio na shaka kwamba Ole Sabaya ndiye DC anayeongoza kwa kuomba rushwa nchini Tanzania kwa sasa na kwamba inawezekana akawa anashikilia namba 1 duniani ( ushahidi umo humu humu jf )

Ugomvi wake na wafanyabiashara na Matajiri wa Hai unatokana na tabia yake ya kimasikini iliyotokana na malezi duni ya kuomba omba hela kila mara kwa kutumia vitisho huku akilindwa na Jeshi la Polisi , bado haijafahamika kisa cha kukusanya pesa kwa raia wema kwa njia hii na anakozipeleka , Bali inafahamika kwamba analindwa na Mamlaka za Uteuzi

Wafanyabiashara wanaogoma kumpa mil 2 kila mwezi hutiwa misukosuko ama hubambikiwa kesi , ikiwemo hawa wamiliki wa Mabasi waliobambikwa tuhuma za kuhujumu Reli , Shukrani kwa Jeshi la Polisi Mkoa na RC kwa kulinda heshima zenu na kukataa kushiriki laana za Ole Sabaya .

..... APANDACHO MTU NDICHO ATAKACHOVUNA ......
Huyu mheshimiwa tangu amnyang'anye bwana mzee ofisi aligeuka kuwa shetani.
 
Hii ni kweli, si rushwa ya pesa tu hata ngono, kama mnamkumbuka yule mfanya biashara Sabaya alienda hotelini kulazimisha kulala na msanii Nandi !! Yule mfanya biashara mpaka ameikimbia nchi kwa sababu ya huyu mjinga Sabaya. Kwa bahati mbaya hata mamlaka za uteuzi nao ni wajinga wote wamekutana hakuna hatua itachukuliwa dhidi yake. Aibu sana kwa taifa
 
Kuna ushahidi usio na shaka kwamba Ole Sabaya ndiye DC anayeongoza kwa kuomba rushwa nchini Tanzania kwa sasa na kwamba inawezekana akawa anashikilia namba 1 duniani ( ushahidi umo humu humu jf )

Ugomvi wake na wafanyabiashara na Matajiri wa Hai unatokana na tabia yake ya kimasikini iliyotokana na malezi duni ya kuomba omba hela kila mara kwa kutumia vitisho huku akilindwa na Jeshi la Polisi , bado haijafahamika kisa cha kukusanya pesa kwa raia wema kwa njia hii na anakozipeleka , Bali inafahamika kwamba analindwa na Mamlaka za Uteuzi

Wafanyabiashara wanaogoma kumpa mil 2 kila mwezi hutiwa misukosuko ama hubambikiwa kesi , ikiwemo hawa wamiliki wa Mabasi waliobambikwa tuhuma za kuhujumu Reli , Shukrani kwa Jeshi la Polisi Mkoa na RC kwa kulinda heshima zenu na kukataa kushiriki laana za Ole Sabaya .

..... APANDACHO MTU NDICHO ATAKACHOVUNA ......
Hakuna chochote hapo, ni vita tu hiyo. Hakuna mwizi mjinga kiasi cha kudai milioni 2 kila mwezi na wakati hajashikilia chochote cha kutishia mtu. Ndio yaleyale ukitaka kuleta maendeleo, unaambiwa una mabomu ya nyuklia, unahatarisha dunia.
 
Kuna ushahidi usio na shaka kwamba Ole Sabaya ndiye DC anayeongoza kwa kuomba rushwa nchini Tanzania kwa sasa na kwamba inawezekana akawa anashikilia namba 1 duniani ( ushahidi umo humu humu jf )

Ugomvi wake na wafanyabiashara na Matajiri wa Hai unatokana na tabia yake ya kimasikini iliyotokana na malezi duni ya kuomba omba hela kila mara kwa kutumia vitisho huku akilindwa na Jeshi la Polisi , bado haijafahamika kisa cha kukusanya pesa kwa raia wema kwa njia hii na anakozipeleka , Bali inafahamika kwamba analindwa na Mamlaka za Uteuzi

Wafanyabiashara wanaogoma kumpa mil 2 kila mwezi hutiwa misukosuko ama hubambikiwa kesi , ikiwemo hawa wamiliki wa Mabasi waliobambikwa tuhuma za kuhujumu Reli , Shukrani kwa Jeshi la Polisi Mkoa na RC kwa kulinda heshima zenu na kukataa kushiriki laana za Ole Sabaya .

