jd41
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,756
- 4,842
Hivi kuna mtu yeyote mwenye akili timamu anaweza kumuamini mla rushwa Sabaya ? kwani uliona RC akihangaika na mazingaombwe ya Kitoto ya Sabaya ? hebu angalia majina yaliyotajwa na SabayaKama ilivyoripotiwa na mkuu wa Wilaya ya Hai, Ole Sabaya kuwahusisha wafanyabiashara wa mabasi siku chache zilizopita, uchunguzi umebainisha taarifa za Mkuu wa Wilaya hazikuwa na Ukweli.
My take ; Ole Sabaya unapaswa kuomba msamaha na kuwalipa faini uliowatuhumu
Chanzo: ITV
Wenye akili wanampuuzia tuHivi kuna mtu yeyote mwenye akili timamu anaweza kumuamini mla rushwa Sabaya ? kwani uliona RC akihangaika na mazingaombwe ya Kitoto ya Sabaya ? hebu angalia majina yaliyotajwa na Sabaya
swala kubwa kama la kung'oa reli liwe la DC tu !Wenye akili wanampuuzia tu
Sent from my SM-J700H using Tapatalk
Dawa ni kumfungulia kesi ya madai mpka auze mashamba yao ya urithi huko shambashi,tapeli mkubwa sanaKama ilivyoripotiwa na mkuu wa Wilaya ya Hai, Ole Sabaya kuwahusisha wafanyabiashara wa mabasi siku chache zilizopita, uchunguzi umebainisha taarifa za Mkuu wa Wilaya hazikuwa na Ukweli.
My take ; Ole Sabaya unapaswa kuomba msamaha na kuwalipa faini uliowatuhumu
Chanzo: ITV
Maswali muhimu ya kujiuliza
Kutokana na hili maswali ni
Je, anafanya haya kwa lengo gani?
Ni mambo haya haya ya siasa?
Haya anayooneshaga runingani kuhusiana na taarifa za aina hizi nayo ni uongo?
Kutokana na hili tu, hapaswi kuwajibika?
Tunataka viongozi wa kutuletea maendeleo na si wenye lengo la kukomoa na kuumiza wananchi.
Wafanya biashara wa mabasi unganeni
Kana ukabila kale kajamaa hiyo ndio motive yake.Hivi karibuni mkuu wa wilaya ya Hai Ole Sabaya alionekana akiongelea swala la uhujumu wa miundombinu ya reli kutoka Moshi mpaka Arusha.
Mkuu huyu alifikia hatua pia ya kusema kuwa wamiliki wa mabasi ndio wahusika wakuu wa swala hili. Hii inamaanisha alikua na data kamili kuhusu swala hili.
Leo katika taarifa ya habari ITV, kamanda wa jeshi la polisi amekanusha taarifa hizi na ni baada ya uchunguzi kufanyika na kubaini kuwa mkuu wa wilaya alidanganya. Kwa kuwa si kweli kwamba miundombinu ilihujumiwa na waliotajwa si wahusika wamechafuliwa tu.
Kutokana na hili maswali yangu ni
Je, anafanya haya kwa lengo gani?
Ni mambo haya haya ya siasa?
Haya anayooneshaga runingani kuhusiana na taarifa taarifa za aina hizi nayo ni uongo?
Kutokana na hili tu, hapaswi kuwajibika?
Tunataka viongozi wa kutuletea maendeleo na si wenye lengo la kukomoa na kuumiza wananchi.
Wafanya biashara wa mabasi unganeni muhakikishe hili zimwi linapigwa chini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata TBC wajitathimini kwa kuwa na mahojiano na wataalamu wa reli bila staha.
Dc hakujua impact ya kauli yake, umeambiwa reli imeibiwa utapanda treni? Hili Jambo ange dili nalo kimyakimya
Kwanza nataka nikuambie suala la reli kuhujumiwa halijaanza kuzungumzwa na dc wa hai Juzi ,Hivi karibuni mkuu wa wilaya ya Hai Ole Sabaya alionekana akiongelea swala la uhujumu wa miundombinu ya reli kutoka Moshi mpaka Arusha.
Mkuu huyu alifikia hatua pia ya kusema kuwa wamiliki wa mabasi ndio wahusika wakuu wa swala hili. Hii inamaanisha alikua na data kamili kuhusu swala hili.
Leo katika taarifa ya habari ITV, kamanda wa jeshi la polisi amekanusha taarifa hizi na ni baada ya uchunguzi kufanyika na kubaini kuwa mkuu wa wilaya alidanganya. Kwa kuwa si kweli kwamba miundombinu ilihujumiwa na waliotajwa si wahusika wamechafuliwa tu.
Kutokana na hili maswali yangu ni
Je, anafanya haya kwa lengo gani?
Ni mambo haya haya ya siasa?
Haya anayooneshaga runingani kuhusiana na taarifa taarifa za aina hizi nayo ni uongo?
Kutokana na hili tu, hapaswi kuwajibika?
Tunataka viongozi wa kutuletea maendeleo na si wenye lengo la kukomoa na kuumiza wananchi.
Wafanya biashara wa mabasi unganeni muhakikishe hili zimwi linapigwa chini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sabaya bana hahaha unahangaikaKwanza nataka nikuambie suala la reli kuhujumiwa halijaanza kuzungumzwa na dc wa hai Juzi ,
TRC wakati wa sikukuu walianza kulia mapema wakidai wanahujumiwa kwenye reli lakini watu wakaaa kimya ,
Amesema juzi Dc wa Korogwe hujuma izo izo za reli mkoani tanga,Imetokea ivyo ivyo wilayani mwanga
Lakini aliposema sabaya imekuwa nongwa imewaumaa sana baadhi ya watu
Lakini tijiulize kwanini dc Sabaya kwake imekuwa na muwasho imekua na inawakunakuna watu mahali imekuwa imachoma kama shubiri?
Hii yote ni jinsi dc huyo anavyotenda kazi zake zinazoonekana,zenye logic,Zenye maelezo yaliyoshiba
Na ndio kinachowawasha watu fulani hasa wahalifu wa nchi hii.
Mimi nitoe hongera kwa Dc Sabaya kwavkuendelea kuwaadabisha wahalifu bila kujali kelele zao wala vibaraka wao,
Dc @🇲 🇭 🇪 🇩 🇨 🇸 🇦 🇧 🇦 🇾 🇦 chapa kazi kaka Tanzania imechelewa sana na wengi walihusika kuchelewesha walikuwa wenzetu hata ndani ya serikali na chama ,,,,,Kanyaga Twende tumechelewa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli anawapenda mno viongozi duni kama SabayaCha kushangaza huyo mvuta bange atapewa ukuu wa Mkoa soon..