dlnobby
JF-Expert Member
- Jul 30, 2014
- 2,514
- 3,349
Nenda na wew kacopy....utakufa masikin usipobadirisha mawazo yakoDiamond kakopi nyimbo za watu hizo
Nenda na wew kacopy....utakufa masikin usipobadirisha mawazo yakoDiamond kakopi nyimbo za watu hizo
Hivi dayamond na ukimataifa wake ame sample nyimbo kama hii bila kibali???
Siamini kama diamond anaweza kufanya upumbafu kama huo bila kuogea na saida carol isitoshe dai ni mwanamziki wa kimataifa!Diamond kazindua wimbo wake mpya ni ule wimbo wa Saida Karoli wa Salome kaumix mix.
Mwanasheria wa Saida anapanga kwenda mahakamani. Itakuwa nafasi ya Saida Karoli kurudi kwenye muziki maana atalipwa mamilioni naona. Tusubiri tuone.
This Song was written by Diamond Platnumz & Rayvanny in Tanzania 2016. The beat was produced, mixed and got Mastered by Lizer from Wasafi Records Tanzania. The Video was shot in Tanzania by Director Nicorux from South Africa, on the 10th of April 2016.
Wimbo mbovu idea ya wiz hajapewa idhin kashafulia subir king atoe madude matano ya maangamiz@supported by king kiba
HAHA.. HUU WIMBO MKALI SANA NADHANI UTAITEKA DUNIA KWA VIONJO VYA ASILI.. TOKA JANA MPAKA LEO ASUBUHI NAUCHEZA , VIUNGO VYOTE VIMECHOKA, MWILI MZIMA UMEJAA JASHO NGOJA NIKAOGE KWANZANdio nimetoka kuipakua nyimbo mpya ya Mond.
Dahhh.....
Kiukweli kijana ameifanya poa sana, hata nikirejea kwa waliokua wakisema amecopy Saida......
Mhhhh.....
Hapana, ebu ngoja nikatae aiseeee.... ninachoweza sema ni, kijana kakoleza kwa vionjo vya kiafrika.
Na hata wanaosema ambana kwa Salome, Naahhhh basi tuseme pia Mr Flavor pia ameibiwa.
Nimeaskia kijana kamtaja na Zari ndani![]()
![]()
![]()
Kesi inatoka wapi wakati washalipwa ela yao ambayo ni sawa na ela anayolipwa ali kiba kwaajili ya showIla wimbo wame cover wa Saida Karoli, kama hawakuelewana kuna kesi hapa.
Hii hata si sampling, hii ni cover version.
Huu wimbo wa Saida Karoli kila mtu anayefuatilia muziki anajua, mpaka kuna movie moja ya Kimarekani ya Tyler Perry inaitwa "Peeples" umepigwa kama soundtrack.
Mavazi ya Kitanzania ndio yapi hayo?!Maana nasikia mpaka leo kuna mchakato wa vazi la taifaSasa kwenye hiyo video tamaduni yenu tz iko wapi? Hahaaa nyie hamko serious kabisa wimbo huo kaimba Saida ni wa asili ya Kitanzania mm sijasema aonyeshe asili ya wahay angeonyesha asili yetu watz kwasababu mziki Una tamaduni yetu au uquality wa video ni mavaz ya kinigeria ndo inakuw video quality au angetengeneza video yenye Asili ya kitanzania ndo isingetazamwa kwani huwez kuvaa kitz na ukatengenezea video SA lkn ikaonekana Ina mahadhi ya Tz, hoja zenu hazina mashiko kubali mkatae boss wenu huyo Ana unigeria mwingi mpaka anaboa .. Watz hamjikubali
Baraka da prince mbona una hangaika povu lina kutoka kila saa page unatoa povu tulia dawa ikuingiee inapenya inapenya inapenya iyooHuu wimbo na nisamehe ya baraka the prinse hauingii hata robo



Huyo ndio aliemdhulumu Saida Karoli?!
Ni hilo juba alilovaa diamond, maana nyie mkiambiwa ukweli mnapanicMavazi ya Kitanzania ndio yapi hayo?!Maana nasikia mpaka leo kuna mchakato wa vazi la taifa
ila domo kacopy, kichwani zimemuisha anarukaruka tu kama chura, amlipe saida.
wamekubalianaKaishiwa sasa...saida karoli umeibiwa mamaa