Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,549
- 34,876
Huyu jamaa kuendelea kuwa kiongozi ni moja ya maajabu ya kushangaza awamu ya tano.Cha kushangaza huyo mvuta bange atapewa ukuu wa Mkoa soon..
Huyu jamaa kuendelea kuwa kiongozi ni moja ya maajabu ya kushangaza awamu ya tano.Cha kushangaza huyo mvuta bange atapewa ukuu wa Mkoa soon..
Reli inapita Hai lakini ndio inakarabatiwa kupitisha treni ya Abiria na Mizigo. LIM na Mache Safari hufanya Safari DSM to Arusha. Hawawezi kuwa affected na Safari za Treni Hai Hadi waharibu Reli ipitayo Hai. Nawapa pole Watuhumiwa.Reli inafika hai? Kamanda Hamduni leo llikua na mkuu wa wilaya ya Moshi, Kippi warioba..kutolea ufafanuzi..Hilo dubwasha lenu liliropoka tu mambo ya wilaya nyingine wakati ndo kwanza ukarabati wa kufukua njia unaendelea Moshi..
ivi lile la ngono liliishaje? Huyu kijana hana adabu. Anadhalilisha mamlaka iliyo mteua!?Huyu DC ana matatizo.. Sijui Mh. Rais haoni matatizo yake au?? Hili sio tukio la kwanza la huyu jamaa. Yapo mengi ya aibu lakini hatuoni akichukuliwa hatua
Sio usalama huyo, bali ANAJIITA, Sabaya anapenda sana KIKI, huo mpango kautengeneza mwenyewe ili aonekane anachapa kazi, hakuna maana ya kuharibu miundombinu ya hai amabyo hata haijaanza kazi waache kuhujumu miundombinu ya reli iliyo tayarai kazini na amabyo ndio njia kuu kutoka Dar to Kilimanjaro, Reli kupita Hai ni ile ya kuunga Arusha, sasa ina maana kutoka Hai to Arusha kuna wafanyabiashara wengi na pesa ni ndefu kuliko kutoka Dar to Moshi? Sabaya ni bwege tu.DC ana sources tofauti za info. Anaweza kuwa kapata info za kiintelijensia toka Usalama wa Taifa ambapo RPC hawezi jua.
Simtetei DC Ila naongeza nyama...
Labda aliwasingizia or May be not
Tatizo lako ukitoka Jamii forum unaingia Instagram hata taarifa hufatiliiYaani umeandika tu bila hata reference yoyoye, hayo umeyatoa kichwani au?
Siasa ni field ngumu sana
Sijuagi kwanini
Labda ndio maana iliitwa Sayansi ya Siasa
Huyu Pimbi anachefua mfanowe hakunaHuyu jamaa Mpuuzi sana. Kweli siyo msouth Sudan
Kama ilivyoripotiwa na mkuu wa Wilaya ya Hai, Ole Sabaya kuwahusisha wafanyabiashara wa mabasi siku chache zilizopita, uchunguzi umebainisha taarifa za Mkuu wa Wilaya hazikuwa na Ukweli.
My take ; Ole Sabaya unapaswa kuomba msamaha na kuwalipa faini uliowatuhumu
Chanzo: ITV
Maswali muhimu ya kujiuliza
Kutokana na hili maswali ni
Je, anafanya haya kwa lengo gani?
Ni mambo haya haya ya siasa?
Haya anayooneshaga runingani kuhusiana na taarifa za aina hizi nayo ni uongo?
Kutokana na hili tu, hapaswi kuwajibika?
Tunataka viongozi wa kutuletea maendeleo na si wenye lengo la kukomoa na kuumiza wananchi.
Wafanya biashara wa mabasi unganeni
Yaani umeandika tu bila hata reference yoyoye, hayo umeyatoa kichwani au?
Hapaswi kuomba radhi bali anatakiwa awajibike au awajibishwe. Kiongozi anayesema uongo ambao unasababisha tahaluki kwa wananchi na udhalilishaji kwa watu wema hafai. Ni kanuni ya utawala bora. Lakini kama tunavyojua kwa sasa utawala bora ni adimu hakuna kitakachotokea.Kama ilivyoripotiwa na mkuu wa Wilaya ya Hai, Ole Sabaya kuwahusisha wafanyabiashara wa mabasi siku chache zilizopita, uchunguzi umebainisha taarifa za Mkuu wa Wilaya hazikuwa na Ukweli.
My take ; Ole Sabaya unapaswa kuomba msamaha na kuwalipa faini uliowatuhumu
Chanzo: ITV
Maswali muhimu ya kujiuliza
Kutokana na hili maswali ni
Je, anafanya haya kwa lengo gani?
Ni mambo haya haya ya siasa?
Haya anayooneshaga runingani kuhusiana na taarifa za aina hizi nayo ni uongo?
Kutokana na hili tu, hapaswi kuwajibika?
Tunataka viongozi wa kutuletea maendeleo na si wenye lengo la kukomoa na kuumiza wananchi.
Wafanya biashara wa mabasi unganeni