Huyu mheshimiwa tangu amnyang'anye bwana mzee ofisi aligeuka kuwa shetani.Kuna ushahidi usio na shaka kwamba Ole Sabaya ndiye DC anayeongoza kwa kuomba rushwa nchini Tanzania kwa sasa na kwamba inawezekana akawa anashikilia namba 1 duniani ( ushahidi umo humu humu jf )
Ugomvi wake na wafanyabiashara na Matajiri wa Hai unatokana na tabia yake ya kimasikini iliyotokana na malezi duni ya kuomba omba hela kila mara kwa kutumia vitisho huku akilindwa na Jeshi la Polisi , bado haijafahamika kisa cha kukusanya pesa kwa raia wema kwa njia hii na anakozipeleka , Bali inafahamika kwamba analindwa na Mamlaka za Uteuzi
Wafanyabiashara wanaogoma kumpa mil 2 kila mwezi hutiwa misukosuko ama hubambikiwa kesi , ikiwemo hawa wamiliki wa Mabasi waliobambikwa tuhuma za kuhujumu Reli , Shukrani kwa Jeshi la Polisi Mkoa na RC kwa kulinda heshima zenu na kukataa kushiriki laana za Ole Sabaya .
..... APANDACHO MTU NDICHO ATAKACHOVUNA ......
Hakuna chochote hapo, ni vita tu hiyo. Hakuna mwizi mjinga kiasi cha kudai milioni 2 kila mwezi na wakati hajashikilia chochote cha kutishia mtu. Ndio yaleyale ukitaka kuleta maendeleo, unaambiwa una mabomu ya nyuklia, unahatarisha dunia.Kuna ushahidi usio na shaka kwamba Ole Sabaya ndiye DC anayeongoza kwa kuomba rushwa nchini Tanzania kwa sasa na kwamba inawezekana akawa anashikilia namba 1 duniani ( ushahidi umo humu humu jf )
Ugomvi wake na wafanyabiashara na Matajiri wa Hai unatokana na tabia yake ya kimasikini iliyotokana na malezi duni ya kuomba omba hela kila mara kwa kutumia vitisho huku akilindwa na Jeshi la Polisi , bado haijafahamika kisa cha kukusanya pesa kwa raia wema kwa njia hii na anakozipeleka , Bali inafahamika kwamba analindwa na Mamlaka za Uteuzi
Wafanyabiashara wanaogoma kumpa mil 2 kila mwezi hutiwa misukosuko ama hubambikiwa kesi , ikiwemo hawa wamiliki wa Mabasi waliobambikwa tuhuma za kuhujumu Reli , Shukrani kwa Jeshi la Polisi Mkoa na RC kwa kulinda heshima zenu na kukataa kushiriki laana za Ole Sabaya .
..... APANDACHO MTU NDICHO ATAKACHOVUNA ......
Nilidhani unapinga taarifa , kumbe unataka tumlinde Sabaya ! hilo halitawezekanaSiungi mkono ubabe wowote lakini pia siungi mkono kusemana hovyo humu JF. Hapa ni mahali pa ma GT sio wambeya. Umeandika na weye kiumbeya ka huyo Sabaya alivyo kurupuka bila kuwaza. Acheni ugomvi tukae pamoja tuijenge nchi
Huyu ni choko tu hamna madhara kwa wajanja,dc anaomba rushwa kwa kila mtu iwe hai mpka arusha mjini.ogopa tapeli sugu wa mtaani apewe ajira serikalini ni utapeli kila siku.Kuna ushahidi usio na shaka kwamba Ole Sabaya ndiye DC anayeongoza kwa kuomba rushwa nchini Tanzania kwa sasa na kwamba inawezekana akawa anashikilia namba 1 duniani ( ushahidi umo humu humu jf )
Ugomvi wake na wafanyabiashara na Matajiri wa Hai unatokana na tabia yake ya kimasikini iliyotokana na malezi duni ya kuomba omba hela kila mara kwa kutumia vitisho huku akilindwa na Jeshi la Polisi , bado haijafahamika kisa cha kukusanya pesa kwa raia wema kwa njia hii na anakozipeleka , Bali inafahamika kwamba analindwa na Mamlaka za Uteuzi
Wafanyabiashara wanaogoma kumpa mil 2 kila mwezi hutiwa misukosuko ama hubambikiwa kesi , ikiwemo hawa wamiliki wa Mabasi waliobambikwa tuhuma za kuhujumu Reli , Shukrani kwa Jeshi la Polisi Mkoa na RC kwa kulinda heshima zenu na kukataa kushiriki laana za Ole Sabaya .
..... APANDACHO MTU NDICHO ATAKACHOVUNA ......
Wengine wanakuwepoga si kwa sababu ya ukuu wa wilaya Bali kutimiza kile walicho tume,Huyu DC ana matatizo.. Sijui Mh. Rais haoni matatizo yake au?? Hili sio tukio la kwanza la huyu jamaa. Yapo mengi ya aibu lakini hatuoni akichukuliwa hatua
Alipaswa kumtaarifu kwanza OCD ili yeye ndio achukue hatuaDC ana sources tofauti za info. Anaweza kuwa kapata info za kiintelijensia toka Usalama wa Taifa ambapo RPC hawezi jua.
Simtetei DC Ila naongeza nyama...
Labda aliwasingizia or May be not
Nashangaa wanatumbuliwa watu waaminifu kama Kangi halafu watu wapuuzi kama Naneya wanaachwa ofisiniKama ilivyoripotiwa na mkuu wa Wilaya ya Hai, Ole Sabaya kuwahusisha wafanyabiashara wa mabasi siku chache zilizopita, uchunguzi umebainisha taarifa za Mkuu wa Wilaya hazikuwa na Ukweli.
My take ; Ole Sabaya unapaswa kuomba msamaha na kuwalipa faini uliowatuhumu
Chanzo: ITV
Pia soma > Hai: DC Sabaya aagiza wamiliki wa mabasi kukamatwa kwa tuhuma za kuhujumu miundombinu ya Reli Dar-Moshi
Maswali muhimu ya kujiuliza
Kutokana na hili maswali ni
Je, anafanya haya kwa lengo gani?
Ni mambo haya haya ya siasa?
Haya anayooneshaga runingani kuhusiana na taarifa za aina hizi nayo ni uongo?
Kutokana na hili tu, hapaswi kuwajibika?
Tunataka viongozi wa kutuletea maendeleo na si wenye lengo la kukomoa na kuumiza wananchi.
Wafanya biashara wa mabasi unganeni
Siasa chafu huyo mvuta bangi anafanya hapo Hai.
siku zote najua hauna kitu kichwani lakini sikudhani kama hamna hata za kuvukia barabara , kwani ulisikia TRC wakilalamika ?Shirika la reli ndio lilitakiwa kutoa tamko sio RPC
Hivi Shamba la Mbowe mboga hazikubaki akazing'oe?Kama RPC ameshakanusha, nini kitakachofuata? Bwana Sabaya ataendelea kuachwa huru ili amsakame Mbowe mwingine? Je kuitwa Mbowe ni "abomination" kiasi ambacho unastahili kuwa "condemned"?
Je ni halali kutafuta utukufu wa duniani "at the expense of reputation" za watu ambao wamechukua muda mrefu kuzijenga? Je bwana Sabaya ana "Diplomatic Immunity???