..... APANDACHO MTU NDICHO ATAKACHOVUNA ......
Huyu ni choko tu hamna madhara kwa wajanja,dc anaomba rushwa kwa kila mtu iwe hai mpka arusha mjini.ogopa tapeli sugu wa mtaani apewe ajira serikalini ni utapeli kila siku.
Kiboko yake ni cathbert swai wa asante tours alimvua boksa mchana kweupe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu DC ana matatizo.. Sijui Mh. Rais haoni matatizo yake au?? Hili sio tukio la kwanza la huyu jamaa. Yapo mengi ya aibu lakini hatuoni akichukuliwa hatua
Wengine wanakuwepoga si kwa sababu ya ukuu wa wilaya Bali kutimiza kile walicho tume,
 
Kama ilivyoripotiwa na mkuu wa Wilaya ya Hai, Ole Sabaya kuwahusisha wafanyabiashara wa mabasi siku chache zilizopita, uchunguzi umebainisha taarifa za Mkuu wa Wilaya hazikuwa na Ukweli.

My take ; Ole Sabaya unapaswa kuomba msamaha na kuwalipa faini uliowatuhumu


Chanzo: ITV

Pia soma > Hai: DC Sabaya aagiza wamiliki wa mabasi kukamatwa kwa tuhuma za kuhujumu miundombinu ya Reli Dar-Moshi

Maswali muhimu ya kujiuliza


Kutokana na hili maswali ni

Je, anafanya haya kwa lengo gani?

Ni mambo haya haya ya siasa?

Haya anayooneshaga runingani kuhusiana na taarifa za aina hizi nayo ni uongo?

Kutokana na hili tu, hapaswi kuwajibika?

Tunataka viongozi wa kutuletea maendeleo na si wenye lengo la kukomoa na kuumiza wananchi.

Wafanya biashara wa mabasi unganeni
Nashangaa wanatumbuliwa watu waaminifu kama Kangi halafu watu wapuuzi kama Naneya wanaachwa ofisini
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limesema, hakuna hujuma wala uharibufu wa miundo mbinu ya Reli katika eneo la Kijiji cha Rundugai wilaya ya Hai, kama ilivyoelezwa na Mkuu wa wilaya hiyo ,Lengai Ole Sabaya
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro ,Kamishna Msaidizi wa Polisi ,Salum Hamdun, amesema kuwa baada ya DC kutoa tuhuma hizo na kuagiza wafanyabiashara wawili wa Mabasi ya Abiria, kujisalimisha polisi, walitii agizo hilo na baada ya kutoa maelezo walitoka kwa dhamana.

"Uchunguzi wa awali umebaini kuwa hakuna miundombinu ya Reli iliyoharibiwa au kuhujumiwa katika himaya hii kwa maana ya kipande cha kutoka Moshi kuelekea Arusha, ambapo mpaka sasa kimeshakarabatiwa kwa Kilomita 23 na kazi inaendelea" amesema RPC Kilimanjaro.

January 19, 2020, Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya, akiwa katika kijiji cha Rundugai akikagua ukarabati wa Reli, alitoa agizo kwa wafanyabiashara wawili wa mabasi ya Lim Safari na Machame Safari ambao ni Rodrick Uronu na Clemence Mbowe, kujisalimisha katika kituo cha Polisi cha Bomang'ombe kwa tuhuma za kuunda genge la uhalifu ili kuathiri usafiri wa Treni ya abiria kati ya Dar es Salaam ,Moshi na Arusha.


Source EATV
 
Moderator kichwa cha habari kiwe RPC wa Kilimanjaro badala ya Hamdun , wengine wanaweza kudhani huyo hamdun labda ni msela tu kaamua kujitokeza jf , hii habari ni kubwa sana , sijawahi kuona DC muongo kwa kiwango cha hatari kama huyu kwa kadri ya kumbukumbu zangu
 
Kama RPC ameshakanusha, nini kitakachofuata? Bwana Sabaya ataendelea kuachwa huru ili amsakame Mbowe mwingine? Je kuitwa Mbowe ni "abomination" kiasi ambacho unastahili kuwa "condemned"?

Je ni halali kutafuta utukufu wa duniani "at the expense of reputation" za watu ambao wamechukua muda mrefu kuzijenga? Je bwana Sabaya ana "Diplomatic Immunity???
 
Kama RPC ameshakanusha, nini kitakachofuata? Bwana Sabaya ataendelea kuachwa huru ili amsakame Mbowe mwingine? Je kuitwa Mbowe ni "abomination" kiasi ambacho unastahili kuwa "condemned"?

Je ni halali kutafuta utukufu wa duniani "at the expense of reputation" za watu ambao wamechukua muda mrefu kuzijenga? Je bwana Sabaya ana "Diplomatic Immunity???
Hivi Shamba la Mbowe mboga hazikubaki akazing'oe?
 
Back
Top Bottom